Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
- Thread starter
-
- #61
Tuchukuliane naye na kumvumilia. Nashauri tusimtukaneZwazwa la kiarabu koko linapayuka hapa
Duuh unasema blah blah wakati ndiye tajiri no moja kama sikosei.Huyo jamaa hamna kitu, yuko overrated sana. Ameshakuja na blah blah kibao za kiuvumbuzi lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachofanikiwa.
Kiufupi Elon Musk ni muongo muongo, mjanja mjanja na mwizi kimtindo.
Hujakosea, ndiye anayeongoza kwa utajiri hivi sasa. Ana zaidi ya trilioni 700 kwa fedha zetu. Yaani anaweza kugharamia bajeti yote ya serikali yetu kwa takribani miaka 15 bila ya sisi kutoa hata shillingi moja!Duuh unasema blah blah wakati ndiye tajiri no moja kama sikosei.
Hatari sanaMtu ni kapuku wa kutupwa ambaye hata kiwembe tu cha kunyolea mavuzi yake ameshindwa kubuni ila yuko busy anamponda tajiri wa Dunia, "eti Elon hamna kitu pale."
Pathetic.
2051Hivi si alisema 2030 ndo atapeleka watu Mars?
Wewe umefanya nini??Huyo jamaa hamna kitu, yuko overrated sana. Ameshakuja na blah blah kibao za kiuvumbuzi lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachofanikiwa.
Kiufupi Elon Musk ni muongo muongo, mjanja mjanja na mwizi kimtindo.
Kwa hiyo tunaweza mkodishia nchi hata kwa miaka 10 tu then anaweza ibadilosha kabisa....Hujakosea, ndiye anayeongoza kwa utajiri hivi sasa. Ana zaidi ya trilioni 700 kwa fedha zetu. Yaani anaweza kugharamia bajeti yote ya serikali yetu kwa takribani miaka 15 bila ya sisi kutoa hata shillingi moja!
Ndiyo, ila anapenda kusaidia bure. Wakati wa kampeni ya Trump alikuwa anatoa bilioni 2.5 bure kila siku kwa mtu mmoja ili asaidie kuhamasisha watu wapige kura.Kwa hiyo tunaweza mkodishia nchi hata kwa miaka 10 tu then anaweza ibadilosha kabisa....
Hauko sawa.Huyo jamaa hamna kitu, yuko overrated sana. Ameshakuja na blah blah kibao za kiuvumbuzi lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachofanikiwa.
Kiufupi Elon Musk ni muongo muongo, mjanja mjanja na mwizi kimtindo.
na bando la shamej yake.Mtu ni kapuku wa kutupwa ambaye hata kiwembe tu cha kunyolea mavuzi yake ameshindwa kubuni ila yuko busy anamponda tajiri wa Dunia, "eti Elon hamna kitu pale."
Pathetic.
Wewe umevaa kipedo unakuna ndevu tu huku ukinywa kahawa na kashata unamponda Elon Musk. Yaani hata akili ndogo tu ya kufikiria huna.Ni ujinga kuamini Elon Musk anaweza kugundua vitu vipya tofauti tofauti vya kisayansi. Elon Musk hana akili hizo wala uwezo huo. Yeye amewekeza pesa zake nyingi kwenye project za kitafiti na kuzalisha bidhaa na huduma za kiteknolojia zilizotokana na gunduzi za watu wengine hususani young scientists.
Elon musk yuko overrated