Wakikusikia "vijana" wa mjini unaliuzia hilo jengo wataku-mind kinoma, embassy siku hizi imegeuka gesti poa, unakamta mlupo wako unaongea na mlinzi mambo shwari, kwa kawaida wenyewe wanasema huwa wanawapoza walinzi kwa buku tano, ingawa vitanda mwanzoni vilikuwa na vumbi "(kwasababu ya kutotumika) sasa hivi mambo shwari kwani walinzi wanasafisha ili "biashara" yao iende sawa. Hiyo ndio bongo bwana kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake, wengine wana-access ya EPA basi acha na walinzi wa embassy nao wajipatie ka-EPA kao kadogodogo.
Agip na Embassy hotel zimeshauzwa na zote zimenunuliwa na the same person.
Aiseeee babaangu nashauri kama alina kazi viwekwe vyumba liwe hostel kwa jili ya wanafunzi wa ifm na vyio jirani
Kuna wakati nilisikia wamebinafsishiwa akina Mwinyi rais mstaafu.NAOMBA KUULIZA NI NANI MMILIKI WAKE?
KAMA NI YA SEREKALI KWA NINI WASIBINASFISHE!/
NA KUMBUKA ENZI HIZO DA, PALIKUWA NI ENEO TULIVU SANA HAPO NA AGIP HOTEL SIJUI IPO?AU ISHAJIFIA.
Hiyo mbona ilikuwa sana tu.zamani ilikuwa ni danguro ulikuwa unaongea na mlinzi unaingia kule kuna kitanda safi unamkunja demu wako unaondoka mwepesi
PostaEmbassy Hotel iko wapi?
Agip Hotel mkuu huwezi amini ukipita pale nje pamekuwa sehemu ya kuuzia vitabu na zile chuma kule juu zote zimekwisha kwa kuoza na pembeni kwenye zile ngazi kwasasa kuna garage na mafundi ndio hukaa hapo.NAOMBA KUULIZA NI NANI MMILIKI WAKE?
KAMA NI YA SEREKALI KWA NINI WASIBINASFISHE!/
NA KUMBUKA ENZI HIZO DA, PALIKUWA NI ENEO TULIVU SANA HAPO NA AGIP HOTEL SIJUI IPO?AU ISHAJIFIA.
Mkuu uko jijini Dar au huwa unakuja mara mojamoja?Embassy Hotel iko wapi?
Nipo dsm. Haya wewe mtaalamu wa dar niambie peguot house iko wapi?Mkuu uko jijini Dar au huwa unakuja mara mojamoja?
Mkuu kwa nia njema tu peguot house iko pale mataa ya bibi titi na ohio pale juu kuna ofisi za bank ya Barclays,Maisha club kabla hujafika kilima nyege kuelekea barabara ya chole ukitokea mataa ya oysterbay shule,na Embassy hotel mkuu iko hapa opp na Imalaseko supermarket kabla hujafika PPF tower.Nipo dsm. Haya wewe mtaalamu wa dar niambie peguot house iko wapi?
Na club maisha iko wapi?
UmeuwaMkuu kwa nia njema tu peguot house iko pale mataa ya bibi titi na ohio pale juu kuna ofisi za bank ya Barclays,Maisha club kabla hujafika kilima nyege kuelekea barabara ya chole ukitokea mataa ya oysterbay shule,na Embassy hotel mkuu iko hapa opp na Imalaseko supermarket kabla hujafika PPF tower.