Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Mnakumbuka kikombe cha babu?
 
Eng. Victor muda wote huo umeshikiria mlango na kuwatoa wenzio ulikuwa unawaweka wapi hao watu? Halafu hizo dk mbona nyingi sana uwanja na ziwa kwani vipo mbalimbali sana? Ifike wakati wamuache kwanza kupona katika ajali mawenge lazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kuu ni kwamba akiwa kwenye harakati za kuvunja mlango kwa kamba iliyofungwa kati ya boti na mlango wa ndege ili kumuokoa rubani kamba ikakatika gafla na kumuumiza usoni naye akajikuta anaokolewa na kujikuta hospitali na baadaye ikagundulika si abiria bali alikuwa katika harakati za kuokoa.
 
Hivi rubani alifariki, hakufanikiwa kuokoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo makasia yanayotumiwa na wavuvi unayajua yakoje? Au unafananisha na mwiko wanatumia kupikia home? Jikiteni kutafuta reality tu!
 
Mkuu, hebu kuwa serious kidogo! [emoji3]
 
Daudi, kwanini sasa Majaliwa analindwa?
Aliyeanzisha hizi propaganda ni katibu ccm mkoa somebody Palangyo...bila aibu anatamka wazi kuwa Majaliwa ni kijana wetu hapa ofisini....ccm.

Ingia youtube andika katibu ccm Bukoba/Kagera usikilize utumbo wake
 
Aliyeanzisha hizi propaganda ni katibu ccm mkoa somebody Palangyo...bila aibu anatamka wazi kuwa Majaliwa ni kijana wetu hapa ofisini....ccm.

Ingia youtube andika katibu ccm Bukoba/Kagera usikilize utumbo wake
Halafu ukimuangalia kwa makini yule kijana majaliwa sura yake Ni Kama Ina mshangao fulani hivi!yeye mwenyewe anashangaa wanayosemwa kumuhusu.
 
naona kila mmoja anarusha mishale ila majaliwa gagoma kushuka kileleni
 
Kama Eng. alikua na nguvu alizopata kwa muujiza wa Mungu basi hata Kasia lililotumika na Shujaa Majaliwa kufungua mlango wa ndege ni kwa muujiza wa Mungu😎
 
Wote wangekumbukwa kwa kazi nzuri na hata rubani ambaye sasa hivi hayupo na Serikali ipokee lawama zote kwa uzembe uliofanyika katika uokoaji.....
Mkuu kupokea lawana katika Serikali kunaenda pamoja na kuwajibishwa kwa Viongozi.

Sasa unafikiri hawa viongozi wetu watakubali hilo litokee kuachia ofisi sabau ya kushindwa kuokoa raia wake?..
 
Mkuu si ujiue tu kuliko kuendelea kuishi na maumivu makali. Ukifa maumivu yote yanaisha unapumzika bila kuumia milele. Fanya hivyo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…