TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

CPA ni kubwa kuliko Bachelor of Commerce or Bachelor of Business Administration katika fani ya uhasibu / ukaguzi wa hesabu (Auditor).

Ukiwa na B’Com itakulazimu kuingia tena class ndio upate CPA.
Hapa sasa nimekuelewa na Asante kwa ufafanuzi wako huu mkubwa wa Kitaaluma. Sina Swali tena juu ya hili nimetosheka.

Cc: Qwy
 
Huyu alikuwa mkimya sana, hakuwa na makuu, mcha Mungu na Mnyenyekevu wa moyo
RIP Waziri. Nawakumbuka mkiwa Wizara ya Ujenzi wewe na Marehemu Nditiye. Msalimie Nditiye mkikutana huko. Life is very short.
 
Ninamfahamu tokea anasoma Shybush tukiwa wadogo kabisa. Hadi alipopata uwaziri hakuwa na makuu kijana wa watu. [emoji24].
Mbona kwenye mgomo wa 1990 sikukuona?
Au ndio mliokimbilia mwambani mapema
Kile kikosi kicho mteka mwl demu kiende naye pori ulivaaje
 
Sidhani lakini Advanced Diploma ni sawa na Bachelor nimeona watu wengi waliokuwa na sifa hizo wakisoma Masters.Kama sikosei nadhani hata Mama Samia kasoma Advanced Diploma wakati huo IDM Mzumbe Advanced Diploma in Public Administration na baadae kapiga Masters....
Watoto wa siku hizi hawawezi kuelewa! Advanced Diploma zamani kabla haijafutwa ilikuwa sawa na Bachelor degree. Kwa hiyo kwa Elias hata bila hiyo CPA alikuwa na sifa za kusoma Masters
 
Viongozi wote walio ktk nafasi mbalimbali, tendeni haki, kamwe usimuonee binadamu mwenzako asiye na hatia eti kisa wewe unamadaka.

kumbukeni hakuna atakaye ishi milele hapa duniani sasa majigambo na vurugu za nini?

Tupendane, tuheshimiane, tutendeane mema.

apumzike kwa amani.
 
Mnaokomaa na delta ,kaswende na kichaa cha mbwa ni lini viliacha kuua!!?
 
Mkuu 'Monk'

Ngoja mimi nikusaidie kwa kifupi tu kujibu maswali yako uliyoweka hapa. Nikipata nafasi nzuri nitaandika mahali kwingine kwa kirefu zaidi ya hapa.
1. Kunawa mikono, kujipaka sanitizer,...
Good analysis.
RIP Kwandikwa.
 
Naaamini mkuu mtaani huku kama hii corona ingekua relevant kama tunavyoona kwenye media za mabeberu tungezika na kusafirisha wengi ila wanaokufa ni matajiri kinachoniogopesha
Acha kuandika uongo moshi na chuga watu wengi wanakufa tu usibishe corona is real acha kupotosha watu chukua tahadhari
 
Ita pendeza kama, viongozi wote wa Ccm walio hujumu uchaguzi, na wanafiki wakifa wote.
 
Alichanjwa? Si mlisema ukichanja hupati madhara?
Atasikika mjinga mmoja...si niliwaambia....huyo mkuu siku ya uzinduzi Chanjo alikuwa kitandani.Akawakilishwa na Waziri Mambo ya ndani uzinduzi hospitali ya kisasa maginjwa ya mlipukoLugalo kwa hisani ya Wajerumani.
 
Back
Top Bottom