TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

Kwaheri Mzee mwema

Ulisalitiwa na uliowasaidia kuingia ikulu

Ugomvi wenu ukatuepushia yule fisadi mwenzao membe

Mungu akatupeleka kwa mzalendo Magufuli

Wewe na magufuli kazi yenu bado haijakwisha yupo mzalendo ataimalizia
Hakika safari ile ya matumaini hautaishia njiani
 
Taarifa zaidi itatolewa na familia na Serikali. Poleni wote

====


EDWARD NGOYAI LOWASSA AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mtoto wake Fredrick Lowassa amethibitisha

Pia, Lowassa aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2005 hadi 2008 na kuweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kujiuzulu.
Poleni UKAWA poleni Monduli
 
Taarifa zaidi itatolewa na familia na Serikali. Poleni wote

====


EDWARD NGOYAI LOWASSA AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mtoto wake Fredrick Lowassa amethibitisha

Pia, Lowassa aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2005 hadi 2008 na kuweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kujiuzulu.r. taba

Taarifa zaidi itatolewa na familia na Serikali. Poleni wote

====


EDWARD NGOYAI LOWASSA AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mtoto wake Fredrick Lowassa amethibitisha

Pia, Lowassa aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2005 hadi 2008 na kuweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kujiuzulu.
Mr. Tabasamu anajisikiaje kwa matendo mabaya aliyomtendea rafiki yake huyu,hadi kupeleka kupata stroke na mwishowe mauti!?
 
Mh. Lowassa, Atakumbukwa kwa mradi wa kupeleka maji ya Ziwa Victoria sehemu mbalimbali za Tanzania. Nakumbuka kabla ya kupeleka huo mradi, baadhi ya sehemu hapa nchini, ndoo ya maji ya lita 20, ilikuwa inauzwa 500/=. Lakini baada ya mradi, ndoo ya maji ikashuka hadi 20/=!
Huo ndo unafuu wa maisha tunaoutaka.

Lakini mapuuzi mengine, yenyewe yapo yapo tu, kazi kuongeza ugumu wa maisha kwa wananchi hasa wa hali ya chini kwa kuongeza kodi za ajabu ajabu zisizo na tija.
Alimaliza kero ya maji kwenye mji wa Kahama na mji wa Chalinze.
Chalinze ingawa imezungukwa na maji ya mto Ruvu, mto Ngerengere na mto Wami lakini miaka na miaka ulikuwa mji mkavu kabisa.
Edward Lowassa akishirikiana na mbunge wa wakati huo mh Kikwete waliibadirisha kabisa Chalinze.
Apumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom