Kwani kugombana na watu sharti uwe umetokea maisha bora au mazuri?Uncle, tatizo huyu Ebitoke ana nyodo sana ,mara kwa mara amekuwa akiwaponda wenzake ,ameshagombana na wengi sana akiwemo shilole na gigy, sasa tulitarajia huenda ametokea maisha bora au ana maisha bora kumbe........
except your grave.Remember that... there is no address which is permanent..
Hivi bado yupo au wameshakachezea na kukaacha?Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........
Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.
Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
ZambarauHapa Ebitoke ndie yupi
SafiWe don't choose who to be our parents/baba na mama,+ their wealthy status but we do "to be rich or poor".......
It's like making funny of bakhersa poverty background, were he grew in.............
Lokole yupo wapi?Juma Lokole bhana
Umejuaje kama mleta mada ni mwanaume? Mbona mwandiko wa kike kabisa??Hivi Mtoa Mada Una Uhakika Kweli Wewe Ni Mwanaume??.
Mbona Wanaume Halisi Hatuna Tabia Za Kike Kike Kama Zako??.
Hajaona picha ya JPM huyo .Mkuu, inaonekana wewe sio mtz,..mbona tushazoea na hayo ndo maisha yetu tena hao Wana unafuu
Aisee, jiheshimu mzee.Umejuaje kama mleta mada ni mwanaume? Mbona mwandiko wa kike kabisa??
Jina Na picture Vinaonyesha Ni dume Ila Kuhusu Mwandiko Hata Mimi Pia Napata Hofu Juu Ya Uwanaume Wake.Umejuaje kama mleta mada ni mwanaume? Mbona mwandiko wa kike kabisa??