johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yawezekana ndiyo Mwizi Mkuu wa Kura.unawaza uchaguz tu shubamit
Inasikitisha sana kwa kweli. Sijui ni ajali ama ?Kipenzi cha Magufuli huyu halafu kafa bado kijana sana duh!!
Duh, hatari. Juzi nimeona Waziri wa Mambo ya Ndani akimuwakilisha kwenye shughuli kumbe alikuwa anaumwa. Mwenyezi Mungu Amlaze mahala pema. Jamaa alikuwa muungwana, mpole na Mcha Mungu.Duh hakika mbona bado kijana sana huyu jamaa?
Ndio maana tunawaambia tendeni haki muishi kwa amani na muondoke kwa amani...
Alichanja ?Haya ndio madhara ya kuchanja chanjo pasipo kufanyiwa utafiti hizi chanjo zitakuwa na negative effects zaidi ya positive effects tutegemee kupoteza watu zaidi...
Huyu alikuwa mkimya sana, hakuwa na makuu, mcha Mungu na Mnyenyekevu wa moyoALUMZIKE KWA AMANI MPENDWA WETU,JAPO NDO MARA YA KWANZA NAMUONA MTU HUYU
The guy was sick so hakuchanjwaSide effects za chanjo zimeanza kuonekana kwa walio pokea chanjo.
Nipe ubuyu kidogoInasikitisha sana kwa kweli. Sijui ni ajali ama ?
Lini kapokea chanjo au Umependa kuropoka tuSide effects za chanjo zimeanza kuonekana kwa walio pokea chanjo.
Sio ngoma. Jamani hapa nalia Sukuma gang mwenzangu katuacha 😭.Basi Samia wizara ya Ulinzi ataweka Mzanzibari mwenzake.Nipe ubuyu kidogo
Nini tatizo??
Delta ama 1980 disease