Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Wananchi wa wapi hao ?Watetea legacy ni wananchi wa kawaida huko kwa Ground!! Wala haikuwa viongozi ndio watetea legacy !! Nenda kwa ground utawakuta watetea legacy wamejaa kama kawaida na huwaambii chochote kuhusu yule jamaa !!
[emoji38][emoji38][emoji38]Nastaajabu ya binadamu yalipata kutamkwa haya zamani za kale [Dkt Mndolwa: Wazazi tunasema ni Magufuli 2020]
wanasiasa wote ni wachumia tumbo na akili zao wote zimeenda likizo, usichanganywe na utofauti wa rangi za bendera zao
Wanyonge ambao ndio wengi nchini!!
Sio yeye aliyekuwa na power hizo bali katiba mbovu. Katiba hii hata mwendawazimu akiingia pale anaweza kutenda chochote na hakuna cha kumfanya.Kwa hiyo ana makovi ya matundu ya mosumari?.
Ni kweli mwanamme mmoja alotunyamazisha kiasi hicho?
You nailed it !!Sio yeye aliyekuwa na power hizo bali katiba mbovu. Katiba hii hata mwendawazimu akiingia pale anaweza kutenda chochote na hakuna cha kumfanya.
Anayepinga katiba mpya sasa hana akili kabisa.
Kwakweli tunamshukuru Mungu kutuepushe na hile dhahama ya awamu ya tanoAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Nyie mbona kutwa mnamlinganisha Samia na marehemu??Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?
Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.
Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Kwaiyo jpm kila mtu kwake alikuwa fisadi,msafi na mtakatifu alikuwa yeye tu!!? Yule mzee aliharibu kweli mentality ya vijanaToka mtoto wake akatwe Ubunge kule Korogwe na JPM kwa issue ya ufisadi huyu mzee hana hamu na JPM. Yaani mzee aliamini mtoto angepita kabisa
Inaonekana ndio michezo yako hiyo bibieNi kweli kauli hizi hUwa zinatolewa na mtu ambaye hawezi kuwa na marinda. Ukizingatia msumari ulikuwa size ya center bolt
Kati ya yeye wa kupeleka moto na sisi nani yuko hai?Kwahiyo mlikuwa mnapelekewa moto?
Laana itoke wapi? Kumzomea Magufuli aliyekuwa anafurahi kuitwa mungu na akina Prof Kabudi na Kangi Lugora?Wacha kutukana wafu mkuu. Una laana bro
Choko kweli wwInaonekana ndio michezo yako hiyo bibie
Sema tunyooshe mikono juu wana legacy yetu ndio utakapojua kwa nini kuku hakojoi!
hapana,usiwe mkali nimeuliza tu,ungejibu tu Kama kweli au laChoko kweli ww
Sawa, lakini aliwapelekea moto?Kati ya yeye wa kupeleka moto na sisi nani yuko hai?
Jamaa alikuwa anawapigilia misumari ya tako?Utajua mwenyewe
Tupia clip wakati akifurahia kuitwa mungu. Twendeni na ushahidi Ili tuoneshe kweli Sisi ni great thinkers. Vinginevyo ni ujinga kuendelea kuandika vitu visivyo na uhakikaKati ya yeye wa kupeleka moto na sisi nani yuko hai?
Laana itoke wapi? Kumzomea Magufuli aliyekuwa anafurahi kuitwa mungu na akina Prof Kabudi na Kangi Lugora?