Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Emergency exit inafunguliwa manually tu sio kwamba Kuna kitufe kinahitaji umeme au mfumo wa kilektroniki ila tu inahitaji utaalamu Ili kuweza kuung'oa maana una maeneo ya kuulegeza kabla ya kuusukuma nje
Huu ndo ukwelii Majaliwa anaeleza kuwa alikutaa watu wanaangaikaa kufungua mlango yaan like wanausukuma sukuma akaubamiza kwa kasia ukafunguka, concept hapa ni rahic tu, majaliwa anasema alichokifnya bila kujali ile kasia aliyopiga ndo ilifungua mlango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dakika au Sekunde ?, Si angeweka kitu kama Kasia au mikono yake haikuchoka ?

Unajua dakika 60 ni saa nzima ? Kwahio yeye katika Uokozi huu alishiriki kushikilia mlango ?

Hii kitu tangia itokee inaleta maswali mengi kuliko majibu na huenda ukweli mwisho wa siku ukawa ni wa version kama tano au sita hivi....
Huyu naye anatupigaa tu....mwananchi wameelezaa tukio zima ndege ilizama majini saa 2:53 na mlango kufungukia saa 3:19, zimamoto walifikaa saa 3:38 bado wakaendelea kumuacha muhanga wa ajali kwa saa moja aokoe watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii ina mambo ya ajabu sana na Watu wa hovyo sana
 
Kwa waliopanda ndege, milango ya Ndege hufunguliwa tokea ndani, lakini kuna malalamiko mengitu ya kwamba Majaliwa alishirikiana na wavuvi wengine, wako abiria wanakiri aliyefungua mlango wa ndege nia "air hostess" TZ nchi ya dili, lakini si shangai munakumbuka issue ya "TETEMEKO HALIKULETWA NA SERIKSALI" Kagera Land of fire....
Tafuta Mahojiano ya kwanza kabisa ya TBC na Majaliwa....

Majaliwa hakuna sehem alisema alifungua ule mlango, yeye anasema alivyofika alikuta kama wanaangaika kufungua mlango na ni ni kama ukikuwa umejirock ndo akaupigiza na Kasia ndo ukafunguka...ukifungua akili wala hauitajii kutumia nguvu kubwa kujua mlango wa Ndege hauwez kufunguliwa kwa Kasia kiongozii.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milango iliofunguka ni miwili ya nyuma wa kushoto na kulia.Tunaitaji kufaham ni mlango upi Eng aliushika for 60m na upi majaliwa aliupiga na kasia.Hii ajali inafikirisha sana:

Kuna mama amehojiwa na Wasaf pia ni mhanga wa hio ajali,anasema ni mvuvi ndo alishikilia mlango na ndo aliemuokoa kwa kukata mkanda,na mvuvi alikua ni mweupe kwa rangi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio black kama majaliwa,sio inshu sana sabab majaliwa hakuingia ndan.Eng anasema yey alishikiria mlango, mama anasema ni mvuvi.Eng anasema alimtuma mvuvi mweny rangi nyeusi aingie ndan na ndo only mvuvi aloingia ndan,huyu mvuvi mweupe alomuokoa mama ni nan [emoji2369]?.Nukuu maelezo ya wahanga "NDEGE ILIVOZAMA TU MAJI YALIINGIA HARAKA SANA KIASI YALIWAFUNIKA BAADHI" Majaliwa aliweza vipi kuwasiliana na maruban kama maji yaliingia kwa haraka ivo na pembel ndo sehem ilocrash au chumba cha maruban ni special[emoji2369].Kuna mhanga anasema yeye aliona tobo akapita before mlango wa nyuma kufunguliwa, kulikua na mambo meng kweny hi ajali.Eng victor anaongelea mlango mmoja(kulia kama sijakosea) ila anataja mabawa mawili,watu wengne waliendaje upande wa pili wa ndege kutake position kweny bawa la kushoto.Distance kutoka kweny milango ya nyuma mpka kweny bawa tumeiona lakin ,je watu walijitosa majini mbona Eng anasema alikua anaokoa mmoja mmoja kwa kuwaweka kweny boti,#MASWALI ni mengi.Naamin wapo weng walioplay key role kweny kuokoa watu ila ni mungu aliamua kumuinua majaliwa [emoji120][emoji120][emoji120]
Yes hata mm nlimsikia aliyesema aliona upenyo akapita ambaye binafsi nlihic ni ule mlango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we ndo umefikiri nini sasa?kwa hiyo wewe kwenye sentensi nzima umekunwa na neno 'wivu' tu badala ya kuchukua comment yangu katika ujumla wake,halafu eti unajiona na wewe ni critical thinker,pathetic
Huna hoja..utatawaliwa maisha hadi nyumbani kwako!
 
Eng Victor amesema baada ya Ndege ya Precision Air kuanguka alijaribu mara 3 kufungua mlango Bila mafanikio ndipo akaja Muhudumu wa Ndege na kubonyeza mahali mlango ukafunguka

Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic

Kabla sijauachia mlango nilimtuma mvuvi mmoja " mdogo mdogo hivi" aokoe mabegi yanayoelea ndani ya Ndege na anitafutie na begi langu lakini begi langu hakuliona

Victor anasema anajisikia maumivu ya hapa na pale na amekubaliana na madaktari wa Bukoba aende Muhimbili kwa Uchunguzi zaidi

Victor anasema Wavuvi wote walimfata na kumkumbatia baada ya zoezi la uokoaji kukamilika naye aliwaambia Nguvu walizomuona nazo kule kwenye Maji siyo zake bali ni muujiza wa Mungu.

Victor alihojiwa na Wasafi tv akiwa ndani ya Ndege ya Precision Air alirejea DSM tayari kwenda Muhimbili

Chanzo: WASAFI TV
Namjua vizuri sana Eng Victor, nimefanya nae kazi miradi mingi sana, tulishtuka sana baada ya kuona jina lake katika wale waliofariki,
Mungu ni mwema anaendelea vizuri na jana niliongea nae
 
Aaah kijana amekua exaggerated ila waliosaidia ni wengi mnoo kuanzia Hostess aliyefungua emergency exit, raia wa china, wavuvi waliokuja na mitumbwi all in all Majaliwa sio kama alikua better ila kitendo Cha yeye manusura kupoteza maisha sababu ya kujaribu kumuokoa Rubani nadhani ndio wanamfutia machozi nacho.

Pia serikali wamemkuza Ili kuondoa maswali ya wananchi kwenye uzembe wa kuchelewa kuokoa Ili Sasa attention iwe kwenye SHUJAA!! but ukisikiliza manusura wote utaona msaada ulitolewa na watu wengi sana na sio mtu mmoja kuokoa watu 24!!
Nina swali la kijinga. Majaliwa alipokea 1,000,000 ya rc, kisha 5,000,000 gsm. Kwamba manusra wote wana roho ngumu au umasikini uliotopea kiasi kwamba hakuna hata aliyenyoosha mkono kumtabaruku mwamba hata pepsi ya 1,000/=!!
 
NAITAZAMA AJALI HII NAMNA TOFAUTI
Ebu sema neno mzee wa makala! Kwa jinsi kipande cha mbele/cabin ilivyoinama kuelekea deep water (tumeona baada ya ndege kuibuliwa na winchi) hadi leo tuyakubali mashairi ya bingwa kuwa aliwasiliana na rubani hadi akamuonyesha pa kuvunja, ila kuna nani sijui alikataza asijunje. Pia kuna top alitangaza anayo mawasiliano na chumba cha rubani.

Au ule mkatiko wa ndege ulitokea baada ya wafu na majeruhi kutolewa!!
 
Sisi tunachojua ni kwamba mlango ulifunguliwa na Shujaa majaliwa. Na kama alivyosema mwenyewe mlango ulipigwa na Kasia na shoka[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yote hiyo Ni sababu ya pesa..uchu wa pesa

Pesa aliyoipata majaliw kama jina lake sahivi kila mtu anaipigia kelele..

Mambo mengine Ni kukaa kimya na maisha yaendelee..
Dili ni kuwapa watoto majina yenye fasiri mujarabu.

Victor=mshindi
Majaliwa-kama ujuavyo tena kajaaliwa kwelikweli
Neema-inakuijia muda wowote bila hata taarifa
Baraka+bahati-hii zaidi ya majaliwa. Mkumbuke aliyekuwa anajiita Baraka Magufuli

Komesha yote ni maana ya PECISION-....viwango bora katika utendaji.

Miaka yote hawajapata ajali, wala ndege kusukumwa. Sio rekodi ya kitoto
 
Back
Top Bottom