Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Labda aliekudanganya hivyo ni mumeo ila kwamba chadema ndio waliosema hivyo nakataaNi kama chadema tu mnavyotupiga kamba sasa kwamba Dunia nzima hakuna mwenyekiti wa Chama bora kuwahi kutokea kama Mbowe.
Huko mbeleni mtakuja kujiona wajinga sana.
Nimeingia Google wanasema kuna kipindi alikuwa mshauri wa masuala ya uchumi kwa serikali ya Uganda early 80/90s.Nilikuja sikia eti alinusuru uchumi wa china😂😂😂vigenge vya kahawa hatar sana
Hata mie Nina A ya Economics na wengi tuu wanazo..Ni kweli..Mimi nilisia alipata A Kali Sana ya Economics pale Pugu kuliko mtu yeyote Toka uhuru [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kasoma elite university huko USAMzee Lipumba bwana inasemekana alipata GPA ya 5.0 chuo kikuu Mlimani pale.
Toka na hapo akawa mtu muhimu sana anayeweza kumshauri hadi bill Clinton jinsi ya kujenga uchumi wa USA.
Huenda ndio imempa exposure sanaIla kasoma elite university huko USA
Miaka ile akitamba technology bongo ilikuwa nyuma ndiyo maana ulikuwa mtu ukipigwa kamba kwamba mtu fulani siyo wa kawaida kwenye jambo fulani unajaa mazima kutokana na huna pakupata na wewe taarifa zake labda uwe mjanja sana.Mzee Lipumba bwana inasemekana alipata GPA ya 5.0 chuo kikuu Mlimani pale.
Toka na hapo akawa mtu muhimu sana anayeweza kumshauri hadi bill Clinton jinsi ya kujenga uchumi wa USA.
-acha chuki za kiboya Prof Lipumba ana degree 4 za Uchumi,Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Miaka ile akitamba technology bongo ilikuwa nyuma ndiyo maana ulikuwa mtu ukipigwa kamba kwamba mtu fulani siyo wa kawaida kwenye jambo fulani unajaa mazima kutokana na huna pakupata na wewe taarifa zake labda uwe mjanja sana.
Leo vitu vipo mitandaoni ukigusa kila kitu kinashuka ndiyo maana hata umaarufu wake umepotea kizazi hiki hata hakimjui ni nani.
Hapo pa Uganda sawa ila hapo WB&SIDA pana mashaka kidogo,unaweza labda kupandisha hapa uthibitisho tukaona ili tuamini?-acha chuki za kiboya Prof Lipumba ana degree 4 za Uchumi,
- Prof Lipumba aliwahi kuwa consultant wa, WB , SIDA, mshauri wa uchumi wa serikali ya Uganda
-
Kama huamini kaulize wazembe wenzio hapo kwenye makorido ya Lumumba watakusaidia, au nyote hamjui?Hapo pa Uganda sawa ila hapo WB&SIDA pana mashaka kidogo,unaweza labda kupandisha hapa uthibitisho tukaona ili tuamini?
Siasa mbaya unapoteza akili zote 😂😂Nimeingia Google wanasema kuna kipindi alikuwa mshauri wa masuala ya uchumi kwa serikali ya Uganda early 80/90s.
Ila alipoingia kwenye siasa akili zote zikahama na ni kawaida angalia kina Kitila Mkumbo na Bashiru utaona wanavyokuwa weupe vichwani wakianza kupokea ruzuku.
Mkuu jitahidi sana uwe unaweka siasa pembeni itakuvuruga ubongo sisi hapa tunaongea facts siyo kila mtu anaempinga mtu ni mwanasiasa au hampendi.Kama huamini kaulize wazembe wenzio hapo kwenye makorido ya Lumumba watakusaidia, au nyote hamjui?
CCM haipokei ushauri kutoka kws wapinzani.Niyeye amekataa kuishauri serikali sababu ni mpinzani au CCM ndio imemuona useless
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Hustahili jibu zaidi ya hiliNdugu yangu unaumia sana unapoona wakina kibatala wanapowachachafya maccm ?
Elite university za mbele sifa ni kwenye undergraduate zaidi. Ukisoma level za masters na PhD hazina maujiko ya kutosha.Huenda ndio imempa exposure sana