Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Jamani wewe😬😬 ,. Me siko serious sijui kwanini mtu anahisi yuko ofended na maandishi
NimeumiaπŸ˜”πŸ˜”
Ukute mtu kanyimwa papuchi usiku mzima halafu asbh saa 12 oclock kapokea simu 7 za madeni... ile kuingia JF anakuta comment yako ya kujimwambafy.
 
Ukute mtu kanyimwa papuchi usiku mzima halafu asbh saa 12 oclock kapokea simu 7 za madeni... ile kuingia JF anakuta comment yako ya kujimwambafy.
MmnhπŸ€”πŸ€”
Mnisamehe jamani sikua namaanisha mlivyoelewa,. Wenye akili tu nadhani ndio wamenipata

Maana wote walikua wanamdhihaki badala wahoji maswali walau kama wako interested wabageni bei wakashiriki lakini imekua tofauti

Mnisamehe sanaπŸ™πŸ™πŸ™
 
Usichukulie serious.,.limeisha tayari
 
Wewe pesa unazo? Mtoto huwa anafundishwa kunyonya?
 
Angekuwa na hizo akili nyingi basi angeona ni bora zaidi kutoa hiyo elimu ya kifedha bure. Angekuwa mwanaharakati. Angeanzisha kampeni labda kuipeleka hiyo elimu mashuleni na vyuoni...

Sasa Certified Fraud Examiner anauza seminars dah, inachekesha.
Mkuu,
Vitu vya Bure Bure havinaga thamani mifano ni mingi ie. ELIMU BUREEEE is fraud πŸ€₯

Elimu ni gharama siku zoteee Ila ignorance ni gharama zaidi

Hayati Lowassa aliwai kuweka wazi kipaumbele chake ni ELIMU ELIMU ELIMU
 
Dah sio kwa ubaya ila kuna watu mnatuonaga mwenzenu wajinga sana, sasa unasema hatukufundishwa una hakika gani au tulisoma wote??

Na kama ni wote wewe ulifundishwa na nani??

Kwa hiyo ukinifundisha hapo nishatoboa au sio??🀣

Sio kama napinga ila dah marketing strategies zenu huwa zinanifurahisha sana

Ila nasema, bora wewe kuliko wale motivational speakers ambao kazi yao nikuhamasisha tu kinadharia bila kuonesha mfano dhahiri wa kivitendo unaoakisi maisha yao halisi

Na kama wewe ni mmoja wao basi kalaghabaho
 
Wewe umeona watu walikua wanahoji au walikua wanamdhihaki,. Sometimes read between the lines
Watahoji, watadhihaki na wengine watatukana...

Ukubali yote, naamini hata mleta mada alijiandaa kwa yote.
 
Mkuu,
Vitu vya Bure Bure havinaga thamani mifano ni mingi ie. ELIMU BUREEEE is fraud πŸ€₯

Elimu ni gharama siku zoteee Ila ignorance ni gharama zaidi

Hayati Lowassa aliwai kuweka wazi kipaumbele chake ni ELIMU ELIMU ELIMU
Havina thamani kwako, ila wanaosaidika wanashukuru.

Tukiendekeza ubepari kwenye kila kitu tunakosa utu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…