RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Uko vizuri halafu hujui Maisha club imehama muda mrefu??!!! By kesho pale watakuwa washazungusha mabati kuvunja lile jengo tayari kupandisha tower mpya.Hahaha!kama kuna sehemu yoyote ya jiji hili aulize tu niko vizuri kulijua nje ndani.