Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Good morning to all parents,
Straight to the point, wazazi wenzangu nawasihi sana tuwapende sana watoto wetu katika hali yeyote ile.
Tukiwa na fedha ama fukara, kitu pekee ambacho mtoto anahitaji zaidi kutoka kwa wazazi/mzazi ni upendo. Hayo mengine yote Mungu hubariki na huyafanya kwa wakati wake.
Ndugu wazazi wenzangu tusisahau kwamba; mafanikio ya mtoto huja kwa namna ama kupitia milango mingi, na kama ni fedha, utajiri, kipaji na mambo yote mazuri. Mtoto atayapata ikiwa tu ataupata UPENDO.
Niwatakie siku njema, yenye baraka, mafanikio na amani tele.
Straight to the point, wazazi wenzangu nawasihi sana tuwapende sana watoto wetu katika hali yeyote ile.
Tukiwa na fedha ama fukara, kitu pekee ambacho mtoto anahitaji zaidi kutoka kwa wazazi/mzazi ni upendo. Hayo mengine yote Mungu hubariki na huyafanya kwa wakati wake.
Ndugu wazazi wenzangu tusisahau kwamba; mafanikio ya mtoto huja kwa namna ama kupitia milango mingi, na kama ni fedha, utajiri, kipaji na mambo yote mazuri. Mtoto atayapata ikiwa tu ataupata UPENDO.
Niwatakie siku njema, yenye baraka, mafanikio na amani tele.