Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Unakwama wapi wewe Ndugu kuchangamkia dili fasta uwe na ukwasi? (Utani) [emoji124][emoji2960]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakwama wapi wewe Ndugu kuchangamkia dili fasta uwe na ukwasi? (Utani) [emoji124][emoji2960]
Huendi mbinguni, nimekaa pale [emoji117][emoji142]
Hawa wanawazidi wanawake wengi sana walio kwenye ndoaSasa hao uliowataja ndo wametajirikaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A.K.A Shemele.nimehitimisha Sexless ni dumejike kuna nyuzi anaandika kama mwanaume kuna nyuzi ni mwanamke.
Kwanini uteseke nakati bingo lipo wazi wazi tu kwa Madanga ya Me? cc Nakubusu [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dogo upo vizuri kufukua makabur,sikuwez [emoji3][emoji3][emoji3][emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo kwa picha sio minoti Bali ni vichenchi vya mbogaChaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
Umeandika kwa maumivu mazito....Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
Wanawazidi umaarufu, iPhone, na followers wa insta. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wanawazidi wanawake wengi sana walio kwenye ndoa
Dada zetu shida sijui nini hawatoboi kimaishaZari the boss lady
Hudda
Vera
Hawa ndio waliotajirika kupitia nyapuu, na sio slays uchwara wa Bongo.
Charity begins at home... why unawakandia slay queens wa Bongo? Kwamba Bongo hakuna slays wenye hela jyzidi hao uliowataja?Zari the boss lady
Hudda
Vera
Hawa ndio waliotajirika kupitia nyapuu, na sio slays uchwara wa Bongo.
Mjinga akipata hua shida sana Sasa kwa vihela gani ulivyo weka hapo hata ukiweka kwenye mfuko wa suruali hazionekan kaa ukijua hata Malaya huzeeka usidharau wanawake wanao jiheshimuChaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .
Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.
Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.
Acha kutafuta sifa za kijinga!
[emoji28][emoji28][emoji28]Huendi mbinguni, nimekaa pale [emoji117][emoji142]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nipo besti, zama siku ?Madam Afro, upo aunt... Long time sikukuona humu jf. How you doing?
-Kaveli-
Kwani mkuu ukikuta K ipo kama ulivyoitaja kwaiyo inakuwa imechakaa au ndiyo maumbile yake? Kwasababu umenishtua .Wanawake wa aina yako ndio wale ukiwafunua unakuta k zina masikio mawili marefu yamening'inia mithili ya manati ya baiskeli kwa kuchakaa