Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania bana ukiweza kununua vits na benki ukawa na millioni mbili watu wanakuita tajiri hahahahah*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatiboa.
Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Ni wanawake wangapi wameuliwa na waume zao? Kifo ni jinsi Mungu kakuandikia.Huyo kashajitoa muhanga,iga ufe...
Walioshindwa Wana maneno Sana,siwasikilizagi,Sasa hizo hela mbn hazitoshi hata IST??? Kwa taarifa yako tuko kwenye ndoa,tuna hela zaidi yako na tunaenjoy na tunalea watt na baba zao hatuzaizai hovyo km mbwa kila mtt na baba yake,haitoshi tunafuraha na amani saaaanaChaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
Duuuuu .....kwa hii komenti kweli wewe kikaza,hapo ukiachana na luku hao wengine Wana nn zaidi ya idaxi kubwa ya wanaume waliowavua nguo???*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatiboa.
Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Aiseee! Sura pesono tako hamna🤣🤣🤣🤣Unaowashauri hawana sura na shepu za mauzo sasa!
Bei za midoli mtaweza kuzimudu?????Sasa Kama mnaona unafuu ni kuwa wauzaji sisi tufanyaje?
Dahh, mbona uneandika kwa hasira sana?
Anyway, kila mtu na maisha yake au vipi?
Ewaaaaaa. Niliwahi kusema utamkuta single mother ana kaduka ka vinywa thamani yake hata 1m haifiki, halafu utamsikia napambana kwa ajili ya mwanangu. Ukweli ni kwamba ukisikia mwanamke anasema napambana jua anadanga. Hivi vibiahshara ni zuga tu na namna ya kutafuta wanaume.Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
Mask anachelewesha mamboDuh kwamba dunia imejaa matajiri wa kugawa hela hovyo kisa utelezi? Ngoja roboti likamilike.
Kama n rahisi hivyo wauza Papa wote wangekua na maisha Safi.
Umalaya utakuua kabla ya wakati wakoChaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
Ushauri wa kifedhuli. Kumshauri mtu amkosee Muumba wakeAnamaanisha, ukipata bwana mwenye hela nenda nae/pita nae, kiufupi anahamasisha wanawake wadange na wajikite katika biashara haramu ya kuuza Vikojoleo/sehemu za siri ili kujikimu.
[emoji23][emoji23]
Atengeneze hata yaliyopgwa pasi tutayamodify wenyeweMask anachelewesha mambo
Sasa Kama mahari ni milion 5 mdoli tutashindwaje?Bei za midoli mtaweza kuzimudu?????