Engine oil gani ni nzuri kwa Gari aina ya IST?

Pia usitumie 20W kwenye low mileage cars na newest cars,inaweza pelekea damage kwenye engine.Kwa kuongezea ni kwamba engine components nyingi za high mileage cars Huwa zinakuwa zimechoka na hivyo kupelekea leaks,lakini kutokana na 20W oil kuwa nzito hupunguza chance ya leakage at high temperatures.Its a tricky topic in fact my friend.
 
Naomba kuuliza kidogo, ikiwa gar ina km laki 2 zen nikabadili injin na kuweka nyingine, bado maswala ya kilometa kwenye matumiz ya oil yana husika tenaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana mkuu kwa maelezo yako.

Naipenda Jf kwa mambo kama haya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact! Kinachotakiwa ni recommended oil by manufacturer na sio vinginevyo. Masuala yakuambiaana abadili kwa ajili ya mileage sio kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa post yako hii Nimegundua wewe kuna kitu hujakielewa. Hata 5w30 grade high mileage zipo. Kwa kifupi kila grade inayo high mileage yake bro. Kwa mimi nashauri atumie oil recommended by manufacturer na iwe made special for high mileage cars. Kwa IST nadhani castrol edge high mileage 5w30 itamfaa. Castrol wanazo kwa kila grade ya oil.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na isitoshe most of modern engines recommend SAE viscosity ni 5w 30...hii ndiyo imepewa kipaumbele kwa makampuni mengi yanayozalisha magari bila kujalisha mileage...

Tatizo watanzania sisi ni wavivu wa kusoma..kuna watu gari zao zimebahatika kuja na user manual lakini hawazisomi....online kuna resources nyingi tu, watu tujenge utamaduni wa kusoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact! Mimi pia nilisoma manual ya gari yangu nikakuta ni 5w30 isipokuwa maeneo yenye joto zaidi ya 40 ndio unaweza weka 10w30, ila conclusion yao wakasema recommended oil grade ni 5w30. Watu wasome manual za magari yao, weingie hata online, wasiwe wavivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekamilisha elimu. Comments mbili za juu zimetoa elimu kamilifu including hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umejaribu ila ungegoogle kuhusu hizi grade za oil ungeelewa zaidi tena google forums za magari katika nchi za joto mfano uarabuni huko Saudia, Dubai, Qatar uone wao wanatumia oil za grade gani zingatia kwamba huko wana joto zaidi yetu sisi na ni all year around wao ni joto tu na napenda kukwambia wao wanafuata recommendation za manual books zinavyosema most of them kama sio wote wanatumia 5w30 kwenye gari za petrol na sio 20w50 hata japan kwenyewe summer kuna joto kama la huku na bado wanatumia the same 5w30 ila kwenye winter ndo wanatumia 5w20 au 0w20 hii mimi nimefuatilia sana na nikagundua watz wanapenda 20w50 sababu ni cheaper tu na sio zaidi ila kwa gari kama IST yenye 1NZ au 2NZ kuweka 20w50 ni kuua engine taratibu bila kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu ahsante kwa ufafanuzi huu wanapenda hizo sababu ya urahisi wa bei tu na pia watz wengi tumetawaliwa na kupenda vitu rahisi rahisi sana na ambacho vitatupa madhara makubwa huko mbeleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa dar ningefika kununua oil ya toyota. Maelezo yako yapo sahihi mkuu, umemshauri kwa usahihi kabisa mkuu
 
Mkuu nakuelewa sana... vp Carina Si nitumie engine oil gani???
 
Nimefuatilia kwa makini hii post...huwa nawekaga sae 40...gari imetembea 181k+km...vp bado hiyo 5w30 inafaa???
Yes jaribu kutumia 5W30, angalizo oil hii bei yake ni mara mbili ya sae 40 kwa kampuni yoyote ile ya oil na mm ninazo ofsn kwangu kwa kampuni zote genuine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…