Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.

Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.

Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha

Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.

Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.

Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.


=====

Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
 
Uzi kama huu unahitaji sana falsafa za uislam

Mwanamke kazi yake ilikua ni kupigwa miti na kuwa msaidizi kwa mwanaume kwenye mambo madogo madogo sana

Mwanamke ni kaumbwa kuipamba dunia, leo hii mwanamke ni mpiga debe na konda wa daladala za mbagala


#Mandown
 
Mwanamke mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe.

Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke
Ukioa asiye na ajira halafu akipata ajira inabidi ufanyaje hapo mkuu?
 
Ukioa asiye na ajira halafu akipata ajira inabidi ufanyaje hapo mkuu?

Kwanini apate ajira ?! Mpaka kapata ajira ulikua wapi ?! Hakukushirikisha ?! Kwanini umruhusu kutafuta ajira ?! Kama unataka ajishughulishe kwanini usimfungulie biashara ?!

Au ndo nawewe wale ma kutaka kusaidiwa maisha na mwanamke ?
 
Mimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom

Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine

Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga🤔
 
Unaoa mwenye ajira msaidiane maisha mwisho anajibebisha kwa mkuu wa kitengo anapigwa mbupu anakatika uno vizuri anakula kitengo mshahara unapanda yeye anapokea 1.7mill mixer posho za safari za mara kwa mara wewe na take home yako 600K unaonekana kenge tu,na hiyo hiyo lak6 itabidi uibane isomeshe watoto,ujengee na umpe hela ya nguo na salon.

Picha linaanza usiku ukipapasa ule mzigo anakupiga vibao ukijidai kumrudishia kesho yake mnaamkia dawati la jinsia una kesi ya unyanyasaji wa kijinsia siku akichelewa kurudi akarudi saa sita usiku ukamuuliza kesho yake ndo harudi kabisa unaanza stress kijana upo 35 bichwa limejaa mvi sura imekunjamana kwa mawazo ukiulizwa vipi ndugu unadai ooh ujenzi unanipasua kichwa kumbe hata kiwanja huna ni ndoa inakupasua akili.

Vijana nendeni kwa akili hakuna kitu kinaitwa kusaidiana maisha na mkeo.
 
Unaowa mwenye ajira msaidiane maisha mwisho anajibebisha kwa mkuu wa kitengo anapigwa mbupu anakatika uno vizuri anakula kitengo mshahara unapanda yeye anapokea 1.7mill wewe na take home yako 600K unaonekana kenge tu siku akichelewa kurudi akarudi saa sita usiku ukamuuliza kesho yake ndo harudi kabisa unaanza stress kijana upo 35 bichwa limejaa mvi sura imekunjamana kwa mawazo ukiulizwa vipi ndugu unadai ooh ujienzi unanipasua kichwa kumbe ndoa inakupasua akili.

Vijana nendeni kwa akili hakuna kitu kinaitwa kusaidiana maisha na mkeo.

Noma sana

Screenshot_20220122-153015_Chrome Beta.jpg
 
Mimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom

Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine

Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga🤔
Hahahahahah usichokijua tu hata vitabu vya dini vilishinikiza mfumo dume kwa sababu ndio mfumo pekee ambao unge work flawlessly. Mwanamke kumtawala ni lazma awe like a toothless dog. Mwanamke akipewa uhuru wa kila kitu huwa actions zake ni za uharibifu tu.

Mwanamke anatakiwa awe chini ya mume na hilo sio ombi ni lazima. Makafiri katika kuiharibu dunia wamejaribu kuharibu hilo kwa ku insist haki sawa.
 
Mimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom

Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine

Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga[emoji848]
Ukiondoa mwanamke nyumbani ,
Akawa busy kutafuta Hela na kupanda vyeo ,automatically umeua familia,
Women are home makers, A softer part of existence ,familia yenye mama (mama mlezi ,sio mama anayewahi kazini asbh) na baba anayefanya kazi Kwa ajili ya familia yake
Ni familia complete iliyo na kila kitu,

Vile familia bora ilivyo basic unit ya jamii inayojielewa (socially,spiritually) na kujitambua,vivyo hivyo ndio umuhimu wa mama kuwa nyumbani kulea watoto katika njia za haki,

Naturally viumbe vya kiume huwa hata visipokuwapo maisha yanaenda tu with a mother around,hii ni common Kwa wanyama wote ,huwezi kukuta jogoo anajishugulisha na vifaranga[emoji1787]

Mbio za kutafuta Hela hazina mwisho ,bahati mbaya ni fumbo tunakuja fumbua wakati wa uzee ,how we wasted our time.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom