Nyie mlipomchukua alikuaje ? Labda tuanzie hapo.Kwani si mlikuwa mnasema mafisadi yamekimbilia CDM, je, vipi Lowassa ametakasika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mlipomchukua alikuaje ? Labda tuanzie hapo.Kwani si mlikuwa mnasema mafisadi yamekimbilia CDM, je, vipi Lowassa ametakasika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hamkusema siku zote ? Iweje leoNi muda mzuri kwa upinzani kustaw sasa EL alikuwa akiwatesa sana na kuua vipaj kama wakina Mnyika sasa tutegemee kuona wakina Mnyika wale wa zamani hakika patakuwa patamu sasa.
Watu wa huku JF nimewavulia kofia maana wanajua kufukua makaburi humu na wakikudaka utajuta kuzaliwa. Bora ku lay low tuu. Wasalimie mama zangu wadogo wote nimewamiss sana ila wasipotee sana[emoji4]Nimekusoma kiongozi, kipindi kile utani mwingi na kina bi-dada, teh[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kitu/sehemu uliharibu nini kiongozi [emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa huku JF nimewavulia kofia maana wanajua kufukua makaburi humu na wakikudaka utajuta kuzaliwa. Bora ku lay low tuu. Wasalimie mama zangu wadogo wote nimewamiss sana ila wasipotee sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Humjui Rostam AzizLowassa ndio Super politician wa bongo haki ya nani
Hahahaha. Wanaofuatilia siasa za TZ kwa umakini sana wanaelewa huu uzi una uzito ganiHuu uzi naomba watu wagonge codes tuu...wenye kuelewa waelewe.
Nipe kwa ufupisho kamanda maana mb nazo bei ghali. Ila CCM wakumbuke mwisho wa ubaya ni aibu
Tafuta maana ya King Maker.....ndio ufafanuzi wa uziFafanua uzi wako
[emoji375][emoji375]
Siasa ni mchezo mchafu, huwa haina aibu mkuu, ni sawa na msemo mmoja unaosema, '......haina makombo', na mtalaka hatongozwi.Ni kweli mkuu damu ni nzito kuliko chama wataachiwa na kufutiwa kesi, sishangai nililitegemea ili lakini ameacha mtaji mkubwa. Ninachoshauri wanachadema msimtukane kama ccm walivyomtukana sasa sijui aibu wataziweka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Lowasa kurudi Lumumba Mwanakijiji nae atabaki mv Magufuli au atahama?
Sent using Jamii Forums mobile app