Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Hata mimi nimehisi huyu bwana anataka kuja na kikampuni chake cha commercial na military drones so anandaa mipigo.Huyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimehisi huyu bwana anataka kuja na kikampuni chake cha commercial na military drones so anandaa mipigo.Huyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.
Exactly!Hata mimi nimehisi huyu bwana anataka kuja na kikampuni chake cha commercial na military drones so anandaa mipigo.
Nikiwa ndugu yangu Teknocrat akiwa amevaa kipedo chake na kikombe cha gahawaAkiripoti kutoka Mahuta shimoni Newala.....
Ukijua wewe inatoshaUnajua maana ya Airshow nini?
Well saidKwa hiyo wote ni wajinga kwamba hawaoni ukweli wa hoja? Mbona mnaandika mambo kisongombingo sana nyie? As if mtu mwenye akili ni Musk pekee?
Anachofanya Musk kwa sasa katika kuonesha madhaifu, ni kupaza sauti ileile ambayo muda mrefu watu wakweli wamekuwa wakisema. Wala hajazungumza jambo jipya hapo.
Ndiyo maana tukawaambieni kwamba Marekani ilitamani vita hivi ili iuze silaha zake na pia kufanyia majaribio silaha zingine. Hapo bado sijatacha uchafu na ukatili wa kibinadamu unaoendelea Ukraine. Marekani kwa asili ni bepari mfanyabiashara. Lengo lake huwa ni moja tu - kujitanua na kutawala kwa gharama yoyote.
🤣🤣🤣🤣🤣 Una project gani ya tech ambayo umeshawahi kui innovate hapa nchini !? Ambayo Ina kubalika kiwilaya tu Achana na ngazi ya kitaifa, kama Ipo basi utakuwa Una Haki ya kumkosoa guru wa tech Kwa sasa Elon musk lakini kama hauna Hiyo project basi utakuwa unatupigia makelele tu hapaNilikupa majibu kule ukakimbia. Sasa naona unataka tuanze upya wakati siku zote hujawahi kuonyesha ni wapi F-35 zinapoteza maana. Unatoa maoni kama watoa maoni wengine, huonyeshi how F-35 ni mbovu. Ninazo sababu chungu nzima za kuonyesha ubora wa F-35 huna hata sababu moja ya kuipinga.
Elon Musk sio Mungu kwamba kila wazo lake ni sahihi.
🤣🤣🤣Ngoja wamarekani wa kitunda waje
Just because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvelsNakumbuka na wanangu Bwana Utam and 100 others
Tulisema sana haya ma F-35 ni jina tu hayana lolote pro-US wakawaka sana.
Haya Musk naye kayakosoa vikali hamna ndege vita humo
Ujumbe uumfikie T14 Armata na jopo lake la akina Proved na Baltasar Ebang Engonga
Tangu lini Elon Musk amekuwa authority kwenye fighter planes? Kutengeneza rocket na kuwa tajiri No 1 duniani hakukufanyi wewe ujue kila kitu.Nakumbuka na wanangu Bwana Utam and 100 others
Tulisema sana haya ma F-35 ni jina tu hayana lolote pro-US wakawaka sana.
Haya Musk naye kayakosoa vikali hamna ndege vita humo
Ujumbe uumfikie T14 Armata na jopo lake la akina Proved na Baltasar Ebang Engonga
kapuyanga kivipi,leteni facts jinsi alivyoingia chaka...Nilikua namueleza sana hili swahiba wangu T14 Armata kwamba F35 pale marekani kapuyanga narudia tena kumwambia katika ndege ambazo marekani kapotena basi ni hayo makopo hayo madege ni buuurree kabisaa ingawaje wamarekani wa jf watapingana mpaka na Elon
Yaani mbongo anaita f35 makopo, aisee waafrica alietuloga sijui naniHawawezi
Hata Pentagon ilishawahi kuwataka contractors wa F-35 waziboreshe hitilafu za hayo makopo hasa upande wa engine
Lakini Lockheed na wenzake wakapotezea kwa sababu ya gharama na wakati wamepiga vibunda vya maana kwenye huo mradi
Elon Musk amekuja kulifufua hilo suala. Pesa za walipa kodi wa Marekani zimeishia kwa defense contractors pockets
Msome Xi Jinping katoa facts chache kati ya nyingikapuyanga kivipi,leteni facts jinsi alivyoingia chaka...
Na musk nae mbongo wa wapiYaani mbongo anaita f35 makopo, aisee waafrica alietuloga sijui nani
Kwani musk ni Mungu?Na musk nae mbongo wa wapi
Sio mbongo kwani kule juu ulitaja MunguKwani musk ni Mungu?
Hakuna kitu kinachokua pafekt kwa mia mia ila F35 ndege ya mchongoma marekani wahangaike sana itawachukua miaka mingi kupata ndege bora kama f22 na hata 16 kwa mbali ila hili kopo la 35 hapana kwa kweliJust because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvels
For the tecord na history, wakati F-16 inaingia ilikosolewa sana, leo ndio back bone ya US airfoece, Yf-17 ambao leo ndio F-18, leo ndio backbone ya US navy , na progam zingine
Zote zilianza na madhaifu baadae zikaboreshwa it normal
Just because musk anakosoa it doesnt mean ni mbaya, musk ni mfanya biashara, ana malengo yake. Hajawa ku serve jeshini, kuachilia mbali kuwa rubani tu. So anapokosoa akosoe kwa technical details, including nyie. Si kukosoq kwa blah blah. Hiyo ndege ni few of technical marvels
For the tecord na history, wakati F-16 inaingia ilikosolewa sana, leo ndio back bone ya US airfoece, Yf-17 ambao leo ndio F-18, leo ndio backbone ya US navy , na progam zingine
Zote zilianza na madhaifu baadae zikaboreshwa it normal