Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Mwaka Jana kuna dada alijinyonga baada ya kuachwa vibaya na mwanaume ambaye alimfundisha mchezo mbaya wa nyuma na akawa ashamharibu (Nadhani alianza kuvuja Huko nyuma), pamoja na kushauriwa kote haikusaidia mwishowe akajinyonga. Mwanamke mwenye akili zake hawezi kuachwa na mwanaume akawa na hasira kiasi hiko Kama Hajaachwa na mimba, Hajaachwa na ukimwi, au hajatapeliwa kiasi kikubwa cha hela na pengine kuharibiwA Kama ilivyo kuwa kwa huyo. Ebitoke hao ndo wanaume akikuvua Kwisha habari yako.....ukimpata mmoja ukaweza kumkomoa na kulipa kisasi Fanya hivyo upite hiviiii[emoji1542]
Ndivyo mnavyoongopeana hivyi kwamba nyuma kunavuja?! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Inawezekana hakujua,kaambiwa tu kaka nipeleke kilimanjaro hotel,kuingia sister kafyatuka kama mshale
Alijua mkuu, walipoingia kila mtu kamkabili wake Ebitoke kaenda kwa Stella huyo brother kaenda kwa Mlela.
 
Meneja wa hoteli hiyo keshasema kuwa ulikuwa ni mpango ambao aliusuka Mlela mwenyewe na alidokezwa jana na Mlela kuwa kuna mchezo wataufanya. So wambea wote rudisheni mpira golini. IMEISHA HIYO!
 
Meneja wa hoteli hiyo keshasema kuwa ulikuwa ni mpango ambao aliusuka Mlela mwenyewe na alidokezwa jana na Mlela kuwa kuna mchezo wataufanya. So wambea wote rudisheni mpira golini. IMEISHA HIYO!
Mpaka siku watakapo pigana visu vya ukweli ukweli ndiyo mtaelewa what's going on na muda tu ndiyo utaongea.
 
sasa kwa nini kamshambulia huyo dada si angemvaa mlela aliyemuharibia?huy mtoto wa kike kamkosea nin
 
Jamani wanaume muwe na huruma unakuta tunawapenda, tunajitoa kwa ajili yenu halafu mwisho wa yote ndio mnatuacha kwa dharau. Pole mwaya ebhitoke na imani utaweza msahau huyo baradhuli na kuendelea na maisha yako.
 
Ndio maana mimi huyu danga langu prof namkamua vilivyo siku hata akiondoka sitoumia hata, maana nitahakikisha najega na hela yake
 
Mambo ni motooo [emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 1260802
Screenshot_20191111-203810.jpeg
IMG_20191111_203850_499.JPG
 
 
Huyu jamaa aliyetambulika kama kaka wa ebitoke pale leo ktk vurugu sio kaka wa damu wa huyo binti jamaa naitwa kitenge ni comedian pia ni kaka wa mjini mjini tu..kwa maelezo ya mlela wanapigana miti tu huyo kak na ebitoke
20191111_215314.jpeg
 
Yule kitenge ni comedian mwenzie sio kaka wa ebitoke wamejuana kimjini mjini tu kitenge mwenyewe anapewa papuchi na huyo muhaya
Yaan toka asubui natafakari ni kwa namna gan ntaweza kum convince kaka angu eti tukafanye ugomvi kwa ex au hata mume naye akubali tuongozane twende kuzalilika kama ivi dah 😀 😀 😀
 
Huyu jamaa aliyetambulika kama kaka wa ebitoke pale leo ktk vurugu sio kaka wa damu wa huyo binti jamaa naitwa kitenge ni comedian pia ni kaka wa mjini mjini tu..kwa maelezo ya mlela wanapigana miti tu huyo kak na ebitoke View attachment 1260895
Kwa hiyo ebitoke aliend mshambulia anayemla jamaa yake na huyu kaka lienda mshambulia anayemla mtu wake.
 
Back
Top Bottom