Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 872
Mkuu swali zito sana hili. Ngoja tusubiri majibu, naamini kabisa kuna watu wanadata na watazimwaga hapa soon!Wakuu kuna mwenye taarifa nini kinaendelea juu ya hoteli hizi kongwe? Hali ya majengo inasikitisha sana,nini kinaendelea maana ni miaka mingi mno!