Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

Mkuu kwa nia njema tu peguot house iko pale mataa ya bibi titi na ohio pale juu kuna ofisi za bank ya Barclays,Maisha club kabla hujafika kilima nyege kuelekea barabara ya chole ukitokea mataa ya oysterbay shule,na Embassy hotel mkuu iko hapa opp na Imalaseko supermarket kabla hujafika PPF tower.
Mkuu wangu Heshima yako. Kuhusu Peguot House umepata ila Maisha Club umebug men...
maisha club ipo sehem ambayo inawezekana unapita kila siku rudi tena kafanye research yako... Umeona kwenye miji kama hii sehem unaweza ukawa unaipita kila siku ila hujui...
Jumapili njema kiongozi..
Mkuu si unaona mimi mara kibao napita hapo imalaseko ila sikujua kuwa embasy H iko hapo japo nishawahi kuiskia sana
 
Hahaha!kama kuna sehemu yoyote ya jiji hili aulize tu niko vizuri kulijua nje ndani.
 
Mkuu wangu Heshima yako. Kuhusu Peguot House umepata ila Maisha Club umebug men...
maisha club ipo sehem ambayo inawezekana unapita kila siku rudi tena kafanye research yako... Umeona kwenye miji kama hii sehem unaweza ukawa unaipita kila siku ila hujui...
Jumapili njema kiongozi
Sasa Maisha club nimebugi wapi?unajua shule ya sekondari Oysterbay ilipo?ngoja nikuelekeze utaelewa tu,ukitoka St.Peter kabla mataa ambayo sasa hayapo unanyoosha hiyo barabara kuna hotel jina limenitoka sasa kabla hujafika hicho kilima na kabla ya kituo cha mafuta Puma na ni upande huo huo wa shell ndipo maisha ilipo,kuna watu watasaidia ninachokwambia.
 
Sasa Maisha club nimebugi wapi?unajua shule ya sekondari Oysterbay ilipo?ngoja nikuelekeze utaelewa tu,ukitoka St.Peter kabla mataa ambayo sasa hayapo unanyoosha hiyo barabara kuna hotel jina limenitoka sasa kabla hujafika hicho kilima na kabla ya kituo cha mafuta Puma na ni upande huo huo wa shell ndipo maisha ilipo,kuna watu watasaidia ninachokwambia.
Kaka hio hotel ni Best western plus.. Opposite kuna element pub na nyingine...
Ila umebug.. Rudi kafanye research..
Maish club iko wapi?
Dsm huijui kaka.. Kubali yaishei
Unaishi dar au unakuja mara moja moja?
 
Kaua?
Na wewe kafanye research , wewe na mwenzako wote mmebug.
Sio vizuri kushabikia vitu ambavyo huna uhakika navyo. Huwezi kujua kila kitu maishani...never
Sasa tuambie ww ilipo,nina mashaka na uwepo wako mkuu mjini naona ulikuwa unasikia tu maisha na uli yokuja likizo ukaenda na sasa unaleta ubishi humu.
 
Sasa tuambie ww ilipo,nina mashaka na uwepo wako mkuu mjini naona ulikuwa unasikia tu maisha na uli yokuja likizo ukaenda na sasa unaleta ubishi humu.
Kaka mimi hio ndio mitaa yangu. Acha ubishi.. Uliza hata wenzako usione aibu..
Dar unaishi au unakuja mara moja moja?
Katafute maisha club iko wapi ukishapata jibu rudi hapa omba msamaha...
Acha ubishi kaka..
 
Sasa Maisha club nimebugi wapi?unajua shule ya sekondari Oysterbay ilipo?ngoja nikuelekeze utaelewa tu,ukitoka St.Peter kabla mataa ambayo sasa hayapo unanyoosha hiyo barabara kuna hotel jina limenitoka sasa kabla hujafika hicho kilima na kabla ya kituo cha mafuta Puma na ni upande huo huo wa shell ndipo maisha ilipo,kuna watu watasaidia ninachokwambia.
Mkuu Maisha Club now ipo jengo la LAPF tower pale makumbusho.. na ipo underground so inaitwa Maisha Basement.
 
Mkuu kwa nia njema tu peguot house iko pale mataa ya bibi titi na ohio pale juu kuna ofisi za bank ya Barclays,Maisha club kabla hujafika kilima nyege kuelekea barabara ya chole ukitokea mataa ya oysterbay shule,na Embassy hotel mkuu iko hapa opp na Imalaseko supermarket kabla hujafika PPF tower.
Umeuwa
Sasa tuambie ww ilipo,nina mashaka na uwepo wako mkuu mjini naona ulikuwa unasikia tu maisha na uli yokuja likizo ukaenda na sasa unaleta ubishi humu.
Atakuwa amekuja na msae huyu wakati wenzake tumeletwa na sehemu za siri
 
Mkuu wangu Heshima yako. Kuhusu Peguot House umepata ila Maisha Club umebug men...
maisha club ipo sehem ambayo inawezekana unapita kila siku rudi tena kafanye research yako... Umeona kwenye miji kama hii sehem unaweza ukawa unaipita kila siku ila hujui...
Jumapili njema kiongozi..
Mkuu si unaona mimi mara kibao napita hapo imalaseko ila sikujua kuwa embasy H iko hapo japo nishawahi kuiskia sana
Mkuu hio embassy hotel ni kama gofu tu maana haifanyi kazi, ndo maana inakua ngumu ku-notice.
 
Hahahaha!
Kaka mimi hio ndio mitaa yangu. Acha ubishi.. Uliza hata wenzako usione aibu..
Dar unaishi au unakuja mara moja moja?
Katafute maisha club iko wapi ukishapata jibu rudi hapa omba msamaha...
Acha ubishi kaka..
Hahahaha!wewe niombe msamaha?hiyo ndiyo Maisha kama una Maisha club yako tofauti na hii tunayoijua sisi wanadaresalama utuambie.
Umeuwa

Atakuwa amekuja na msae huyu wakati wenzake tumeletwa na sehemu za siri
 
NAOMBA KUULIZA NI NANI MMILIKI WAKE?
KAMA NI YA SEREKALI KWA NINI WASIBINASFISHE!/
NA KUMBUKA ENZI HIZO DA, PALIKUWA NI ENEO TULIVU SANA HAPO NA AGIP HOTEL SIJUI IPO?AU ISHAJIFIA.
MOTEL AGIP...
 
Sasa tuambie ww ilipo,nina mashaka na uwepo wako mkuu mjini naona ulikuwa unasikia tu maisha na uli yokuja likizo ukaenda na sasa unaleta ubishi humu.
Maisha club imehama muda mrefu mkuu...ipo jengo jipya nyuma ya millenium tower hapo makumbusho inaitwa MAISHA BASEMENT
 
Back
Top Bottom