Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In general ni kweli mkuu almost wanawake wana mawazo ya aina hiyo .. ila trust me kuna wanawake wako vizuri wanakipato lakini heshima ipo pale pale kwa wanaume zaoMwanaume anatafuta sana hela ili akizipata atulie na mwanamke
wakati mwanamke anaamini akipata pesa ndio fursa ya kujiweka mbali na wanaume
Hao wanawake Wa aina hiyo, walishapotea tangu kwenye vita ya pili ya dunia mkuuIn general ni kweli mkuu almost wanawake wana mawazo ya aina hiyo .. ila trust me kuna wanawake wako vizuri wanakipato lakini heshima ipo pale pale kwa wanaume zao
Nyie vibur vya kuwa na hela ndo vimewazidInferiority complex ndiyo inayowasumbua
Hapa umemuonea Miss Natafuta huwa ni maneno tu ila ni binti anayejitambua na unene wakeIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Sasa akili zikikuishia unafikiri kinachofuata ni nini? Lawama ili kufukia madhaifu yako.Aisee mnapenda kuanzisha nyuzi za lawama kwenye wabaya na wema wapo
Na hii biashara akiikuza na akawa na pesa unafanyaje? Utaifunga au?Kwanini apate ajira ?! Mpaka kapata ajira ulikua wapi ?! Hakukushirikisha ?! Kwanini umruhusu kutafuta ajira ?! Kama unataka ajishughulishe kwanini usimfungulie biashara ?!
Au ndo nawewe wale ma kutaka kusaidiwa maisha na mwanamke ?
Umeongea kama mwanaume, endeleeni kufunguana taratibu tu tutafika.Mimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom
Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine
Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga[emoji848]
Kwani zamani nilikua kama mwanamke??Umeongea kama mwanaume, endeleeni kufunguana taratibu tu tutafika.
Aah mie sijaongelea ya zamani jamani.Kwani zamani nilikua kama mwanamke??
Halafu huyo simba kwenye avatar vipi??[emoji28]
Sura kama huyo simba kwenye avatar yako.Aah mie sijaongelea ya zamani jamani.
Huyo ndio simba kama simba[emoji1787][emoji1787]
Hapana, wewe ndio umeitafsiri hivyo. Haujawahi kuongea kike.Sura kama huyo simba kwenye avatar yako.
Statement yako utadhani nilikua naongea kike ila leo nimeongea kiume