Wala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Mambo 2015 yamekujaje hapo ?Kwa akili zako ukajua kabisa kwamba 2015 Chadema inaaminiiika na wa Tz kiasi cha kuweza kukabidhiwa dola?!
Ni suala la muda tu utaelewa kama in chama cha siasa au cha upatu
Spot on!natumaini atasema elimu elimu elimu
ila huyu kafifisha harakati za chadema sana
mbowe kawa muoga ova kunguru!!!
HahahahahaaaaaMkuu hii ni zaidi ya mtu aliyepata Cannabis, labda uichanganye kidogo na cocaine halafu ushushie gongo ndio unaweza kufikia level ya mkanganyiko utakaoupata ukizichukulia siasa za bongo serious sana😀
Nimetulia natafuna kashata zangu apa...naangalia movie inavyoendeleaNgoja aunge mkono juhudi za Magufuli, sijui makamanda watamuita fisadi tena, halafu wale wakijani watamsafisha, hapa patamu, akivuka upande wa pili hamna aliye salama wote wataonekana wanafiki, yetu macho😀
Au lowasa anajua lisu atamfunika kaamua kujiongeza
Nimelia!!! Sio sabab ya lowasa ila sabab ya nchi yangu inavyopotea kizazi cha kina swalehe kinaniuma!!! [emoji22]Wape faraja kesho... Wanakupenda sana. Kumbuka zile kura million 6 na ushee kumbuka matusi kashfa na kejeli na tuhuma lundo ulizotupiwa... Usije ukawa mwepesi kusahau... Utawaumiza na kuwaliza wengi sana... Usijiwazie wewe... Wawazie hawa watu wanaokupenda sana
Muda unayoyoma watu wamejawa na kihoro kuwa kesho utaongea nini.. Baadhi wanasema maandalizi ya leo kule Pugu hayakuwa ya hasanali bali wewe... Safari yako ya ikulu na matamshi yako yale tayari yameshawasononesha wengi sana... Ni simanzi kila mahali...
Una utashi msimamo na maamuzi binafsi lakini una tafakuri na hekima pia... Kama ukiamua kurudi ccm waweza kwenda.. Hakuna atakayeweza kukuzuia... Lakini utaleta Maumivu kwa mamilioni ya watanzania waliohangaika nawe bega kwa bega usiku na mchana.. Kuna watu si haba wameumizwa kuteswa na kudhulumiwa maisha na mali zao kwa sababu tu ya kukuunga mkono wewe... Usije kuwasahau hawa... Wengine bado wako mahabusu na wengine wanatumikia vifungo usiwasahau pia...
Watanzania wanapitia kipindi kigumu sana.. Wana sononeko na majonzi hawahitaji kuumizwa zaidi.. Wape faraja wafurahi....
Ikishindikana kabisa waweza kwenda.. Watakaobaki wataukomboa wakati...
Heshima ni jambo jema...Uhuru wa maoni uzingatiweKaa chini tukuletee maji ya kunywa mzee unaonekana umeanza kuchanganyikiwa!
Punguza jazba mkuu... Hasira hasaraKadi yangu ya kupigia kura naichoma moto.
"Muda" tu ndio kitu pekee ndio kitakacho ponya vidonda na majeraha yetu kwa sasa.Wape faraja kesho... Wanakupenda sana. Kumbuka zile kura million 6 na ushee kumbuka matusi kashfa na kejeli na tuhuma lundo ulizotupiwa... Usije ukawa mwepesi kusahau... Utawaumiza na kuwaliza wengi sana... Usijiwazie wewe... Wawazie hawa watu wanaokupenda sana
Muda unayoyoma watu wamejawa na kihoro kuwa kesho utaongea nini.. Baadhi wanasema maandalizi ya leo kule Pugu hayakuwa ya hasanali bali wewe... Safari yako ya ikulu na matamshi yako yale tayari yameshawasononesha wengi sana... Ni simanzi kila mahali...
Una utashi msimamo na maamuzi binafsi lakini una tafakuri na hekima pia... Kama ukiamua kurudi ccm waweza kwenda.. Hakuna atakayeweza kukuzuia... Lakini utaleta Maumivu kwa mamilioni ya watanzania waliohangaika nawe bega kwa bega usiku na mchana.. Kuna watu si haba wameumizwa kuteswa na kudhulumiwa maisha na mali zao kwa sababu tu ya kukuunga mkono wewe... Usije kuwasahau hawa... Wengine bado wako mahabusu na wengine wanatumikia vifungo usiwasahau pia...
Watanzania wanapitia kipindi kigumu sana.. Wana sononeko na majonzi hawahitaji kuumizwa zaidi.. Wape faraja wafurahi....
Ikishindikana kabisa waweza kwenda.. Watakaobaki wataukomboa wakati...
Mimi nimelazwa hosp.leo kwa ajili yake.Wala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
huyu akirudi ccm na slaa anarudi chadema tunaanza upya. mbowe anza mazungumzo na slaaaHuyu Lowassa naye akamuunge Mkono magu tubaki na Chadema yetu
Njia nyeupe kwa TL kugombea sasa 2020, kuna vitu huwa vinatokea naturally, this is one of them!Duh, stori za lissu zote zimezikwa leo, hamna anaeongea ya kamanda lissu for presidence wala sijui kaenda Brussels.