Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

Maisha club imehama muda mrefu mkuu...ipo jengo jipya nyuma ya millenium tower hapo makumbusho inaitwa MAISHA BASEMENT

Mkuu mbona mimi naona kiusahihi Maisha Club kama Maisha Club haipo tena na pia haikuhamia LAPF Millenium Tower? Kama kuna kitu kingine kilichofunguliwa kwa jina la Maisha Basement na wamiliki walewale wa iliyokuwa Maisha Club haimaanishi kwamba Maisha Club imehamia LAPF Millenium Tower. Unless tunataka kupaita hivyo kama "sobriquet" kutokana na mazoea na imani kwamba wamiliki wa iliyokuwa Maisha Club ndiyo walewale na huku Maisha Basement na kwamba kilichokuwa kinapatikana huko ndicho kinachopatikana Maisha Basement ili kusaidia kwenye marketing strategy.
 
Mkuu mbona mimi naona kiusahihi Maisha Club kama Maisha Club haipo tena na pia haikuhamia LAPF Millenium Tower? Kama kuna kitu kingine kilichofunguliwa kwa jina la Maisha Basement na wamiliki walewale wa iliyokuwa Maisha Club haimaanishi kwamba Maisha Club imehamia LAPF Millenium Tower. Unless tunataka kupaita hivyo kama "sobriquet" kutokana na mazoea na imani kwamba wamiliki wa iliyokuwa Maisha Club ndiyo walewale na huku Maisha Basement na kwamba kilichokuwa kinapatikana huko ndicho kinachopatikana Maisha Basement ili kusaidia kwenye marketing strategy.
Whats your point? Maisha club imekufa now kuna Maisha basement? Basi sawa.
 
Mimi sina uzoefu sana na jiji la Dar es Salaam kwa miaka ya nyuma. Nililetwa na mbio za mwenge (aaah aah). Hivyo nauliza. Hii Motel Agip, Motel Afrique na Maggot Hotel vilikuwa mtaa gani?
 
Whats your point? Maisha club imekufa now kuna Maisha basement? Basi sawa.
Mkui ni sawa na mtu akukute pale uhuru freight akuulize umuelekeze ilipo hotel ya movern pick... Bila shaka jamaa atamuambia kuwa hio hotel haipo... Kiukweli haipo ila kiuhalisia na kwa hali ya kawaida watu wengine ubishi upo kwenye damu.
Hii maisha iliyopo lapf ndio ile ile ya zamani na ndio imehishiwa pale regardless majina yamebadilisha it doesnt matter..
 
Mkuu mbona mimi naona kiusahihi Maisha Club kama Maisha Club haipo tena na pia haikuhamia LAPF Millenium Tower? Kama kuna kitu kingine kilichofunguliwa kwa jina la Maisha Basement na wamiliki walewale wa iliyokuwa Maisha Club haimaanishi kwamba Maisha Club imehamia LAPF Millenium Tower. Unless tunataka kupaita hivyo kama "sobriquet" kutokana na mazoea na imani kwamba wamiliki wa iliyokuwa Maisha Club ndiyo walewale na huku Maisha Basement na kwamba kilichokuwa kinapatikana huko ndicho kinachopatikana Maisha Basement ili kusaidia kwenye marketing strategy.
Kiongozi mbona pale waliweka tangazo kuwa wamehamia LAPF makumbusho?
Unalizungumziaje hili? Si wangeandika kuwa wamefunga na ku quit Market?
Acha ubishi
 
Mkui ni sawa na mtu akukute pale uhuru freight akuulize umuelekeze ilipo hotel ya movern pick... Bila shaka jamaa atamuambia kuwa hio hotel haipo... Kiukweli haipo ila kiuhalisia na kwa hali ya kawaida watu wengine ubishi upo kwenye damu.
Hii maisha iliyopo lapf ndio ile ile ya zamani na ndio imehishiwa pale regardless majina yamebadilisha it doesnt matter..

Mkuu hizi "Uhuru Freight" na hotel ya "Movern Pick" ziko mitaa gani?
 
Sasa Maisha club nimebugi wapi?unajua shule ya sekondari Oysterbay ilipo?ngoja nikuelekeze utaelewa tu,ukitoka St.Peter kabla mataa ambayo sasa hayapo unanyoosha hiyo barabara kuna hotel jina limenitoka sasa kabla hujafika hicho kilima na kabla ya kituo cha mafuta Puma na ni upande huo huo wa shell ndipo maisha ilipo,kuna watu watasaidia ninachokwambia.
kituo cha mafuta kilikuwa bp mkuu sijui siku hizi,then maisha club then tingatinga,kabla haijawa maisha club pale kulikuwa swimming pool na fast food ambazo zilikua branch za hotel Karibu.
ndio mtoto wa Malechela IPY akishirikiana na mtoto wa familia ya wamiliki wa karibu hotel akiitwa Jehangir km sikosei ndio wakaanzisha club maisha.
 
Mimi sina uzoefu sana na jiji la Dar es Salaam kwa miaka ya nyuma. Nililetwa na mbio za mwenge (aaah aah). Hivyo nauliza. Hii Motel Agip, Motel Afrique na Maggot Hotel vilikuwa mtaa gani?
Motel Agip PALE NYUMA YA NEW AFRICA HOTEL,Kwa ujumla hizi ndo zilikua hotel za wajanja,mwenye hotel alihamishia hisa zake zote Sheraton ilipoanza na ndio kifo cha mende cha Agip.
 
Embassy Hotel iko wapi?
Hujui Embassy Hotel ipo wapi afu unajifanyaga mjuaji kweli, kama umekasirika njoo sehemu zifuatazo utanikuta:-

1: Jengo la salamander
2: Avalon cinema
3: Imasco social hall
4: Lang'ata disco theque
5: Salvation army
6: Best bites
7: Lango la jiji
najua huwezi kunipata,adios
 
kituo cha mafuta kilikuwa bp mkuu sijui siku hizi,then maisha club then tingatinga,kabla haijawa maisha club pale kulikuwa swimming pool na fast food ambazo zilikua branch za hotel Karibu.
ndio mtoto wa Malechela IPY akishirikiana na mtoto wa familia ya wamiliki wa karibu hotel akiitwa Jehangir km sikosei ndio wakaanzisha club maisha.
Kabla ya kuwa Maisha club ilikuwa inaitwa MAMBO CLUB unapita swimming pool ndio unaingia club....ilikuwa maarufu kwa house music.
 
Mimi sina uzoefu sana na jiji la Dar es Salaam kwa miaka ya nyuma. Nililetwa na mbio za mwenge (aaah aah). Hivyo nauliza. Hii Motel Agip, Motel Afrique na Maggot Hotel vilikuwa mtaa gani?
Maggot yale majengo ya marehemu Amir Jamal sio?. Motel Agip nayo ilikuwa maeneo hayo hayo mitaa nishaisahau mkuu, chini yake karibu lilikuwa na kituo cha mafuta. Motel Afrique Kama sikosei ilikuwa pale karibu na telephone house, pia kulikuwa na ile Dsm super market pale na opposite yake ilikuwepo Ushirika club enzi za toto disco!. Nadhani lile jengo liliungua lile!. Kukaa sana kijijini unapoteza dira, itabidi nirudi town tu kwani hakuna namna!.
 
Hujui Embassy Hotel ipo wapi afu unajifanyaga mjuaji kweli, kama umekasirika njoo sehemu zifuatazo utanikuta:-

1: Jengo la salamander
2: Avalon cinema
3: Imasco social hall
4: Lang'ata disco theque
5: Salvation army
6: Best bites
7: Lango la jiji
najua huwezi kunipata,adios
Acha zako wewe unadhani kila mtu yupo dsm na wewe nitafute hapa kijijini kwetu tuone kama sikupotezi :
Ukija mitaa hii utanikuta..
Myamba, sambweni, mpinji,bwambo na mturo.
 
Back
Top Bottom