Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #121
Tangu lini Elon Musk amekuwa authority kwenye fighter planes? Kutengeneza rocket na kuwa tajiri No 1 duniani hakukufanyi wewe ujue kila kitu.
Vipi na Pentagon nao hawana authority walipoitaka Lockheed na BAE wafanyie maboresho ya engine? Elon kazungumza ukweli ambao idara ya ulinzi ya Marekani inafahamu