Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Polepole anasemaje ss,bado hafai au anafaa?[emoji23][emoji23][emoji23]

sent using...tecno wereva[emoji23]
 
Ni hivi Jiwe kashindwa kuongoza nchi hasa masuala ya uchumi na fedha ,hivyo ili kuepuka fedheha kaamua kuwarudidha Rostam na Lowasa wamsaidie maana maji yamemfika shingoni hana namna .Jiwe kaproove massive failure ,na hao aliowarudisha hawajasamehe jinsi alivyowananga .Wewe jiwe walikuwa kazungukwa na wasiojua chochote kwenye chama ,Polepole ,Bashiru ,Bashite ,Musiba ,lazima awaangukie wanaokijua chama nnje ndani ,maana uchaguzi huko mlangoni ,yeye mwenyewe jiwe hajui chochote kuhusu mbinu za uchaguzi na figisu figisu zinazotumika kuibeba ccm .
 
Watu Kurudi CCM kulinishangaza mwanzoni hasa kwa wabunge na madiwani kwa kuwa nilikuwa sijajua kama ni project ya ccm;

Ni sawa na Kuanzishwa kwa ACT mi mwanzo niliona kama ni tukio la kawaida, mpaka nilipojua kwamba ni project ya kuwagawa wana chadema ili nguvu ya chama ipunguwe,


Ila kurudi kwa Lowassa hakunistui.
Maana, sikuwahi kumwamini hata 50%

Na alipokuja Chadema alinipunguzia imani juu ya chama, hivyo kuondoka kwake kunanipa raha.


Sasa nawaasa viongozi wakuu wa chama,
Wampokee yeyote atakaekuja kujiunga, ila wasimpe madaraka yoyote, akae kama mwanachama tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu akigombea 2020 itakuwa ndiyo mwisho wake kisiasa. Baada ya uchaguzi hatakuwa na cheo chochote cha kumfanya apatate jukwaa la kusemea. Bora apambanie kurudi bungeni, vinginevyo, atabaki kuwa raia wa kawaida kama mimi. Atakuwa kama Dr. Silaa japo Dr.Silaa yeye alizawadiwa ukatibu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unadhani kufanya siasa nchi hii lazima uwe mbunge au rais? Huu ushauri tunaona ukitolewa sana, lakini sababu ya hofu hii ni uwezo wa Lissu kujenga hoja kumfananisha na Magufuli. Wanaotoa ushauri huu wanaogopa Magufuli asikutane na wakati mgumu kama JK aliokutana nao uchaguzi wa 2010 dhidi ya Slaa. Ni hivi Lissu atagombea huo urais na mjiandae kutumia nguvu ya jeshi kupora ushindi wake.
 
Kamuacha Chairman Mbowe Gerezani! Kweli huyu ni morani!😀
 
Kwa mtazamo wangu Lowasa anamwogopa mnoo Tundu Lisu na anahofu atagombea 2020 na kushinda, hivyo kaamua akimbie mapemaaa.

Eti nashangaa sijasikitika kuondoka kwake japo nimemwazia tu Mbowe yupo rumande sijui kajisikiajee.

Anyway siasa za tz zilishaniboaga muda Sana...nimekuwa mtazamaji tu Kama sipo vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona anatembeza bakuli usa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hana uwezo wa kufanya kazi na yuko ugenini kwenye matibabu baada ya jiwe kuagiza ashambuliwe. Hebu ww kaa zaidi ya mwaka kitandani bila kufanya kazi kama hujaona tukitembea na mkeo chumbani kwako. Ww mwenyewe ukiumwa mafua tu unachangiwa ndio itakuwa matibabu ya Ulaya?
 
Katika kitu nachokiona juu ya huu mpango wakumrudisha Lowassa kuna mambo mawili juu ya siasa za CCM.
Moja ya mkakati huu nikumdhohofisha Cumilius Membe na team yake!kwakutambua Membe ana wafuasi na amekigawa Chama. Pili wanatambua Lowassa anamasalia mengi CCM hivyo kumrudisha nimsaada kwa UMOJA ndani ya CCM pia kudhoofisha CHADEMA kwakuwa wamemfastrate Mbowe kwakujua kesi zinazomkabili. Chama kitadhoofika pia kitakimbiwa na wanachama.

Mytake nikwamba Lowassa si asset tena kwa chama pia kwa taifa ila nachokiona Membe bado ananguvu katika chama hasa CCM hivyo sioni kama wamepiga bao.


Sent using Jamii Forums mobile app

Nashauri huyu mzee wamtunze kama mzee Kingunge na wampe miradi kadhaa ili azeeke nayo, ameshafanya kazi ya kutosha
 
Kwa mtazamo wangu Lowasa anamwogopa mnoo Tundu Lisu na anahofu atagombea 2020 na kushinda, hivyo kaamua akimbie mapemaaa.

Eti nashangaa sijasikitika kuondoka kwake japo nimemwazia tu Mbowe yupo rumande sijui kajisikiajee.

Anyway siasa za tz zilishaniboaga muda Sana...nimekuwa mtazamaji tu Kama sipo vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anakimbizwa na njaa yake ya urais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa Lowassa namfananisha na mtoto mkali hadi sometime unalia pekeako,amekugombanisha na familia kisa walikuwa wanasema ana tabia mbaya, leo karudi kwa lijamaa lake la zamani lililokuwa linamtesa na kumuita malaya...
Hahaha,.kaona kifo chake yule...kaona bora akifuate tuu huko huko..
 
Katika kitu nachokiona juu ya huu mpango wakumrudisha Lowassa kuna mambo mawili juu ya siasa za CCM.
Moja ya mkakati huu nikumdhohofisha Cumilius Membe na team yake!kwakutambua Membe ana wafuasi na amekigawa Chama. Pili wanatambua Lowassa anamasalia mengi CCM hivyo kumrudisha nimsaada kwa UMOJA ndani ya CCM pia kudhoofisha CHADEMA kwakuwa wamemfastrate Mbowe kwakujua kesi zinazomkabili. Chama kitadhoofika pia kitakimbiwa na wanachama.

Mytake nikwamba Lowassa si asset tena kwa chama pia kwa taifa ila nachokiona Membe bado ananguvu katika chama hasa CCM hivyo sioni kama wamepiga bao.


Sent using Jamii Forums mobile app
Membe akienda chadema watampokea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtulia aligombea kwa ticket ya CUF na alikuwa aki wakilisha CUF hakuna chama kinaitwa UKAWA

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu lakini palikuwa na makubaliano ya ushirikiano wa baadhi ya vyama vya upinzani ukiitwa UKAWA. Huo ndio uliofanya wapenzi wa chadema kipigia kura mgombea kwa tiketi ya chama cha cuf.
 
Tangu jana mpaka muda vijana wa bavicha wamepandisha nyuzi nyingi sana kumuhusu Lowassa,
Kuhama kwake wengi wanajifanya kutoshangazwa wala kushitushwa na uondokaji wake.
Lakini kitendo cha kufungua nyuzi mfululizo linatoa picha ni jinsi gani hili jambo limewauma kuliko hata shambulizi la Lissu kupigwa risasi,

Shambulizi baya mlengaji amepiga pigo moja lenye uzani na uchungu mwingi,kila wakikumbuka walivyomtetea na kutukana watu,walivyodeki barabara,waliamua kumtosa mtu muhimu dkt slaa kwa mustakabali wa matumbo yao na tamaa ya kuingia ikulu kwa kutumia silaha yeyote iliyopo mbele.

Ama kwa hakika vijana wamechanganyikiwa ndio kwanza hakusubiri mbowe atoke gerezani, ndio kwanza ametuonyesha Lowassa alikuwa peke yake ndani ya chadema.
Kama alivyoibuka ikulu bila itelejensia kujua ,ndivyo alivyopata mualiko katika ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu ,na ndivyo alivyoondoka jana na kuibukia Lumumba.
Alishawambia mkiona mtu anahama chama vuteni shuka zenu mjifunike mpaka usoni.
Bavicha wamepaniki rasmi wameamua kurudisha jina lake pendwa fisadi wakati alipokuwepo huko walimtetea kwa kila hali!
Vijana mmepaniki!
As long as mzee karudi kustaaf hatna shida naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu Lowasa anamwogopa mnoo Tundu Lisu na anahofu atagombea 2020 na kushinda, hivyo kaamua akimbie mapemaaa.

Eti nashangaa sijasikitika kuondoka kwake japo nimemwazia tu Mbowe yupo rumande sijui kajisikiajee.

Anyway siasa za tz zilishaniboaga muda Sana...nimekuwa mtazamaji tu Kama sipo vile.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ipo wazi...

Haihitaji rocket science kujua hilo!

TL is a nightmare Jiwe kaamua kuangukia group la Wana Mtandao la wanaCCM!

Na asipotumia akili vizuri jiwe atatafunwa!
 
Yanga afrika na sie hatuko nyuma kumshawishi rostam aje kuokoa jahazi kwenye timu yake pendwa
 
Back
Top Bottom