Edwin Mtei aliposikitishwa na Tundu Lissu kumtusi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere


Laana ya Allah iwe juu ya kiumbe huyu Nyerere
ALIYETUVAMIA na kutuulia ndugu na wazee wetu kwa maalfu na mpaka leo tuko katika makucha ya uvamizi na mauwaji
 
Kichwa na habari haviendani. In btn mzee Mtei mwenyewe anaelezea hapo kwamba Nyerere alichemsha na yeye hakukubaliana nae.

Kumtusi mtu ni kutumia F word nk lakini kusema kwamba sera zake zilikuwa mbovu hamna tusi hapo. Nyerere hakuwa mtume.
 
Mbeba maono aliyesema Tanzania ipigwe lockdown halafu leo anadunda bila barakoa kwa msaada wa akili za wenzake!? Wewe unaleta ushabiki, mwambie akamfufue hayati amuulize ni nini yeye hakukielewa majibu atayapata kuliko kumdharirisha mtu aliyetangulia mbele za haki. Kama hujui sasa hivi anaitwa Nyerere mwenye Kheri hatua za mwisho kuuitwa mtakatifu.


MAGUFULI4LIFE.
 
Laana ya Allah iwe juu ya kiumbe huyu Nyerere
ALIYETUVAMIA na kutuulia ndugu na wazee wetu kwa maalfu na mpaka leo tuko katika makucha ya uvamizi na mauwaji
We mpemba yakhe??hebu tulia kikuingieπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
We mpemba yakhe??hebu tulia kikuingieπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kwani wewe kimeshapenya?
Vipi naona mara hii mumekodi wanajeshi wa Burundi kuja kutuuwa ,hamjiamini au vipi??
 
Laana ya Allah iwe juu ya kiumbe huyu Nyerere
ALIYETUVAMIA na kutuulia ndugu na wazee wetu kwa maalfu na mpaka leo tuko katika makucha ya uvamizi na mauwaji
Acha ujinga huo wa kitoto.
Kwani si Nyerere huyo huyo aliwasaidia baba zenu walipokuwa wakichinjana mwaka 1964?

Babaako angechinjwa ungekuwepo kusema hayo?
 
Kichwa na habari haviendani. In btn mzee Mtei mwenyewe anaelezea hapo kwamba Nyerere alichemsha na yeye hakukubaliana nae.

Kumtusi mtu ni kutumia F word nk lakini kusema kwamba sera zake zilikuwa mbovu hamna tusi hapo. Nyerere hakuwa mtume.
Tundu Lissu alimtusi mwasisi wa Taifa.
Soma posti kwa makini humu.
Vyombo vilivyoasisiwa na Mwalimu viliahidi hafiki popote.
 
Mtei aendeleea na kiliko chake huko ARUSHA...sana tunataka kujenga chama upya....
 
Acha ujinga huo wa kitoto.
Kwani si Nyerere huyo huyo aliwasaidia baba zenu walipokuwa wakichinjana mwaka 1964?

Babaako angechinjwa ungekuwepo kusema hayo?

Kawasaidia vibaraka kwani Ali hassan mwinyi kaiba mashamba ya watu Kitope, kule Morogoro kakwapua mashba ya watu ekari 60 000 .Seif Ali Iddi Kaikwangura hazina na kujijengea majumba 37

Labda wewe umerithishwa sehemu ya mgodi wa Mkapa aliojiuzia

Hiyo ndio kazi ya huyo uliyempa mama yako ukamfanya baba
 
Usiruke ruke kama mmanga wa pwani.
Hujaeleza jinsi mlivyosaidiwa na Mwalimu mwaka 1964, ili msichinjwe kama kuku nyote!
Leo mnamwona Mwalimu ati ana laana!
 
Hawa ni vijana waliozaliwa 2000 wamelelewa na single mother hawana maadili kabisa

mkuu,je single mothers hawana maadili ? ,kwanini umeamua kuwatusi watoto wa single mothers kiasi hiko ? na kutokana na uelewa wangu wa Maisha watoto wa single Mothers ndio wanaongoza kupata nyadhifa kubwa na mafanikio ya kimaisha kwanini useme hawana maadili wakati maadili huendana na mafanikio ya kimaisha ?
mifano ya watoto wa single mothers
kanumba,saddam Hussein,Obama,Gaddafi nk
 
Usiruke ruke kama mmanga wa pwani.
Hujaeleza jinsi mlivyosaidiwa na Mwalimu mwaka 1964, ili msichinjwe kama kuku nyote!
Leo mnamwona Mwalimu ati ana laana!
Huyo babayo si ndiye nduli wa matatizo kila mahali na udini wake. ? Uganda kaleta fujo, Nigeria fujo kila mahali , mzimu wake unaitesa Tanganyika na Zanzibar mpaka leo. ALLAH ampe analostahiki kenge yule
 
Huyo babayo si ndiye nduli wa matatizo kila mahali na udini wake. ? Uganda kaleta fujo, Nigeria fujo kila mahali , mzimu wake unaitesa Tanganyika na Zanzibar mpaka leo. ALLAH ampe analostahiki kenge yule
Hata sasa yupa anapostahili.
Unapostahili wewe wapi?
Tusipowakalia ninyi huwaga hamna akili zenu wenyewe.
 
Hata sasa yupa anapostahili.
Unapostahili wewe wapi?
Tusipowakalia ninyi huwaga hamna akili zenu wenyewe.

Ndivyo alivyowafundisha huyo babayo laanatullahi Nyerere ???

unajua yupo wapi ? alifikiri hatokufa kama alivyowauwa wenzake , yeye na yule muuwaji Laanatullahi Jizi Mkapa.

Bado hili linalouwa sasa , ngoja vijana wamshughulikie siku zake zinahesabika
 
nilishasema ila huwa wananichukia na kudharau posts zangu.
Lissu hakuwa mgombea sahihi na aliyekubaliwa na Chadema

Mgombea sahihi ni wewe au vipi , Tuwe na Rais JINGALAO πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…