Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Hii maana yake ni kuwa propaganda za serikali ya CCM zimedhalilika baada ya kutengeneza picha ya uokoaji kubumba.
Aibu hii inaanzia kiti cha enzi hadi chini

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni msenge mmoja ambaye kichwa chake kina umeme mdogo.
Anaposema alijiokoa na kuokoa wengine, ina maana aliwabeba majeruhi wote mgongoni hadi nchi kavu?
Wavuvi wasingefika eneo la tukio na mitumbwi yao, leo hii angekuwa hai?
Huyu analeta exagerration kwenye story yake.

Haiwezekani victim eti akaushikilia mlango kwa dakika 40-60 wenzake watoke yeye muda wote huo anakaa tu kushikilia mlango.

Unless ana mafunzo maalilum hiki kitu ni kigumu kufanyika kwa mazingira hayo.
 
Mkuu inawezekana kuwa wakati anapiga na kasia then mlango ukafunguliwa kwa ndani lakini yeye akajua kasia lake ndiyo limefungua mlango
Possibility hii pia ipo.

Na inawezekana pia kasia lake likachangia mlango ufunguke kwa urahisi kutokea ndani.

Kwamba alipokua anagonga huku nje huko ndani kukawa kunalegea legea na hatimae mlango kufunguka.
 
Aisee [emoji3]
 
Mlango ulofunguliwa na air hostess na Eng akaushika for 60m ni huo au mwingne.Tuujue kwanza huo mlango ni upi ili tuchambue kasia Vs dakika 60
 
kwahiyo ww ndio umeona toyota allex ya kuisema? mbona sisi hatuisemi duet yako?
Mkuu nisamehe sikuwa na Nia mbaya na Toyota Allex, ni gari ya ndoto yangu ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Possibility hii pia ipo.

Na inawezekana pia kasia lake likachangia mlango ufunguke kwa urahisi kutokea ndani.

Kwamba alipokua anagonga huku nje huko ndani kukawa kunalegea legea na hatimae mlango kufunguka.
Ha ha ha haaaa....

Ila logically inawezekana yeye alikuwa anagonga gonga kumbe ndani tayari wanafungua hence yeye kudhani ndio amefungua kumbe umefunguliwa na mwingine... (wala hapo sioni tatizo)

Nadhani tatizo hili limetokea kwa Serikali kujifanya wajuaji na wana-uchungu sana wa kuwakumbuka na kuwazawadia hawa ndugu zetu wakati huenda wangewakusanya wote waliohusika kwa kuwapa hata mkono wa pongezi..., after all watu wengine sio kwamba wanahitaji hata kulipwa (sababu hapo hawakuwa kazini na walifanya ubidanamu) bali wanahitaji tu appreciation kwa walichofanya...

Just imagine kama dogo alifanya hata machache mengine akaongezea chumvi ili aonekane RAMBO, sasa kuanza kumuita Tapeli huoni inaleta ukakasi kidogo....
 
Huo ndio wa dharura?
Milango iliofunguka ni miwili ya nyuma wa kushoto na kulia.Tunaitaji kufaham ni mlango upi Eng aliushika for 60m na upi majaliwa aliupiga na kasia.Hii ajali inafikirisha sana:

Kuna mama amehojiwa na Wasaf pia ni mhanga wa hio ajali,anasema ni mvuvi ndo alishikilia mlango na ndo aliemuokoa kwa kukata mkanda,na mvuvi alikua ni mweupe kwa rangi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio black kama majaliwa,sio inshu sana sabab majaliwa hakuingia ndan.Eng anasema yey alishikiria mlango, mama anasema ni mvuvi.Eng anasema alimtuma mvuvi mweny rangi nyeusi aingie ndan na ndo only mvuvi aloingia ndan,huyu mvuvi mweupe alomuokoa mama ni nan [emoji2369]?.Nukuu maelezo ya wahanga "NDEGE ILIVOZAMA TU MAJI YALIINGIA HARAKA SANA KIASI YALIWAFUNIKA BAADHI" Majaliwa aliweza vipi kuwasiliana na maruban kama maji yaliingia kwa haraka ivo na pembel ndo sehem ilocrash au chumba cha maruban ni special[emoji2369].Kuna mhanga anasema yeye aliona tobo akapita before mlango wa nyuma kufunguliwa, kulikua na mambo meng kweny hi ajali.Eng victor anaongelea mlango mmoja(kulia kama sijakosea) ila anataja mabawa mawili,watu wengne waliendaje upande wa pili wa ndege kutake position kweny bawa la kushoto.Distance kutoka kweny milango ya nyuma mpka kweny bawa tumeiona lakin ,je watu walijitosa majini mbona Eng anasema alikua anaokoa mmoja mmoja kwa kuwaweka kweny boti,#MASWALI ni mengi.Naamin wapo weng walioplay key role kweny kuokoa watu ila ni mungu aliamua kumuinua majaliwa [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona
Sasa Victor analeta Utani.... Kwahio kuna mabegi yaliyookolewa...
 
Kwakweli bora tuachwe tu. Tushashindikana.
 
Haha haha hahaa.
 
Yani mie nishajichokea hata... yaani kati ya nchi muumba alizo umba TZ nirahisi kutawala hadi basi.... mwanangu mdogo TAKO lake analiita PUPU...
Hii nchi hata mwendawazimu anaitawala, rahisi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…