InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
mkuu yaliyopita si ndwele, kwa nini wewe huachi ndwele ???tusitoneshane vidonda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu yaliyopita si ndwele, kwa nini wewe huachi ndwele ???tusitoneshane vidonda.
Yani mwaka jana muda kama huu Mark alikuwa na utajiri wa $136B...Sasaivi ana utajiri wa $34B...Yani kapoteza zaidi ya $100B kwa mwaka mmoja tu, Halafu bado tupo hapa tunabishana kama hajaporomoka au la! Ujue muda ni mali we jamaa.Acha siasa , kwa Sasa kila kampuni hisa zake zimeporomoka ,
Cheki hisa za Netflix
Mark utajiri wake umeshuka kwa dollar billion 70, thamani ya meta kwenye soko la hisa inaanguka kila siku, amejiingiza kwenye metaverse kiasi kwamba watu wengi akiwemo wafanyakazi wa meta wanaona kama wanapotea.
Report yao ya hivi karibuni inasema karibu 90% ya watu wanaovisit metaverse hawarudi na kuna baadhi ya sehemu hazijawahi hata kuwa visited.
Dalili ya Umaskin hiyo tafuta pesa mkuu usaidie ndugu zako kwanza kabla hujamlaumu yeyeHili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.
Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.
Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.
Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.
Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na tesl
Bado inaendelea mkuu ni mipango ya muda mrefuJamaa ana wenge sana, mipango yake ya kuhamishia watu sayari ya Mars imekwamia wapi?
We ni mjingaYani mwaka jana muda kama huu Mark alikuwa na utajiri wa $136B...Sasaivi ana utajiri wa $34B...Yani kapoteza zaidi ya $100B kwa mwaka mmoja tu, Halafu bado tupo hapa tunabishana kama hajaporomoka au la! Ujue muda ni mali we jamaa.
We ni muongo mbona hajaafail bankruptcy ujinga ni tatizo kubwa sana TanzaniaHahaha...huyu huyu mark anayefirisika? Hisa za meta zinashuka kila siku?
Kashfa za kutojali privacy zimamwaribia mpaka advertisers wamemkimbia?
Huyuhuyu anayemwaga hela zote za kampuni kwenye project ya VR ambayo haioneshi mafanikio yoyote??
Kama hujui Mark anaelekea kupotea na kufirisika kabisa...Karata zake zote saivi anazitupankwenye VR metaverse, ikifeli metaverse basi ujue ndo Mark bye bye.
Niambie tajiri mwingine aliyepoteza $100B mwaka huuWe ni mjinga
Tazama hisa za Google kama hazija shuka
Tazama hisa za Tesla kama hazija shuka
Tazama hisa za Amazon Kama hizajashuka
Karibia ya 95% ya kampuni za tekno zimefilisika kutokana na uchumi wa Dunia kushuka
Trend ndio inaelekea huko kwenye kufirisika.We ni muongo mbona hajaafail bankruptcy ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania
Ni mpumbavu hajui kitu kushuka kwa hisa yeye ndo anaona mtu amefilisika, kiukwel kwenye social media mark Zuckerberg ndo anazijuliaWe ni mjinga
Tazama hisa za Google kama hazija shuka
Tazama hisa za Tesla kama hazija shuka
Tazama hisa za Amazon Kama hizajashuka
Karibia ya 95% ya kampuni za tekno zimefilisika kutokana na uchumi wa Dunia kushuka
Kufilisila lazima angekua amefile bankruptcy unajua unachoongea mkuu,Trend ndio inaelekea huko kwenye kufirisika.
Nimegundua ndo maana alikua analalamika juu ya Account fake....!Mwache arejeshe pesa aliyonunulia... hakuwa mjinga kupiga hesabu ya watumiaji halisi na maroboti
Mnao penda vya bure bakini JF...!
Kuiuza Paypal ndo kumemfikisha hapo Mkuu.Biashara kama hizi Elon angemwachia Mark coz anajua nini anafanya
Kama Elon angejua nini anafanya , basi wasingeiuza PayPal , ili iwe baba wa online payment
Poa, anafanya vizuri mark na makampuni yake yanaendelea kufanya vizuri....tuishie hapo, wabongo ujuaji mwingiKufilisila lazima angekua amefile bankruptcy unajua unachoongea mkuu,
kufilisika kwa makampuni ya Zuckerberg kungeleta shock kubwa kwenye stock exchange na ingekua habari kubwa
Sasa unataka kulazimisha yame bankruptcy hiyo ni akili au matope, kufanya vibaya kwa kampuni sio ku-bankruptcyPoa, anafanya vizuri mark na makampuni yake yanaendelea kufanya vizuri....tuishie hapo, wabongo ujuaji mwingi
Mambo ya kawaida hayo kwenye markets, is a marathon and not a one day gameNiambie tajiri mwingine aliyepoteza $100B mwaka huu
Jibu hoja ya jamaa mbona munajibujibu tuMambo ya kawaida hayo kwenye markets, is a marathon and not a one day game