GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
Nadhani trailer yake tu inaonesha ubora wa filamu husika.Umeiona tayari? Au grapghics zimekuchanganya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani trailer yake tu inaonesha ubora wa filamu husika.Umeiona tayari? Au grapghics zimekuchanganya?
Inabidi ubadili gari sasa ili usinyanyasikedaaaah wenye ist tunanyanyasika
Usipotoshe watu, hakuna muvi hapoWakuu habari za jumatano, natumaini mko vizuri na mnaendelea na majukumu ya kila siku, filamu ya EONII itakua filamu bora kuwahi kutengenezwa Tanzania na wasanii wetu.
Kwangu mimi hii ndo filamu nadhani yenye uzamini mkubwa kutoka Azam na ndio maana kimetengenezwa kitu bora zaidi chenye kuzungumzia teknologia ijayo 2061.
Nawapa big up sana wasanii walioshiriki kwenye utayarishaji wa hii filamu na timu nzima ya azam media kwa kuithamini tasnia ya filamu nchini.
What if hao wanaoendesha iyo IST ni watu back from time!!!! umeambiwa kuna uwepo wa teknolojia ambayo imeleta chaos,what if kuna inshu ya time travel!!!critics zinaruhusiwa ila ya kwako imekosa mantik.Ukweli ni kuwa kupitia trailer tu hiyo filamu ni mbovu.
2061 hakutakuwa na IST old model
Afu wamekopi kile kipikipiki cha Batman.
Trailer tu hutoa uhalisia wa kituWhat if hao wanaoendesha iyo IST ni watu back from time!!!! umeambiwa kuna uwepo wa teknolojia ambayo imeleta chaos,what if kuna inshu ya time travel!!!critics zinaruhusiwa ila ya kwako imekosa mantik.
Alafu unazungumzia pikipiki au gari,hilo gari uliliona kwenye trailer una uhakika ni ile bat rocket au bat glider mkuu.maaana havifanan hata kidogo.Kuna muv nyingi tu ambazo wanatumia muundo wa magar na pikipiki za aina hiyo,je utasema hao nao wamekopi!!!!
Em subr tareh 23 kwanza alaf ndo utoe critics.
Ubora wa filamu sio trailerNadhani trailer yake tu inaonesha ubora wa filamu husika.
Ni kwel trailer lina gizagiza ofcoz maybe director ameamua kuonesha neo noir type of movie kama ile blade runner ya ryan gosling.Sema tuwape muda haya mambo yanahitaji udhubutu mkuu.Trailer tu hutoa uhalisia wa kitu
Pia kuna Haice 5L inaonekanaUkweli ni kuwa kupitia trailer tu hiyo filamu ni mbovu.
2061 hakutakuwa na IST old model
Afu wamekopi kile kipikipiki cha Batman.
Movie za hii site ni ovyo, kimoi tv hovyo , mnawezaje kuziangalia mana zimenishindaIko netnaija?
Hivyo tuseme wameboronga, wameandika 2061 bila kufatilia dunia itakuwaje miaka hiyo kwa upande wa Afrika. Yaani sana sana ni magorofa tuPia kuna Haice 5L inaonekana
Muvi za site gani ni ovyo?Movie za hii site ni ovyo, kimoi tv hovyo , mnawezaje kuziangalia mana zimenishinda
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Kama wangetumia vizuri mtaji wa hizo stori wakatia bajeti ya kutosha wangetoa kitu kikali kama wakandaKuna historia za maana sana hapa Tanzania mfano historia za kina chief Mkwawa, Vita ya maji maji n.k , pia tuna location kali sana, kwa hio budget na muda tungetoa filamu ambayo dunia ingeifahamu Tanzania, hizi sci fi tunahitaji wataalamu zaidi na ni jambo la kukubali, Hollywood wenyewe siku hizi hawaweki sana CGI, mwanzo mzuri.
Hapo umenipata mkuu, na ingeingia NetFlixKama wangetumia vizuri mtaji wa hizo stori wakatia bajeti ya kutosha wangetoa kitu kikali kama wakanda
Mmh!! Ivi ndugu unachekigi movie za sci-fi vizuri yani unajua maana harisi ya sci-fi inavyo takiwaKusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.
For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.
Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.
Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Netflix ipi kakaHapo umenipata mkuu, na ingeingia NetFlix
We unaifahamu ipi, Movie nyingi tu za ki Africa zipo NetFlix we unashangaa kipi hasa?Netflix ipi kaka