EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

Hii movie hata ikiwa mbaya kwenye Storyline na picha ya trailer naona sio clear sana.

Ila wamejitahidi Sana Kwa kweli. (Time and Budget)

Wameonesha wana nia ya kufanya mabadiliko.

Sio kila siku upuuzi wa mapenzi wa Huba sijui jua Kali na ujinga Mwingine mwingine.

Mdada tu akiwa na makalio makubwa basi nae huyo unamuoa anaigiza. Ujinga mtupu.
 
Siku ya juzi AZAM TV wamepost trailer ya movie yao mpya waliotengeneza kwa takribani miaka 6. Movie hiyo kwa jinsi ilivyotengenezwa ni kama imetumia mfumo wa CGI (Computer Generated Imagery) ambao unatumiwa sana huko hollywood na tumeona kwenye movies kama Superman, Avatar, Avengers na nyinginezo.

Hii movie ya EONII ni ya kiswahili kabisa lakini cha kushangaza ina Robots na Mashine za mfano wa Robots, na mandhari yake ni ya Teknolojia na muonekano ni wa Tanzania baada ya 2061. Ni trailer kali sana. Naona hatua kubwa kwa Tasnia ya Filamu Tanzania.

"EONII" a Tanzania movie that will take Africa's film industry to another level.


---

AZAM TV and POWER BRUSH STUDIO have launched the Blockbuster movie trailer
AZAM TV in collaboration with POWER BRUSH STUDIO have been able to launch the trailer of the New Movie "EONII". The movie that is about to be released in the end days of June, 2023 is expected to change the whole attitude of the Tanzanian film industry, the movie is called 'EONII'.


EONII is one of the Science Fiction (Sci-Fi) films that is based on high technology, where there are many cases including betrayal, fights, love and many other events. The setting of this movie is Tanzania, where the movie predicts that in 2061 Technology will have made a big step and there is an invention of Technology that is discovered and leads to a big threat where some people will own that knowledge and betray their fellows at the end of the day Humans and Robots enter the war along with some people who are traitors.

The language of the movie will be Swahili, with different languages Subtitles.

Launching the Movie
This full movie will be released on 23rd June, 2023 in cinema (theatres) where the Regions listed for the launching event will be Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Dodoma as well as other regions with cinemas and there will be a Red Carpet.

Film industry revolution​

This is a big revolution in the Film Industry in Tanzania and Africa in general. For a long time, the world of movies in Tanzania had deteriorated for many years since the late Steven Kanumba died, and now AZAM TV has shown the intention to focus on trying to make unique movies in Tanzania to compete with the world markets.
As long as movie imeigizwa kwa kiswahili lazima itakula kwao sababu mauzo yatakuwa madogo sana. Ingekuwa kwa akingereza atleast inge walipa
 
As long as movie imeigizwa kwa kiswahili lazima itakula kwao sababu mauzo yatakuwa madogo sana. Ingekuwa kwa akingereza atleast inge walipa
Wame target soko la ndan na kingine ina subtitle ya English ukisema lugha basi wachina na wakorea wasingeuza movie zao
 
Either way kama ni kweli basi ni mwanzo mzuri. Ila kwanini watumia gharama kubwa kutengeneza Sci-Fi kwanini wasitafute script writers wazuri wakaandika story nzuri na kutengeneza movies/series za kawaida kuliko haya mautopolo yao ya kila siku sijui Kitimtim mara Huba mara Pazia.
SOKO LA SCI FI NI KUBWA kuliko hayo ma series yenu mwenye wazo sio fala kingine ni kumek history haujawahi tokea sci fi Tanzania Ila hayo ma series aah mcheck Lamata
 
Tanzania bado tunashida na utungaji wa story nzuri, ambazo zinaweza kuvutia watazamaji....
Unaweza kutengeneza movie yenye budget ndogo lakin ikawa na story nzuri sana, mpka watu wakapenda..

Tuangalie movie kama power and kin, pale kuna technolojia gani ngumu kushindwa kutengeneza movie yenye story kama zile...

Kukimbilia science fiction kabla hatujakuwa bora kwenye story write, hata hzo zitakuwa mbovu tu...
 
Tanzania bado tunashida na utungaji wa story nzuri, ambazo zinaweza kuvutia watazamaji....
Unaweza kutengeneza movie yenye budget ndogo lakin ikawa na story nzuri sana, mpka watu wakapenda..

Tuangalie movie kama power and kin, pale kuna technolojia gani ngumu kushindwa kutengeneza movie yenye story kama zile...

Kukimbilia science fiction kabla hatujakuwa bora kwenye story write, hata hzo zitakuwa mbovu tu...
Mwanzo Mgumu Ila Mwisho Mwampamba aye
 
Kuna BONGO MUVI na FILAMU ni vitu viwili tofauti hapa.. Hii ni filamu , ni tofauti na bongo movie, nyie wenyew mnawajua production yao.. Hao bongo muvi. Safi sana azam na studio izo
 
Kuna historia za maana sana hapa Tanzania mfano historia za kina chief Mkwawa, Vita ya maji maji n.k , pia tuna location kali sana, kwa hio budget na muda tungetoa filamu ambayo dunia ingeifahamu Tanzania, hizi sci fi tunahitaji wataalamu zaidi na ni jambo la kukubali, Hollywood wenyewe siku hizi hawaweki sana CGI, mwanzo mzuri.
Naunga mkono
 
Wakuu habari za jumatano, natumaini mko vizuri na mnaendelea na majukumu ya kila siku, filamu ya EONII itakua filamu bora kuwahi kutengenezwa Tanzania na wasanii wetu.

Kwangu mimi hii ndo filamu nadhani yenye uzamini mkubwa kutoka Azam na ndio maana kimetengenezwa kitu bora zaidi chenye kuzungumzia teknologia ijayo 2061.

Nawapa big up sana wasanii walioshiriki kwenye utayarishaji wa hii filamu na timu nzima ya azam media kwa kuithamini tasnia ya filamu nchini.
 
Wakuu habari za jumatano, natumaini mko vizuri na mnaendelea na majukumu ya kila siku, filamu ya EONII itakua filamu bora kuwahi kutengenezwa Tanzania na wasanii wetu.

Kwangu mimi hii ndo filamu nadhani yenye uzamini mkubwa kutoka Azam na ndio maana kimetengenezwa kitu bora zaidi chenye kuzungumzia teknologia ijayo 2061.

Nawapa big up sana wasanii walioshiriki kwenye utayarishaji wa hii filamu na timu nzima ya azam media kwa kuithamini tasnia ya filamu nchini.
Umeiona tayari? Au grapghics zimekuchanganya?
 
Back
Top Bottom