Nina ubavu wa kumpindua mtu mie? Akhaa
Hayo nawaachia wengine tu ndugu yangu. . . wanaoyaweza!
Alafu dah. . . hahahah yale ya jana tuyaache kama yalivyo aisee!! Unajua kuna settings huwa zinanizingua nataka niziharibu kabisa nianze upya.....manake kuna kila dalili ya kuaibika mchana kweupeee! LOL
Hahaha!!!
Mambo ya Tanga ni hatari tupu, kila siku nguo zaloweshwa maji hakuna mtu kutoka ndani.
Besti unashabikia??
Ushawahi kupinduliwa wewe?
Anajiona salama kwa kuwa hazbandi wake ndo kinara wa kupindua.. hajui inayoenda mzunguko inarudi mzunguko..
Hahaha!!!
Mambo ya Tanga ni hatari tupu, kila siku nguo zaloweshwa maji hakuna mtu kutoka ndani.
Nimepiga signecha na muhuri wa ikulu shem wangu.
Shemkwe mambo
Hahahahaaa yan bora uanze upya maana la jana ni JANGA haswaaaaaa lol
Mbafu sangu sinauma kwa kicheko aisee lol
Poa sana...mekumis sana shemkwe...upo wewe?
Anajiona salama kwa kuwa hazbandi wake ndo kinara wa kupindua.. hajui inayoenda mzunguko inarudi mzunguko..
We naweee
sema Bishanga mie namuaminia huwa anasema kitanda hakizai haramuHahhahaaa Slave hilo halijalishi....mbona ni nilizaa na The secretary akiwa ndani ya ndoa na Bishanga ?
Mwache apumzike kwanza
kalagabaho!! muulize Mamndenyi akupe full story hawa watu wanapendana ndani kwa ndani hawajionyeshi kwa watuBen Saanane na Madame B sasa imebakia historia tu mkubwa!