EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

Usi
Wakuu habari za jumatano, natumaini mko vizuri na mnaendelea na majukumu ya kila siku, filamu ya EONII itakua filamu bora kuwahi kutengenezwa Tanzania na wasanii wetu.

Kwangu mimi hii ndo filamu nadhani yenye uzamini mkubwa kutoka Azam na ndio maana kimetengenezwa kitu bora zaidi chenye kuzungumzia teknologia ijayo 2061.

Nawapa big up sana wasanii walioshiriki kwenye utayarishaji wa hii filamu na timu nzima ya azam media kwa kuithamini tasnia ya filamu nchini.
Usipotoshe watu, hakuna muvi hapo
 
Ukweli ni kuwa kupitia trailer tu hiyo filamu ni mbovu.
2061 hakutakuwa na IST old model

Afu wamekopi kile kipikipiki cha Batman.
What if hao wanaoendesha iyo IST ni watu back from time!!!! umeambiwa kuna uwepo wa teknolojia ambayo imeleta chaos,what if kuna inshu ya time travel!!!critics zinaruhusiwa ila ya kwako imekosa mantik.

Alafu unazungumzia pikipiki au gari,hilo gari uliliona kwenye trailer una uhakika ni ile bat rocket au bat glider mkuu.maaana havifanan hata kidogo.Kuna muv nyingi tu ambazo wanatumia muundo wa magar na pikipiki za aina hiyo,je utasema hao nao wamekopi!!!!

Em subr tareh 23 kwanza alaf ndo utoe critics.
 
What if hao wanaoendesha iyo IST ni watu back from time!!!! umeambiwa kuna uwepo wa teknolojia ambayo imeleta chaos,what if kuna inshu ya time travel!!!critics zinaruhusiwa ila ya kwako imekosa mantik.

Alafu unazungumzia pikipiki au gari,hilo gari uliliona kwenye trailer una uhakika ni ile bat rocket au bat glider mkuu.maaana havifanan hata kidogo.Kuna muv nyingi tu ambazo wanatumia muundo wa magar na pikipiki za aina hiyo,je utasema hao nao wamekopi!!!!

Em subr tareh 23 kwanza alaf ndo utoe critics.
Trailer tu hutoa uhalisia wa kitu
 
Trailer tu hutoa uhalisia wa kitu
Ni kwel trailer lina gizagiza ofcoz maybe director ameamua kuonesha neo noir type of movie kama ile blade runner ya ryan gosling.Sema tuwape muda haya mambo yanahitaji udhubutu mkuu.
 
Kaangalieni trailer ya Expendables 4 ilivyo afu muone kama hakuna atayeisubiri hiyo Sept.
 
Kuna historia za maana sana hapa Tanzania mfano historia za kina chief Mkwawa, Vita ya maji maji n.k , pia tuna location kali sana, kwa hio budget na muda tungetoa filamu ambayo dunia ingeifahamu Tanzania, hizi sci fi tunahitaji wataalamu zaidi na ni jambo la kukubali, Hollywood wenyewe siku hizi hawaweki sana CGI, mwanzo mzuri.
Kama wangetumia vizuri mtaji wa hizo stori wakatia bajeti ya kutosha wangetoa kitu kikali kama wakanda
 
Hapo nawapa kongole kabisa hii nita itazama nilikua nimeacha kuangalia maigizo ya kibongo muda mrefu Sana, wakenya nao wametoa chuma kinaitwa Mpakani ni kali Sana na yenyewe itafuteni mfurahie
 
Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Mmh!! Ivi ndugu unachekigi movie za sci-fi vizuri yani unajua maana harisi ya sci-fi inavyo takiwa

Naomba unijibu kidogo na kingine naomba kusema tusubiri movie itoke ndo tuje kubishana humu ndani ukisema tubishana kupitia traile itakua ngumu kidogo ila


Naomba unipe mfumo wa movie za sci-fi
 
Back
Top Bottom