Ccm yawa dodoki rasmiChadema walishamtakasa lowassa hadi list of shame waliifuta ....CCM wamemrejesha baada ya utakaso.
Huu ni mwezi wa kwaresma
Msibwa umeshafunikwa.Habari ya sasa ni Lowassa rais wa mioyoya watu
Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Kagoda, Richmond nyingine inanukia ooh nimesahau kampuni ya korosho toka kenya
Makamanda jiandaeni kisaikolojia hakuna lisilowezekana chini ya jua.
Maendeleo hayana vyama!
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Achunguzwe tuhuma za RichmondWimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
Watajipangaje na wakati wako jela,itabidi wawe majasiri kama late mzee Mandela.yaan upinzani unakufa,na uchaguzi serikali za mitaa hampati hata kiti kimoja,kwenye ubunge 2020 mkivusha wabunge watatu tu, mshukuru sana.Hii ni faida zaidi kwa upinzani kama wataamua kutulia nakujipanga vizuri.Kwasababu hali ya kisiasa ya huyo mzee lilikua robo tatu ccm na robo upinzani kwaiyo kuondoka kwake kutaifanya chadema kupumua zaidi nakujipanga na uko ccm mzee kaenda kuungana ile robo tatu yake aliyokua kaiacha nakwavile ile robo tatu yake iliyobaki ccm ilikua imepooza itafufuka sasa.Kwaiyo tutegemee ccm kua naushindani mkubwa sana wa ndani kwa ndani kwasababu kundi hili sioni kama ni kundi lakukaa kimya nakusubiri mwenyekiti apange nakuamua.ile robo aliyokua nayo mzee cdm ilishindwa kufurukuta kwasababu walikua ugenini kwaiyo kurudi kwa mzee ccm kunawapa nguvu zaidi yakufufuka.Ngoja tuone maana muda ni mwalim mzuri.Mim binafsi credit naitupa Upinzani.
WANASIASA WOTE WATASEMA LOWASA SI FISADI NA MWANASIASA BORA WA KARNEWimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.