Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God


Eminem ana pumzi,verse ndefu na rhythm ndio maana Akirap anakuwa kwenye pattern ileile beat inamfuata baadae.

Lakini huyu Rap cartoon wala sio lyricist.

But I remain a fanatic fan just like "Stan"
 
Wewe unanitafutia sifa mbaya.
Mimi natumia majina yangu halisi humu ndani.
Kitu cha msingi nilichoamua kukifanya ni kukuweka katika "ignore list" ili uendelee kuwaquote wajinga wenzako.
Kwaheri.

Sorry, kwa kuangalia uandishi wako nilijua wewe ni mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…