Kitungamirwa
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 344
- 106
Kwa mfano asingekuwa na mwitikio kabisa wa watu na akawa anasuasua, ungeuliza swali gani? Hivi kuna mtu anagombea kwa ajili ya kushindwa?Unajua mkuu, najitahidi sana kufuatilia Kampeni hizi, mwitikio wa watu, ukipima vizuri ukaondoa mihemko ya ushabiki wa vyama, utagundua kabisa, hata mwitikio wa watu Kwa mgombea Uraisi Chadema, unafanana Tu na mwitikio wa watu kwenye mikutano anayoendesha waziri mkuu
hao ccm watampigia kura Lisu kwani sera zake zimeeleweka kwa wote mpaka kwa uvccm, kwenye sanduku la kura ktk chumba cha siri magu anachinjiliwa mapema kabisa,Lisu ni mwamba anajua hoja za kisiasa,mbona hata magufuli anasema uchaguzi huu ccm itashinda au huko umeziba masikio kwa shibe husikiiMoja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+
Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+
Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi
Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?
Let go...
Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?
Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?
Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?
Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?
Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani
Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?
Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?
Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?
Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM
Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Ndugu naomba utengue kauli yako Mimi sio mnufaika binafsi wa ccm Bali Mimi ni Kama wewe nanufaika na serekal ya ccm kwenye zile secta ambazo kila mtanzania ananufaika nazo kwa mfano barabara, hospital na huduma zingine za kijamii ila wanaufaika binafsi Ni hai wanao lipwa na sisiemuCCM imeshapotea hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura zaidi ya nyinyi wachache wanufaika wa mfumo kandamizi mfumo uonevu unyanyasaji mliofaidi trilion 1.5 mgao 10% ununuzi wa Ndege na tenda za ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
Lakini si tulishakubaliana kuwa upinzani ulishakufa? Sasa imekuwaje tena watu wanalala barabarani? Kulala kwao barabarani kunaashiria nini?Wanakwambia"watu wamelala barabarani ili Lissu asimame aongee wamsikie, kweli Lissu ni Rais", yani kwa watu kulala barabarani basi ndo kigezo cha Lissu kushinda urais.Chadema ndo matahira kweRi kweRi.
Polepole sisi ndio tulikuwa huko ila tulishatoka inaonekana hujui unachohesabu! Vilevile hesabu nyingi za hapo ni za 'kupika' ili kurahisisha ule 'mchezo wenu'Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+
Wapiga kura wa Tanzania ya kesho
Hivi mtu mwenye akili anaweza kweli kulala barabarani,kama sio ujuha na sushamba?Lakini si tulishakubaliana kuwa upinzani ulishakufa? Sasa imekuwaje tena watu wanalala barabarani? Kulala kwao barabarani kunaashiria nini?
@mr mzumbe UMESAHAU KUWA MEAKA HUU TIGO FIESTA NA WASAFI FESTIVAL NI BURE KWA UDHAMIN WA CCMSababu zipo nyingi sina ila mimi nakupa dalili chache tu :-
1. Mkurugenzi wa uchaguzi umemsikia leo akimfanyia kampeni Magufuli? Hii ni moja ya dalili kama kuna kila dalili cdm kushinda uchaguzi huu, mkurugenzi amefanya jambo ambalo kwa akili za kawaida halikutakiwa kutokea,wasomi wanasema mkurugenzi wa uchaguzi amepanic au anaweweseka.
2. Polepole anafanya press kila baada ya 48h tena za matusi, press ambazo hazina maana yeyote ile. Kwa kifupi na yeye anarudi palepale kwa mkurugenzi kwenye kuweweseka.
3.Magufuli anasema mara kwa mara amefanya mambo mengi sana esp kwende miundombinu, ndio alikuwa anajivunia nayo kama kete yake ya ushindi, lakini Lissu jinsi alivyoua point zake za miundombinu amemfanya magufuli kucheza DEFENCE. Hii maana yake amezidiwa, Lissu anaonekana ni Rais na anajiamini na JPM ndio anaonekana mpinzani sasa.
4. Miaka yote CCM wanashinda kwa wizi, ila wagombea waliopita walikuwa wapole sana, ila mwaka huu wamempata chizi mwenzao, uzuri wa Lissu kama magufuli vile, siku zote magufili anasema yeye ni msema kweli daima, na huyu mgombea wetu pia ni msema kweli daima, anasema WAZI WAZI wakiiba kura lazima kinuke.
5. Wananchi wameichoka CCM, kila vijiwe havitaki CCM, kwa mazingira kama haya wanashindaje CCM kwa mfano.
6. Wingi wa watu unaowaona kwenye kampeni za CCM ni watu wanaosombwa na malori kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine, kwahyo wingi wa watu wa mikutano ya CCM ndio siyo halisia kabisa. Kwa mfano mama yangu mdogo anaishi Temeke ila wiki chache zilizopita alienda kwenye kampeni ya magufuli Tabora baada ya kusombwa na lori.
😂 Acha tumkumbushe kuwa Kura yake ni moja tu,na akicheza tu,inakuwa miongoni mwa kura zilizoharibika, maana si kwa akili hizo anazoonyesha hapa jukwaani.
Kuna bro ni kada wa ccm sana juzi kaniambia dogo tafuta hela uwe mfanyabiashara ndo utajua ubaya wa serikali ya ccm hii, kaletewa kodi ya mwaka jana n tra milioni 34 kalipa,nw wanakuja tena eti anadaiwa milioni 20 bro kasandawanaccm wengi moyoni ni wapinzani ingawa huvaa nguo za CCM usoni ili kulinda mali zao binafsi wasije kubambikiwa kesi na kuporwa mali zao
. Wewe ushabiki usikupeleke hivo mgombea wetu hashindi mwaka huu ila 2025 Njia nyeupe kabisa kwenda ikulu alafu mgombea wetu ameshapanic Sana yeye Hana Sera kabisaSababu zipo nyingi sina ila mimi nakupa dalili chache tu :-
1. Mkurugenzi wa uchaguzi umemsikia leo akimfanyia kampeni Magufuli? Hii ni moja ya dalili kama kuna kila dalili cdm kushinda uchaguzi huu, mkurugenzi amefanya jambo ambalo kwa akili za kawaida halikutakiwa kutokea,wasomi wanasema mkurugenzi wa uchaguzi amepanic au anaweweseka.
2. Polepole anafanya press kila baada ya 48h tena za matusi, press ambazo hazina maana yeyote ile. Kwa kifupi na yeye anarudi palepale kwa mkurugenzi kwenye kuweweseka.
3.Magufuli anasema mara kwa mara amefanya mambo mengi sana esp kwende miundombinu, ndio alikuwa anajivunia nayo kama kete yake ya ushindi, lakini Lissu jinsi alivyoua point zake za miundombinu amemfanya magufuli kucheza DEFENCE. Hii maana yake amezidiwa, Lissu anaonekana ni Rais na anajiamini na JPM ndio anaonekana mpinzani sasa.
4. Miaka yote CCM wanashinda kwa wizi, ila wagombea waliopita walikuwa wapole sana, ila mwaka huu wamempata chizi mwenzao, uzuri wa Lissu kama magufuli vile, siku zote magufili anasema yeye ni msema kweli daima, na huyu mgombea wetu pia ni msema kweli daima, anasema WAZI WAZI wakiiba kura lazima kinuke.
5. Wananchi wameichoka CCM, kila vijiwe havitaki CCM, kwa mazingira kama haya wanashindaje CCM kwa mfano.
6. Wingi wa watu unaowaona kwenye kampeni za CCM ni watu wanaosombwa na malori kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine, kwahyo wingi wa watu wa mikutano ya CCM ndio siyo halisia kabisa. Kwa mfano mama yangu mdogo anaishi Temeke ila wiki chache zilizopita alienda kwenye kampeni ya magufuli Tabora baada ya kusombwa na lori.
Waliwahi kupiga deki lami hawawezi kushindwa kulala barabarani.Wanakwambia"watu wamelala barabarani ili Lissu asimame aongee wamsikie, kweli Lissu ni Rais", yani kwa watu kulala barabarani basi ndo kigezo cha Lissu kushinda urais.Chadema ndo matahira kweRi kweRi.
Moja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+
Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+
Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi
Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?
Let go...
Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?
Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?
Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?
Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?
Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani
Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?
Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?
Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?
Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM
Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Moja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+
Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+
Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi
Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?
Let go...
Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?
Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?
Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?
Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?
Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani
Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?
Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?
Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?
Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM
Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Umejibu vizuri bila mihemko kama ya wenzio, lakini msijipe matumaini kuhusu hilo mkuu wana CCM wanakuwaga wamoja sana kwenye kipindi cha kampeniHata hao ccm sio wote watapigia kura kwa magufuli sie tunaoenda vijijini huko kwenye mishe mishe zetu huwa tunafanya research kidogo hasa tukimkuta mtu kada was ccm ,majibu wanayotoa ni kwamba miaka mitano ya magufuli kafanya watu kuwa maskini zaidi eg wakulima na wafanyabiashara