Elimu ya Bure kwa Wasafirisha Maiti zinazogoma kwenda Kuzikwa Kwao ili zisikudhuru kwa Ajali mbaya barabarani

Eee hayo mawe yanafanyaje kazii, yaani mechanism yake ni ipi had msipate ajali.

Ikitaka kutoke ajali yanafunga breki hayo mawe.
Tupe darasa.
Hizi elimu huwezi kuzipata kwenye TV. Enzi zetu tulikaa nje tukapiga story kusubiri muda wa kulala tulielimishwa hizo mambo.

Kukiwa na muda nikusimulie baadhi ya matukio ya marehemu walioamua kufanya yao
 
"Walio hai wanajua kuwa watakufa.
lakini wafu hawajui lolote kamwe"

Ni moja ya maneno kutoka katika kitabu takatifu biblia.
 
Haya mambo yapo, kwa mfano mimi, Mimi kulikua na Mama yangu mkubwa aliugua kwa muda mrefu na akawa anawaambia ndugu zake wamuite mdogo wake ambaye ni Mama yangu mzazi lakini hakwenda na hawakuwa wameonana kwa muda mrefu
Basi kwa bahati mbaya akafariki mama akaenda, Ile siku wanamuosha marehemu unaambiwa alifungua macho na kuachama mdomo akimuangalia mdogo wake.
 
Kuna Watoto wa Juzi hapa JamiiForums Sisi Wakongwe tunapowapa haya Mambo wanadhani tuko hapa Kutania au Kupoteza muda.
 
Wait...

Unasema Marehemu anagoma kuzikwa?

Anagomaje?

Anavyogoma anaweka kizuizi gani kuashiria amegoma?

Anasema sitaki?

Huyo atakuwa amezimia anawa ektia tu
Jiongeleshe
 
Fafanua vizuri!
Hayo masharti ni yote yazingatiwe au ni moja kati ya hayo?

Hilo jiwe dogo la kiasi. Gani lirushwe kwenye jeneza likiwa inje au ndani ya gari?
Hilo jiwe kubwa ni kubwa kiasi gani au liwe kama jiwe la fatuma?
.
Kama hutojali ebu pangilia maelezo!
Step by step! Kipi kianze!
 
Kipind nipo kidato cha pili niliwai kushuhudia
 
Umeanza uganga wa kienyeji aisee!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We safirisha maiti yako uache kufata haya masharti uote moto wake
Hakika Kiongozi na tena Watu badala ya Kunishangaa basi labda wangenishukuru kwani hapa nimetoa Msaada wa Thamani Kubwa Kwao na kwa Jamii yetu Kiujumla.
 
Jiwe liwe Dogo na hakikisha ukilirusha Iinafika au linavuka Jeneza la Marehemu. Na hata Watu wakiwemo Ndani Wewe lirushe hivyo hivyo Watakaokushangaa Wasamehe tu bure kwani hawajui kuwa hapo Umewaokoa na Balaa Moja Kubwa sana tu ambalo pengine lingeweza hata Kuchukua huo Uhai wao. Kila la Kheri Kiongozi.
 
sema uliendesha kwa makini tu, shida ni hizi imani haba ni tatizo kwa wanadamu.
 
Wait...

Unasema Marehemu anagoma kuzikwa?

Anagomaje?

Anavyogoma anaweka kizuizi gani kuashiria amegoma?

Anasema sitaki?

Huyo atakuwa amezimia anawa ektia tu

Kupitia wosia kabla ya kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…