Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

Barikiwa sana .. for Adding..
hawa viumbe wana soma aisee
 
Kusema ukweli njia ya kuufikia Upadre siyo nyepesi hata kidogo. Bahati nzuri nilijaribu, na mwisho wa siku nikaishia tu Junior Seminary.

Ila matunda niliyovuna nikiwa Seminarini, hakika yananisaidia mpaka leo.
 
Kusema ukweli njia ya kuufikia Upadre siyo nyepesi hata kidogo. Bahati nzuri nilijaribu, na mwisho wa siku nikaishia tu Junior Seminary.

Ila matunda niliyovuna nikiwa Seminarini, hakika yananisaidia mpaka leo.
Hahaa haa . ilikuwaje mkuu uka amua kufuata wito mwingine
 
masomo ya upadre kwa kiasi kikubwa ni magumu, mpaka mtu anakuwa Padre nadhani hakuna wa bahati mbaya.
ila matokeo ya masomo yao kwa waumini wao ni negative, maana yale waliofundishwa juu ya ukweli na uhalisia wa mungu kwetu waumini hawatufundishi , bali ni mafundisho mepesi sana wanatupa ndio maana inani imeshuka sana.

hata hivyo wengi wa wanafunzi wa upadre yaani Mafrateri na mashemasi wamekua wakijihusha sana na unywaji wa pombe na Mapenzi.

hata hivyo bado mapadre ni jamii ya watu wenye elimu na ufahamu mkubwa wa mambo mengi.
ingawa wengi wao bado ni wajinga kulingana na nasaba zao.
 
yaani nyie watu starehe ya Allah wenu,mtume wenu na nyinyi ni mifukuano tu wala hakuna kitu kingine.

umewahi kutulia ukatafakari kiasi kwamba kila mtu duniani ni nembo yako??huwezi jua sababu huna imani.

mifukuano ni kujilisha upepo tu ndio maana hata baada ya kumaliza unaishia kujilumu tu,hakuna la maana katika kufukuana.
 
Kitendo cha kuhifadhi quran yote kichwani hata padre hajawahi gusa hapa ila uislam unasema ficheni nema zenu maana kuna watu wanakijicho
😁😁hii hii ambayo watoto wa miama 6 wanaiimba,nawewe umekariri yote na unaita ni neema.
unaelewa hata kidogo kweli!!!

kuna mtu anitwa christian prince,yule ndiye kafanya nijue kumbe hakuna muislam hata mmoja anaye hifadhu Qurani akiwa kaielewa😂😂😂

unasomewa aya,unaulizwa ulichoelewa unasahihishwa na kupewa maana yake neo kwa neno unapanick unabaki kushangaa live live🤣🤣🤣
 
Hivi unamaanisha malezi ya padre wa kanisa katoliki au malezi ya mapadre wakatoliki wa Tanzania?

Huko Kenya hakunaga Form V na VI ila na wao wana mapadre wakatoliki!

Katika Jimbo Kuu la Dar es Salaam hakunaga kitu kinaitwa Pre Form One! Na huko Ulaya hakunaga seminary ndogo za Form one mpaka six. Na maaskofu wa Tz wameshawahi kuamriwa na Vatican kuzifuta seminari ndogo! Wakakataa kwa maelezo kuwa elimu ya tz ya serikali haina viwango!

Kuna mapadre wengi hapa Tanzania wala hawajawahi kusoma seminari kwa Form I to Form VI

Malezi ya padre wa katoliki yanahusika na integral formation that is, human formation, intellectual formation, spiritual formation na pastoral as one entity-malezi mfungamano!

Wapi ulifanya sensa ukagundua mapadre wa majimbo ni wengi kuliko wa mashirika? Tuchukue jimbo moja tu eg Zanzibar au Dar es Salaam au Kahama!

Seminary hawasomi tu wavulana. Tembelea seminari ya Chanjale jombo la Same!
 
100% ya fikra za muislamu ni kuwaza masuala ya K tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…