Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Urusi kwanini isiuze kwa mashosti zake au haina? Kwanini unalalamikia Marekani kuuzia mashosti as if Urusi inakatazwa kuwa na mashosti wenye hela😂

Wateja wakubwa wa ndege za Urusi ni China, India, Algeria, Misri. Hawa wamenunua ndege Urusi. Bado kina Syria, North Korea, Sudan, Ethiopia na wengine wengi wana Soviet made jets.
Kwanini Su-57 idode kuuzwa kwao.

Kwanini India ilijitoa kwenye mradi wa Su-57 ikakimbia na hela zake ikaiacha Urusi peke yake. India walisoma haraka wakajua hamna ndege ya maana pale, mwaka wa ngapi huu ndege haina injini yake.
Marekani hataki watu wanunue silaha nje ya za kwake na ndio maana baada ya turkey kununua s4 kule Russia wakaanza kumpiga sana spana za kila namna walau kwa China anajua vikwazo kwake sio tatizo hao wengine hawawezi kuhimili vikwazo na ndio maana unaona kwa hila silaha za Russia zinapigwa kumbo na za Marekani mpaka leo Iran anashindwa kupewa silaha na Russia sababu ya vikwazo kadhaa kujitoa kwenye mradi ni mambo ya kawaida sana mbona hata Australia 🇦🇺 walijitoa kwenye mradi wa mabilioni ya dola ya nyambizi za ufaransa mpaka ukataka leta mgogoro wa kidiplomasia baina ya marekani na ufaransa au na wao Australia 🇦🇺 waliona kama hizo nyambizi hazina injini ndio maana wakajitoa
 
Kwa wingi F-16 ni nyingi kuliko F-35.
F-35 ni safest jet kuliko F-15, F-16, A-10.

F-35 ina safest record kuliko Su-57. Data za J-20 hamna wala F-35 haitumiki bado.

Kwa ajali 22 za F-35 kimetokea kifo kimoja cha rubani wa Kijapan aliyeanguka baharini. Hata ajari zake hazina fatalities nyingi. Ajari za 4th generation fighters zina fatalities zaidi.
Hizo ndege za kichina siziongelei sababu siijui lolote kuzihusu kwahio usinihusishe nazo pia kwa F35 tunaongelea kuanguka kwake sio kua ndege zaidi ya 29 zilizo rekodiwa na ndege zaidi ya 21 zimeanguka mwaka mmoja F35 wajitathmini sana
 
Kinachozungumziwa ni F-35, wewe unataja F-15.

Wanajadili Mark X unataja Fuso. Wewe una akili?
typoo,
still hoja iko palepale, wewe unamzidi Elon kiufahamu kuhusu F-35?
unafahamu huyo ana clearance ya level gani huko pentagon?

kuna vitu vingine sio vya kujifanya mjuaji sana kuwazidi waliopo ndani.....
 
Nitajie Urusi au China au North Korea imenunua silaha gani ya Western. Kwanini unataka Ulaya inunue silaha Urusi, na Urusi hainunui silaha Ulaya.

Ulaya wasiponunua F-35 kwa Urusi, watanunua stealth fighter gani. Su-57 haina injini, Ulaya watanunua ndege haina injini???

J-35 ni ndege ya maonyesho mpaka sasa hata Wachina hawana hata moja jeshini.

J-20 haiuzwi, sasa Ulaya watanunuaje ndege haiko sokoni.

Zilizobaki ni 4th generation ambazo sio za China au Urusi tu, hata Saab JAS 39 Gripen ya Sweden huwa inashindwa tenda ikikutana na F-35.

Rafale ya Ufaransa ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth, Eurofighter Typhoon ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth na inazidiwa sana tech.

Kwa upande wa Uturuki, AD systems na fighters inabidi zitambuane kwa IFF ili zisishambuliane. Hivyo kulikuwa na ulazima S-400 na F-35 zifungiwe mifumo ya kusomana jambo ambalo halitakiwi. Uturuki ilikuwa na crew ya Warusi ndio watafunga mifumo na ndio watakuwa wanasoma data. Iambie Urusi mifumo ya S-400 isomwe na NATO uone kama itakubali. Common sense tu
kumbe unaelewa sasa kwanini hayo madude wanauziana wenyewe NATO?

kiufupi silaha ni biashara, awe mrusi, mchina au us, wote wanafanya biashara!

US alichowazidi wenzake ni soko kubwa la silaha zake, ana NATO inanunua silaja zake hata kama 'mbovu' ikiwemo hiyo f-35, ana waarabu, korea, japan, ausie na NZ.... hata akiunda 'bomu' hao watanunua tu

ubora wa silaha usiupime kwa kuangalia nani kanunua, ipime uwanja wa vita!
 
Nitajie Urusi au China au North Korea imenunua silaha gani ya Western. Kwanini unataka Ulaya inunue silaha Urusi, na Urusi hainunui silaha Ulaya.

Ulaya wasiponunua F-35 kwa Urusi, watanunua stealth fighter gani. Su-57 haina injini, Ulaya watanunua ndege haina injini???

J-35 ni ndege ya maonyesho mpaka sasa hata Wachina hawana hata moja jeshini.

J-20 haiuzwi, sasa Ulaya watanunuaje ndege haiko sokoni.

Zilizobaki ni 4th generation ambazo sio za China au Urusi tu, hata Saab JAS 39 Gripen ya Sweden huwa inashindwa tenda ikikutana na F-35.

Rafale ya Ufaransa ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth, Eurofighter Typhoon ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth na inazidiwa sana tech.

Kwa upande wa Uturuki, AD systems na fighters inabidi zitambuane kwa IFF ili zisishambuliane. Hivyo kulikuwa na ulazima S-400 na F-35 zifungiwe mifumo ya kusomana jambo ambalo halitakiwi. Uturuki ilikuwa na crew ya Warusi ndio watafunga mifumo na ndio watakuwa wanasoma data. Iambie Urusi mifumo ya S-400 isomwe na NATO uone kama itakubali. Common sense tu
Hapa ndiyo umetoa jibu technically kabisa nafikiri kuongeza au kupunguza itakuwa ni ukosefu.
 
kumbe unaelewa sasa kwanini hayo madude wanauziana wenyewe NATO?

kiufupi silaha ni biashara, awe mrusi, mchina au us, wote wanafanya biashara!

US alichowazidi wenzake ni soko kubwa la silaha zake, ana NATO inanunua silaja zake hata kama 'mbovu' ikiwemo hiyo f-35, ana waarabu, korea, japan, ausie na NZ.... hata akiunda 'bomu' hao watanunua tu

ubora wa silaha usiupime kwa kuangalia nani kanunua, ipime uwanja wa vita!
Nishakupa sababu kwanini hawanunui, Ulaya hawawezi nunua Su-57 na haina injini. Su-57 probably haina bei ya kutisha wateja wakuu wa Urusi kama Misri, Algeria, India wanaimudu ila bado sio ndege ya kununua sio kamilifu.

Uwanja wa vita utaipimaje Su-57 na haiendi, angalau F-35 inafanya sorties. J-20 utaipimia wapi uwanja wa vita gani.

Kwa kipimo chenu cha uwanja wa vita ni ndege gani hapo mnayotetea imeenda vitani.

Utengeneze ndege mbovu ulalamike watu hawanunui kisa US ina wateja. Mbona Mig-21 ni ya Urusi ukouko na ndio 3rd generation fighter iliyouzwa zaidi karne ya 20.
 
Awaita waliotengeneza hizo ndege ni wajinga na wametumia gharama kubwa kutengeneza ndege zilizo complex ni upigaji tu

Anasema kwa sasa future ni kwenye drones huku akionyesha swarm drones za China zikifanya maneuver angani


View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861070432377737269?t=k5Q2yS9RpbgxG3TYbf5Ieg&s=19


View: https://twitter.com/elonmusk/status/1860574377013838033?t=Ml1MLhCcRQCOWiREEHViJA&s=19



View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861088922304160167?t=OzL9bKDdUoypZW2qQgjvhQ&s=19

Haya madude ni makopo Lockheed Martin wamepiga pesa wamesepa

T14 Armata
 
Ana hoja.

Asikilizwe
Hoja anaweza kuwa nayo.

Ila usisahau kuwa ni mfanyabiashara na kushiriki kwake kwa kampeni za Trump ni calculated move.

Hii kauli ni mwanzo wa kuvizia tenda za kutengeneza silaha.

Itakuwa ana projects zake anataka kuzipenyeza.
 
Awaita waliotengeneza hizo ndege ni wajinga na wametumia gharama kubwa kutengeneza ndege zilizo complex ni upigaji tu

Anasema kwa sasa future ni kwenye drones huku akionyesha swarm drones za China zikifanya maneuver angani


View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861070432377737269?t=k5Q2yS9RpbgxG3TYbf5Ieg&s=19


View: https://twitter.com/elonmusk/status/1860574377013838033?t=Ml1MLhCcRQCOWiREEHViJA&s=19



View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861088922304160167?t=OzL9bKDdUoypZW2qQgjvhQ&s=19

Haya madude ni makopo Lockheed Martin wamepiga pesa wamesepa

Haache dharau..........yeye mwenyewe hayo madude yake ya kwenda Mars yana impact gani kwa maisha ya sasa .........ikiwa mida sio mrefu atakuwa jivu eli mauti...........haya ndio Russia kareta vita huko marekani atachukua satellite yake akamzuie asilipue marekani.......huyu ni tajiri ila punguani kujifanya yeye ndio mwenye akili kuliko watu wengine........anajua hao Lockheed wamefanya miradi mingapi ya kuilinda marekani na yeye mwafrika mwenye rangi ya kidhungu??............kama hao Lockheed wasinge kuwa na project kali hata yeye asingetoka kwa wazulu kwenda kushangaa marekani .........hili ni tajiri jinga kabisa kuwahi kutokea hapa duniani
 
Haache dharau..........yeye mwenyewe hayo madude yake ya kwenda Mars yana impact gani kwa maisha ya sasa .........ikiwa mida sio mrefu atakuwa jivu eli mauti...........haya ndio Russia kareta vita huko marekani atachukua satellite yake akamzuie asilipue marekani.......huyu ni tajiri ila punguani kujifanya yeye ndio mwenye akili kuliko watu wengine........anajua hao Lockheed wamefanya miradi mingapi ya kuilinda marekani na yeye mwafrika mwenye rangi ya kidhungu??............kama hao Lockheed wasinge kuwa na project kali hata yeye asingetoka kwa wazulu kwenda kushangaa marekani .........hili ni tajiri jinga kabisa kuwahi kutokea hapa duniani
Alichosema ni cha kweli au kaisingizia Lockheed?
 
Na zote hizi mbili unazitaja zinatakiwa ziwe power ya J-35 ambayo ni ndege ya maonyesho. Lini J-35 imekabidhiwa jeshini ianze kutumika mpaka uanze taja injini zake ziko kazini?
Unataka J-35 izinduliwe mara ngapi?
 
Na zote hizi mbili unazitaja zinatakiwa ziwe power ya J-35 ambayo ni ndege ya maonyesho. Lini J-35 imekabidhiwa jeshini ianze kutumika mpaka uanze taja injini zake ziko kazini?

Injini ziko kwenye development. Ndege iko kwenye development.

J-20 yenu injini yake ya tatu iko kwenye deelopment.
Mbona Lockheed kwenye kutengeneza engine ya F-35 waliwatumia contractors wengine kama Pratt & Whitney na kampuni nyingine zilihusika kama Rolls Royce, Hamilton na Woodward
 
Wewe unataka nijibuje ? Au unataka nijibu kama unavyotaka wewe ?maana umeuliza nimekujibu kwa nilivyoelewa au ulikuwa na jibu lako?? Liweke nione nimekosea wapi mkuu
Alichosema ni kweli au uongo?
 
Back
Top Bottom