Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

soka si porojo hivi vilabu itafika mahali hakutakua na haja ya hawa watu
 
Dada wa taifa mama bhokenzo hajathibitisha bado 🀣🀣🀣
Nilikuta page moja huko insta kina Dida wamempigia simu wanamuuliza nasikia mmeachana akawa ana waambia sio kweli..ila kwa ninavyomjua angewachambaa ila alikua anajibu kwa upole aisee yani hana cha kusema nilete ushahidi kama kawaida yake..so watu wakaconclude kuna ka kitu kapo kanatokota..
 
Weeh!! Siku hizi nashinda sana Twitter (X) kwenye space hata insta sijaingia, nikipata muda nikajionee mie nisipitwe ubuyu wenyewe huu kabisa 😹
 
Safi sana...yule mtu hatufai kama wapenda michezo..umeona intavyuu za kina Ahmed Ally na Ally Kamwe? So nice wanacheka wanataniana...
Ila huyo mwarabu wa jangwani ana jazba...ana chuki mpk macho yanaonyesha...
Hahaaaaaa acha roho mbaya wr binti. Unataka akale wapi manara wa watu?

Mpokeeni hapo Ukoloni.
 
Kwa hiyo Manara ni mfanyakazi hewa? Lol

Ova
 
Leo kafiri umeongea pointi. πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜, kwenye Yanga dei alitokota sana pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…