Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Kwa hiyo wote ni wajinga kwamba hawaoni ukweli wa hoja? Mbona mnaandika mambo kisongombingo sana nyie? As if mtu mwenye akili ni Musk pekee?

Anachofanya Musk kwa sasa katika kuonesha madhaifu, ni kupaza sauti ileile ambayo muda mrefu watu wakweli wamekuwa wakisema. Wala hajazungumza jambo jipya hapo.

Ndiyo maana tukawaambieni kwamba Marekani ilitamani vita hivi ili iuze silaha zake na pia kufanyia majaribio silaha zingine. Hapo bado sijatacha uchafu na ukatili wa kibinadamu unaoendelea Ukraine. Marekani kwa asili ni bepari mfanyabiashara. Lengo lake huwa ni moja tu - kujitanua na kutawala kwa gharama yoyote.
Well said
 
Nilikupa majibu kule ukakimbia. Sasa naona unataka tuanze upya wakati siku zote hujawahi kuonyesha ni wapi F-35 zinapoteza maana. Unatoa maoni kama watoa maoni wengine, huonyeshi how F-35 ni mbovu. Ninazo sababu chungu nzima za kuonyesha ubora wa F-35 huna hata sababu moja ya kuipinga.

Elon Musk sio Mungu kwamba kila wazo lake ni sahihi.
🤣🤣🤣🤣🤣 Una project gani ya tech ambayo umeshawahi kui innovate hapa nchini !? Ambayo Ina kubalika kiwilaya tu Achana na ngazi ya kitaifa, kama Ipo basi utakuwa Una Haki ya kumkosoa guru wa tech Kwa sasa Elon musk lakini kama hauna Hiyo project basi utakuwa unatupigia makelele tu hapa

Kumbuka Elon ni public figure ana ushawishi mkubwa kidunia mpaka anaongea Jambo la kukosoa sekta ya tech katika Serikali ya nchi yake hawezi kuwa amekurupuka , Kama hata Hilo pia unalipinga Anza kujitafakari mkuu inaweza kuwa Umechanganyikiwa ila haujijui
 
Mshauri wa trump akiwa kazini..

Sasa tutazuiaje starlink take afu jamaa ndio anakunywaga chai na trump
 
Nakumbuka na wanangu Bwana Utam and 100 others

Tulisema sana haya ma F-35 ni jina tu hayana lolote pro-US wakawaka sana.

Haya Musk naye kayakosoa vikali hamna ndege vita humo

Ujumbe uumfikie T14 Armata na jopo lake la akina Proved na Baltasar Ebang Engonga
Just because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvels

For the tecord na history, wakati F-16 inaingia ilikosolewa sana, leo ndio back bone ya US airfoece, Yf-17 ambao leo ndio F-18, leo ndio backbone ya US navy , na progam zingine

Zote zilianza na madhaifu baadae zikaboreshwa it normal
 
Nilikua namueleza sana hili swahiba wangu T14 Armata kwamba F35 pale marekani kapuyanga narudia tena kumwambia katika ndege ambazo marekani kapotena basi ni hayo makopo hayo madege ni buuurree kabisaa ingawaje wamarekani wa jf watapingana mpaka na Elon
kapuyanga kivipi,leteni facts jinsi alivyoingia chaka...
 
Hawawezi

Hata Pentagon ilishawahi kuwataka contractors wa F-35 waziboreshe hitilafu za hayo makopo hasa upande wa engine

Lakini Lockheed na wenzake wakapotezea kwa sababu ya gharama na wakati wamepiga vibunda vya maana kwenye huo mradi

Elon Musk amekuja kulifufua hilo suala. Pesa za walipa kodi wa Marekani zimeishia kwa defense contractors pockets
Yaani mbongo anaita f35 makopo, aisee waafrica alietuloga sijui nani
 
Just because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvels

For the tecord na history, wakati F-16 inaingia ilikosolewa sana, leo ndio back bone ya US airfoece, Yf-17 ambao leo ndio F-18, leo ndio backbone ya US navy , na progam zingine

Zote zilianza na madhaifu baadae zikaboreshwa it normal
Hakuna kitu kinachokua pafekt kwa mia mia ila F35 ndege ya mchongoma marekani wahangaike sana itawachukua miaka mingi kupata ndege bora kama f22 na hata 16 kwa mbali ila hili kopo la 35 hapana kwa kweli
 
Just because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvels

For the tecord na history, wakati F-16 inaingia ilikosolewa sana, leo ndio back bone ya US airfoece, Yf-17 ambao leo ndio F-18, leo ndio backbone ya US navy , na progam zingine

Zote zilianza na madhaifu baadae zikaboreshwa it normal
Na Pentagon waliposema zina shida ya engine nao ni wafanyabiashara?
 
Back
Top Bottom