Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Huyu ni msenge mmoja ambaye kichwa chake kina umeme mdogo.
Anaposema alijiokoa na kuokoa wengine, ina maana aliwabeba majeruhi wote mgongoni hadi nchi kavu?
Wavuvi wasingefika eneo la tukio na mitumbwi yao, leo hii angekuwa hai?
ulitaka asiseme alichofanya na kukiona, wewe nae sema ulichokiona ndio tunaenda sawa manake mlizuia wengine wasiseme, wote waliotoka tuwasikie kwanza. Msitulazimishe kusikia mnachotaka nyie tusikie sie tunasikiliza wote mapaka wale wavuvi manake nyie story yenu ni majaliwa pekee haiwezekani kuna ambayo mnaficha tusikie.
 
Muongo huyu, mlango uliofunguliwa ni emergence door...fix tupu sasa hivi, dogo ndio keshasepa hivyo.
 
Yule ni nshomile, hakuna ubishi na hilo, akili ikamjia ya ule wimbo unapitea, "NITOKE VIPI"
 
Majaliwa alifungua mlango wa emergency kama watu wanachanganya hivi na wakati ndege inadondoka yeye ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kuiona ile ajali wakati ndege inadondoka ndiyo akawa amejulisha na wavuvi wenzake kusogea eneleo la tukio maana hata baada ya watu kuokolewa ni hiyo hiyo mitumbwi ya kina Majaliwa iliwapeleka nchi kavu hapo ndipo ushujaa na ujasiri wa Majaliwa unapoonekana hata kuhatarisha maisha yake kuokoa wahanga wa ajali ikiwa ni pamoja na mchango wa wavuvi wenzie ingekuwa ni vigumu wale abiria kutoka ndani ya ndege bila msaada wa watu kutoka nje na kuanza kuogelea au kubaki pale juu ya ndege lingekekuwa timbwili lingine tena pale kwa abiria wasiyojua kuogelea
 
Mbona keshasema wavuvi waliokuja akasaidiana nao? Na mlango ulipewa support na mtumbwi in fact Kuna mvuvi alimsaidia kumnasua mtoto pamoja na mabegi. Kasikilize interview yake in full maswali yote hayo yana majibu
 
Upo sahihi kabisa mkuu hiki ndio kimemfanya apewe airtime maana manusura apoteze maisha yake ukilinganisha na wavuvi wengine ambao hawakudhurika per se.
 
Mbona keshasema wavuvi waliokuja akasaidiana nao? Na mlango ulipewa support na mtumbwi in fact Kuna mvuvi alimsaidia kumnasua mtoto pamoja na mabegi. Kasikilize interview yake in full maswali yote hayo yana majibu
Ngoja mie niendelee mambo mengine, walionusurika MUNGU aendelee kuwalinda, na marehemu wapumzike kwa amani, pia Majaliwa kila raheri katika kazi yake mpya baada ya kuokota dodo kwenye mwarobaini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ndege ya Precision au ndege zote?
Ndege ngingi kama sio zote milango ya kawaida kuingia na kutoka abiria huwa iko kishoto na dharura inakuwa kulia.

ATR kwa uzoefu wangu mdogo mlango wa dharura uko kulia
 
Majaliwa anasema hv eng nae anayakwake huu naona ni kama mpambano
Kwa clouds naona hii kama ni fursa wawakutanishe hawa wa2 kwenye powerbreakfast au clouds 360 tujue nani mkweli 😃
 
Kabisa mkuu, Majaliwa hana utaaramu wa mlango wa ndege, so moja kwa moja alijua kasia lake ndilo limefungua mlango
Wahudumu wa ndege wapo wapi mbona hawahojiwi ili tujue zaidi nini kilichotokea baada ya ajali kutokea
 
Kwahio Majaliwa alipiga mlango upi kwa kasia ukafunguka? Au kulikuwa na milango miwili?
UPO UWEZEKANO WAKATI MAJALIWA AKIJITAHIDI KUOKOA KWA KUVUNJA MLANGO NA HARAKATI HIZOHIZO PIA ZILIKUWA ZIKIENDELEA KWA WALIOKUWA NDANI,
HIVYO WOTE NI MASHUJAA.
 
Tukishirikisha akili..
Mlango wa ATR huwezi kufunguliwa na kasia.
Kumbuka mlango wa hii ndege ukifunguka unabadilika kuwa ngazi.
Tena unafunguka kwa kurudi chini
Hamna mlango wa emergence mjomba? Kwa reasoning yangu ya kilayman mechanism ya kufungua mlango wa emergence haiwezi kuwa sophisticated kama kufungua mlango wa kawaida kwenye normal operation.
 
Sawa ila ndo ivo muvi iilchezwa na watu wengi ila Majaliwa ndo alikuwa stelingi
 
Tukishirikisha akili..
Mlango wa ATR huwezi kufunguliwa na kasia.
Kumbuka mlango wa hii ndege ukifunguka unabadilika kuwa ngazi.
Tena unafunguka kwa kurudi chini
Ishugulishe akili yako kidogo, ukiangalia ule mlango uliopigwa picha baada ya ndege kutolewa majini ni ule wa emergency ambao hauwi ngazi ukifunguliwaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…