Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.

Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.

Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.

Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)

Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz

NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humo ndani ya roboti bila shaka wanavuvia roho za mapepo,hawa jamaa ni wahuni sana ,msiingie kichwa kichwa.
 
Wanawake poleni sana ,Sasa mtajioa baada ya kupata mshindani wenu ambae ni Mke Roboti..
---

Kampuni inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, ipo kwenye hatua za mwisho mwisho za kukamilisha mradi wake wa kutengeneza mke roboti, ‘robot wife’ atakayeuzwa sehemu mbalimbali Duniani ili kuwasaidia wanaume usumbufu wa kuoa na kujikuza kiuchumi.

Mradi huo, unatarajiwa kukamilika rasmi Septemba 2023 ambapo wanawake hao watakuwa wanapatikana madukani na wanatarajia kufikishwa Barani Afrika ifikapo Novemba 2023.

Kampuni hiyo inasema mtu atakayemnunua robot awe mke wake atakuwa ameokoa matumizi ya pesa kwa kiasi kikubwa, ukilinganisha na mwanamke halisi. Mke robot anatumia betri ya kuchajiwa kwa siku tatu mfululizo na kufanya kazi kwa mwezi mmoja ambapo kwa siku hizo (tatu), mwanaume hatoweza kushiriki tendo na mke wake (roboti).

Hata hivyo, ili kulala na mke roboti mmiliki atahitaji kuwa na neno maalumu la siri ‘password’, litakalomfanya amtambue kuwa ndiye mumewe na anatarajiwa kuuzwa kwa zaidi ya shilingi 7.4 milioni
 
Back
Top Bottom