Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Hilo hapo kopo F-35 likianguka kwa sababu ya software issues. Halafu nikusikie ukibwabwaja tena eti hakuna ndege ina software bora zaidi ya F-35

View attachment 3161967

Hapa Lockheed waliingiza chaka Pentagon

Endless comedy of errors 🤣

Hakuna ndege isiyoanguka.

F-35 ni mojawapo ya safest fighter jets duniani. Soma data za crash rate uilinganishe na ndege yeyote.

Vipi J-35 ya Mchina inatoka lini kwenye maonyesho na kuwa produced na introduced jeshini.
 
Nitajie Urusi au China au North Korea imenunua silaha gani ya Western. Kwanini unataka Ulaya inunue silaha Urusi, na Urusi hainunui silaha Ulaya.

Ulaya wasiponunua F-35 kwa Urusi, watanunua stealth fighter gani. Su-57 haina injini, Ulaya watanunua ndege haina injini???

J-35 ni ndege ya maonyesho mpaka sasa hata Wachina hawana hata moja jeshini.

J-20 haiuzwi, sasa Ulaya watanunuaje ndege haiko sokoni.

Zilizobaki ni 4th generation ambazo sio za China au Urusi tu, hata Saab JAS 39 Gripen ya Sweden huwa inashindwa tenda ikikutana na F-35.

Rafale ya Ufaransa ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth, Eurofighter Typhoon ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth na inazidiwa sana tech.

Kwa upande wa Uturuki, AD systems na fighters inabidi zitambuane kwa IFF ili zisishambuliane. Hivyo kulikuwa na ulazima S-400 na F-35 zifungiwe mifumo ya kusomana jambo ambalo halitakiwi. Uturuki ilikuwa na crew ya Warusi ndio watafunga mifumo na ndio watakuwa wanasoma data. Iambie Urusi mifumo ya S-400 isomwe na NATO uone kama itakubali. Common sense tu
Sasa kumbe majibu ya kwanini f 35 imenunuliwa zaidi unayo mpaka na ya ziada mzee na hizo ndio sababu za kwanini ndege za F35 zimenunuliwa zaidi na wala sio sababu ya ubora na kuhakikisha leo hii f f22 ikitolewa zuio la kuuzwa na marekani ingawaje ni ndege ya muda ila itauza na kuzipiku oda zote za F35
 
Hakuna ndege isiyoanguka.

F-35 ni mojawapo ya safest fighter jets duniani. Soma data za crash rate uilinganishe na ndege yeyote.

Vipi J-35 ya Mchina inatoka lini kwenye maonyesho na kuwa peoduced na introduced jeshini.
Kuanguka ndege kawaida ila maanguko ya F35 yamekuwa too much yaani miaka mitano ama minne huko nyuma zilikua zinajidondokea tu kama maembe yaliokwisha kwiva zishaanguka ndege zaidi ya 29
 
Hakuna ndege isiyoanguka.

F-35 ni mojawapo ya safest fighter jets duniani. Soma data za crash rate uilinganishe na ndege yeyote.

Vipi J-35 ya Mchina inatoka lini kwenye maonyesho na kuwa peoduced na introduced jeshini.
🤣 🤣 🤣 🤣

Kwa hiyo kwa mara nyingine tena tunakubalina kasoro ya pili ya F-35 ni software issues ndiyo maana yanajidondokea tu

Ya kwanza tuliona engine ambayo mpaka leo haijafanyiwa maboresho

Vipi nije na kasoro ya tatu au tupumzike kwanza tuendelee na majukumu mengine?
 
Unaijua WS-19E
Not operational. Kwenye madaftari ipo ila ni squadron gani ina ndege zenye WS-19E?
WS-21E?
Kwenye madaftari sawa. Kwenye operation hamna kitu kinaitwa WS-21E.

Na zote hizi mbili unazitaja zinatakiwa ziwe power ya J-35 ambayo ni ndege ya maonyesho. Lini J-35 imekabidhiwa jeshini ianze kutumika mpaka uanze taja injini zake ziko kazini?

Injini ziko kwenye development. Ndege iko kwenye development.

J-20 yenu injini yake ya tatu iko kwenye deelopment.

China haina injini ya 5th generation fighter hata moja kwa sasa. Inasikitisha🥹
 
Kuanguka ndege kawaida ila maanguko ya F35 yamekuwa too much yaani miaka mitano ama minne huko nyuma zilikua zinajidondokea tu kama maembe yaliokwisha kwiva zishaanguka ndege zaidi ya 29
Hakuna ndeye ya Urusi ina flight to crash ratio nzuri kuliko F-35. Kama F-35 ni mbovu na inatakiwa iondolewe basi Urusi wanatakiwa watupe ndege zao zote.

Twende kwa namba nikukimbize
 
Ni sawa na mtu aseme unateka ardhi bila infantry ndege vita zitabaki kuwa na umuhimu wake kwenye battle ground
Kama ukraine anaavyopambana na Hezbollah bila infantry anaishia kuripua majengo kuua unarmed civilian na watoto
 
Sasa kumbe majibu ya kwanini f 35 imenunuliwa zaidi unayo mpaka na ya ziada mzee na hizo ndio sababu za kwanini ndege za F35 zimenunuliwa zaidi na wala sio sababu ya ubora na kuhakikisha leo hii f f22 ikitolewa zuio la kuuzwa na marekani ingawaje ni ndege ya muda ila itauza na kuzipiku oda zote za F35
Kwanini Su-57 haijanunuliwa na iko sokoni?
 
🤣 🤣 🤣 🤣

Kwa hiyo kwa mara nyingine tena tunakubalina kasoro ya pili ya F-35 ni software issues ndiyo maana yanajidondokea tu

Ya kwanza tuliona engine ambayo mpaka leo haijafanyiwa maboresho

Vipi nije na kasoro ya tatu au tupumzike kwanza tuendelee na majukumu mengine?
J-35 inatoka lini kwenye maonyesho?
 
Kwa nini defense contractors wa F-35 wanakimbia kuzirekebisha engine mpaka leo?
Kwanini China haijatoa J-35 inaipigia picha tu na kuizungusha kwa waandishi wa habari kisha inairudisha karakana?
 
Hakuna ndeye ya Urusi ina flight to crash ratio nzuri kuliko F-35. Kama F-35 ni mbovu na inatakiwa iondolewe basi Urusi wanatakiwa watupe ndege zao zote.

Twende kwa namba nikukimbize
F35 inabebwa na uwingi wake tu wangekua na idadi sawa na ndege za Russia ya kizazi sawa wasingekua na ndege hizo tena leta namba pia zingatia matoleo yote ya F35
 
Hakuna ndeye ya Urusi ina flight to crash ratio nzuri kuliko F-35. Kama F-35 ni mbovu na inatakiwa iondolewe basi Urusi wanatakiwa watupe ndege zao zote.

Twende kwa namba nikukimbize
Huo ubovu wa F35 Elon Musk hajalinganisha na ndege nyingine; yeye kalinganisha na standard za kimarekani. Na ukimsoma between the lines anamaanisha they could do better than what they did.

Akina kwa mtogole wanadhani kasema ni mbovu kulinganisha na za kirusi na kichina! Bure kabisa.
 
Inanunuliwa nanani na wateja wakubwa wote kama sio wengi ni mashost zake na marekani
Urusi kwanini isiuze kwa mashosti zake au haina? Kwanini unalalamikia Marekani kuuzia mashosti as if Urusi inakatazwa kuwa na mashosti wenye hela😂

Wateja wakubwa wa ndege za Urusi ni China, India, Algeria, Misri. Hawa wamenunua ndege Urusi. Bado kina Syria, North Korea, Sudan, Ethiopia na wengine wengi wana Soviet made jets.
Kwanini Su-57 idode kuuzwa kwao.

Kwanini India ilijitoa kwenye mradi wa Su-57 ikakimbia na hela zake ikaiacha Urusi peke yake. India walisoma haraka wakajua hamna ndege ya maana pale, mwaka wa ngapi huu ndege haina injini yake.
 
F35 inabebwa na uwingi wake tu wangekua na idadi sawa na ndege za Russia ya kizazi sawa wasingekua na ndege hizo tena leta namba pia zingatia matoleo yote ya F35
Kwa wingi F-16 ni nyingi kuliko F-35.
F-35 ni safest jet kuliko F-15, F-16, A-10.

F-35 ina safest record kuliko Su-57. Data za J-20 hamna wala F-35 haitumiki bado.

Kwa ajali 22 za F-35 kimetokea kifo kimoja cha rubani wa Kijapan aliyeanguka baharini. Hata ajari zake hazina fatalities nyingi. Ajari za 4th generation fighters zina fatalities zaidi.
 
Back
Top Bottom