Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Sawa wee mjanja usie wezwaWajinga mmewezwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wee mjanja usie wezwaWajinga mmewezwa sana
Wewe nipe facts zakusema kwamba F35 ina maajabu saanaUlimwambia kwa kutumia facts zipi? Ukipinge kitu sababu ya kutokipenda unataka watu wakukubalie tu.
Unapozi diss unatumia grounds zipi? Hivi unaijui F-35 wewe? Au una hata ka Idea ka silaha?
Agundue vya kwake na yeye aache kudoweaMaana ya innovation ni kukiendeleza kilichokuwepo Kwa kukiongezea manjonjo na ufanisi zaidi.
Mgunduzi aligundua simu hiyo ni invention,ila wataalamu wakafanya innovation ya smart phones.
Hivi ku innovate smart phone ilikua ni kasi rahisi!??
😂😂😂😂😂Mkuu nenda kasome Research and Development ilivyo complex pia na complicated.Agundue vya kwake na yeye aache kudowea
Mzee wa kucopy bado sana. Ngoja tusubiri mwakani US atakuja na nini acopy tena
Taja ndege isiyo na changamoto au kasoro. F-35 injini zake zina protective coating ya joto kali inayoisha haraka hiyo ndio kasoro kubwa.Picha linaanza tu F-35 ina shida kwenye engine
Na mpaka leo hakuna maboresho yaliyofanywa kwenye engine
Braza achana na Musk, toa sababu zako. Onyesha ni wapi F-35 inazidiwa na stealth nyingine. Mbona ngonjera nyingi na hoja hamna.Ila wewe kila wazo lako ni sahihi tuanzie hapa kwanza yaani musk aliopo karibu kabisa na system unamsemeaje f 35 hamna maajabu pale mzee niliisema hili miaka kama si mitano basi saba nyuma leo elon nae Katia neno
Taja ndege isiyo na changamoto au kasoro. F-35 injini zake zina protective coating ya joto kali inayoisha haraka hiyo ndio kasoro kubwa.
Acha blah blah we mamaDrones zinaangushwa na jammer tu
Akiripoti kutoka Mahuta shimoni Newala.....Taka taka hiyo tangu izinduliwe kwenye airshow inatoa moshi tu hata nusu mwaka haina
Mnasifia mabosheni hayo
Unajua maana ya Airshow ni nini?F-35 ina miaka mingapi tangu itoke kiwandani
Compare na j-35 ambayo juzi tu kwenye airshow yao ilikuwa ina mwaga mimoshi kama mashine ya disel 🤣
Kwani kwenye hiyo video hujawasikia au lugha imekupiga chenga?Ni beef hilo Mzee siasa mchongo mchafu uzuri huko hutosikia Elon Musk katekwa na wasiojulikana watajulikana ndani ya nusu dakika
Nmesemaje huko hakuna PoliCCM wala wale wasiojulikana yaan ukipiga tukio nusu dakika nyingi ndani ya nusu sekunde tu watu washakujuaKwani kwenye hiyo video hujawasikia au lugha imekupiga chenga?
Kwaiyo unaamini Iran ndo waliohusika na majaribio ya kununua Trump?Nmesemaje huko hakuna PoliCCM wala wale wasiojulikana yaan ukipiga tukio nusu dakika nyingi ndani ya nusu sekunde tu watu washakujua
Mwanangu bado umekamatiwa kiunoni au?Kwaiyo unaamini Iran ndo waliohusika na majaribio ya kununua Trump?
Awaita waliotengeneza hizo ndege ni wajinga na wametumia gharama kubwa kutengeneza ndege zilizo complex ni upigaji tu
Anasema kwa sasa future ni kwenye drones huku akionyesha swarm drones za China zikifanya maneuver angani
View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861070432377737269?t=k5Q2yS9RpbgxG3TYbf5Ieg&s=19
View: https://twitter.com/elonmusk/status/1860574377013838033?t=Ml1MLhCcRQCOWiREEHViJA&s=19
View: https://twitter.com/elonmusk/status/1861088922304160167?t=OzL9bKDdUoypZW2qQgjvhQ&s=19
Haya madude ni makopo Lockheed Martin wamepiga pesa wamesepa
Mpaka anamaliza atakua amevunja rekodi za GuinnessAkili kubwa, huku kwetu wasomi wetu project yao kubwa ni kujipendekeza kwa samia na kumrundikia ma degree ya heshima kibao ya sio na maana! Harafu wanaona wame accomplish jambo la maaaana,
Kagame, Uhuru, Mwinyi, Ramaphosa, wamepewa hsyo ma degree ya kipuuzi lini?
Kwani hukusikia majibu ya uchunguzi?Mwanangu bado umekamatiwa kiunoni au?
Mimi sijamuiga musk sababu hili suala musk kaliongelea juzi na Jana ila mimi nimeliongelea miaka zaidi ya mitano nyuma hukoBraza achana na Musk, toa sababu zako. Onyesha ni wapi F-35 inazidiwa na stealth nyingine. Mbona ngonjera nyingi na hoja hamna.
Musk akisema kuoa ni ujinga kwa sababu hajaoa nawe utakubali kisa Musk kasema. Musk hana nyumba, akisema kujenga nyumba za kuishi ni upuuzi tuwe tunalala store utakubali kisa ni Musk.
Kubali kwa hoja zako, pinga kwa hoja zako. Okay nakurahisishia, leta ndegevita unayoona ni bora