Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Mnajizima data sio nyie wa j3.Iran kulifanywa nini?π
Yaani watu wa jumapili muna matatizo sanaa
Uturuki ilinunua mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Urusi japo waliwekewa mikwara sana na MarekaniIsrael sio mwanachama wa NATO ila ni mshirika mkubwa wa USA na EU yote.
Unadhani USA baba wa NATO atakubali mwanachama(mtoto) Uturuki amshambulie Israel ambaye anamlea pale middle east!?
Hayo mambo ya kuwapiga chenga ni yapi hayo alofanya Turkiye dhidi ya NATO ili tupimie uzito!?
Uhusiano wa Russia na Turkiye sio wa kihivyo,inapotokea mmoja anatizama faida yake basi kumgeuka mwenziwe dakika mbili.
Wewe ni muongo, Urusi hakupeleka majeshi kwani Azeri na Armenia na marafiki wa Urusi , acha story za kahawaLina nguvu na hilo linajulikana au unataka nikupe ushahidi!??
1)Tokea ikiitwa Ottoman Empire 1917 haikuvunjwa Na taifa moja hata Western powers waliungana wengi pamoja na nchi za kiarabu kuvunja himaya ya Ottoman.
2)Vurugu za sasa za vikundi vya kikurdi Turkiye hutumia nguvu ndogo sana kuyakabili kwa idadi ndogo ya askari sio kama Israel anatumia maelfu ya askari na ndege vita kibao kudhibiti Hamas.
3)Vita ya Armenia na Azerbaijan pale Nagorno-Karabakh Armenia ilipewa usaidizi na Russia kwa kupewa 300+ soldiers na vifaa na Turkiye iliisaidia Azerbaijan kwa vifaa na wanajeshi 150+.
Matokeo yake wanajeshi wa Russia zaidi ya 200 walifariki na Armenia ikashindwa vita ya Nagorno Karabakh .
Fuatila matukio sisi hatuongei kwa kuropoka tu bali kwa ithibati.
Majenerali wa Iran kuuliwa IRAN ALISHALIPIZA KILA KISASI CHA MAJENERALI WAKE KUULIWA.Iran majenerali wake wanauwawa na Israel. Mbona haendi frontline? Kama uwezo anao ataenda lini sasa.
Kuhimili miaka 8 hata Iraq iliweza. Hapo Iran ilitumia US made weapons kama F-14 Tomcats na F-5 Phantom ingawa ilinyimwa spare parts ila ilifanya kuhamisha spares.
Suala la kusaidiwa ni silaha gani ya Marekani ilienda Iraq kama msaada? Haipo.
Wakati Iran wao walikuwa na nchi kama Chinaz Yugoslavia, Bulgaria, North Korea (ambako ndio walitoa missile technology) na wengine. Hata Iraq naye alikuwa na nchi za kumuunga mkono, mbona unaandika as if Iran ilikuwa peke yake.
Mkuu unadanganya sana punguza uongo unadanganya sana punguza uongo bana.Alafu kama ni suala la missile power mbona Israel ina nukes. Sasa maelfu ya makombora ya Iran yanamtisha nani wakati ukijifanya kuyatumia unajibiwa na nuclear strike moja utulie.
Kwahiyo Iran itapigana street battles na Israel alafu ishinde? Israel inashinda wars, sio battles. Hapo Gaza nani kamkimbia mwenzie. Nani amevuruga mji wa mwenzie na vita inapiganiwa wapi. Yani Israel wameamuru watu zaidi ya milioni wa Gaza wahame na wametii, wamelipua makazi, wameua zaidi ya watu 39,000 na hapo ni bila kukusudia kama ambavyo Hamas wanadhamiria kabisa kuua. Alafu unasema street battles Israel inakimbia. Kama ingekuwa inakimbia hizo streets zingekuwa hivi?
Unajua drone iliyoiona helicopter ya Raisi iliyodondoka milimani ni ya wapi na ilitumia muda gani. Baada ya Iran kutumia masaa mengi siku nzima bila mafanikio wakaomba msaada Uturuki, ikaja Akinci drone ikatumia 2 and Β½ hours ikatumia sensors zake ikaona kwenye ukungu na gizani. Wairan wana drones hazina hata NV likiingia giza au ukungu hamna kitu.
Iran anaonekana sababu analazimisha aonekane, kwamba kisa hujawahi ona silaha za South Korea zinatumika basi hazina uwezo. Uturuki ina silaha bora maradufu kuliko za Iran ila tu haina fujo.
Tofautisha kuwa na fujo na kuwa na nguvu.
Nitajie air defense system yeyete duniani yenye effectiveness percentage kubwa kuliko Iron Dome. Itaje na useme success rate yake niko nasubiri.
Sijaona hata iwe Patriot, S-400, S-300 wala nani. Kama unaijua ilete nami nilete numbers za Iron Dome.
Askari 2,000 ni kitu gani kwenye vita ya taifa. Hiyo si ni infantry brigade moja ya Israel.
Hamas hupokea silaha vilevile, Israel silaha imenunua.
Hao wanajeshi laki tatu walikuwa mobilized in case Waarabu watajiunga iwe total war. Yalikuwa maandalizi maana Iran ilijifanya inataka kuwapanda kichwani. Brigades zinazotumika Gaza hata 10 hazifiki, hao wanajeshi 300,000 walikuwa vitani wapi.
Still hapa bro unatereza tena.KJinsi ambavyo Israel ilipigana na jeshi la Egypt na Syria yaliyokuwa na wanajeshi mara 2 zaidi ya Israel. Ndivyo ambavyo Iran itakuwa. Wanajeshi 600,000 wa Iran hawapakani na Israel, je:
Watakuja kwa ungo vitani?
Wataenda kwa airlifters, zipi? Kwanza wana paratroopers wangapi Iran na mazoezi hufanyia wapi maana zana hizo hawana.
Wataenda kwa magari, Israel ina air dominance si itawachoma moto kabla hata hawajakanyaga ardhi yake?
Watavuka ardhi wapitie Iraq, itawaruhusu? Ikiwarusu si inakuwa mshirika wa vita na ina haki ya kupigwa. Iraq ikubali kuua nchi yake kisa Iran.
Israel iliteka maeneo ya Lebanon tangu miaka ya 1980s mpaka mwaka 2000 baada ya Barak kushinda uchaguzi na aliahidi kuiondoa Israel Lebanon. Sijajua hiyo occupation ya 2006 ilikuwaje, hata hivyo kama Hezbollah wanajiweza uwanja upo wazi wajaribu. Maana kupigana kwao ni ushujaa na sifa.
Unazungumzia vita za zamani sana kipindi cha utafutaji uhuru.India iliipiga Pakistan ikaitenga Bangladesh. Hakuna vita ambayo Pakistan iliishinda India, alafu mkuu hivi kwa akili yako kabisa unaiona India hii ni ya kushindwa na Pakistan???
Yaani ukitazama uchumi, ubora na idadi ya silaha, jeshi, population, budget, teknolojia, landmass. Unaona ni kipi Pakistan inaizidi India?
Taleban ilikua inatumia silaha za Marekani.Kumbuka Taleban hiyo hiyo ndio iliyovunja USSR kwa Ufadhili wa USA.Taleban walikaliwa na Marekani kwa miaka 20 mpaka pale Trump alipoamua kuondosha majeshi yake. Taliban ilipigwa na coalition iliyokuwa na wanajeshi 5,000 wa Marekani.
Yaani Marekani ilitumia Brigade moja kuipiga Taleban kwa miezi miwili, sasa jeshi linalopigwa na brigade moja ya Marekani ni kitu gani mbele ya Israel?
Tangu mwaka 2001 Marekani wamekaa wee hapo Afghanistan mpaka wakasahau kwanini walienda, siasa zao zikaamua waondoke mwaka 2021.
Madhara gani yalitokea, silaha zipi ziliharibiwa, vifo vingapi mkuu. Israel iliua majenerali watatu, aya sasa Iran ili-achieve nini.
ππππππππYani kwa shambulio la Iran kulipiza kisasi Israel mataifa manne yaliisaidia Israel kudungua mashambulizi.Yaliyopenya yalifanya nini. Hivi unajua F-35 Adir za Israel zina command link inayoweza elekeza SAM site ya ardhini ifanye lock-on kwenye aerial target na kufanya interception? Hiyo ni ndoto kwa Iran.
Israel inaweza shoot ballistic missile kwa kutumia AH-64 Apache na fighter jets. Iran inaweza?
Then baada ya hapo unajua Israel ilifyatua air launched ballistic missile na likapenya anga la Iran, na likaacha missile booster Iraq. Iran inaweza?
Makombora ya Iran yana uzito wa makumi ya tani na yanabebwa na launchers nzito kama semi trucks, sasa Israel ina kombora ambalo hata tani halifiki ila linarushwa na fighter jet linapita Iraq linaingia Iran. Na liko very resistant na jamming, ni dogo na precise. Huogopi?
Nimalizie kwa maneno machache huku chini.Iraq kuna Washia na Wasuni almost nusu kwa nusu. Wasuni hawaitaki Iran na wakipata nafasi wataipinga.
Iran ina majimbo yanataka kujitenga, ni kuwapa silaha waanzishe proxy muda huohuo Iran iko busy na Israel.
Israel hawezi pigana miaka vita ya kufa na kupona, ni miezi kadhaa ikizidi. Achana na operation ya Gaza.
Unaisema Israel ambayo inafanya airstrikes nyingi Syria na wana air defense systems wamenunua Russia ila kila muda huwa hawajui nini kimetokea angani kwao. Wairan wenyewe wahanga huwa wanapigwa sana Syria wakiwa wanapeleka shehena ya silaha kwa makundi.
Kwani mkuu Israel haina makombora? Jericho I, Jericho II, Jericho III zote hizo ni ICBM. Nitajie ICBM hata moja ya Iran nasubiri hapa.
Israel ina nuclear warheads, ina submarines na zinaweza kufyatua makombora. Iran haina vyote hivyo.
Iran ina ballistic missiles nyingi ambazo ikifyatua kama mvua inajibiwa na nuke strike. Mjanja nani hapo.
Haphapo kwa Uturuki, kwa kuwa PKK haijaisha basi Uturuki ina jeshi bovu si ndio unamaanisha ambavyo Hamas haijaisha basi Israel mbovu?
Sasa Wakurdi wako Syria, walimsaidia Assad kupigana na ISIS. Alipowalipa fadhira akawafuga na PKK wakaishambulia Uturuki. Basi Uturuki ikaja Kaskazini mwa Syria ikampiga vibaya na silaha zake za Urusi na Wakurdi wake. Si ndipo Urusi ikafanya mkataba na Uturuki kufanya ukaguzi wa pamoja na mapigano yakaisha. Bila hivyo Syria ingepigwa vibaya.
Sasa huoni PKK wakiwa Uturuki wanavaa kiraia, wakija Syria bwana wao anapigwa sembuse wao.
Chukua Hamas wavalishe sare, wape kambi za jeshi watoke kwenye makazi na mahospitalini. Wape mwezi uone kama watakaa frontline. We unadhani kwanini siku zote hudai Israel inauwa wanawake na watoto. Wao Hamas huwa wanakuwa wapi.
Iran ikipigana na Israel hakuna kukaa mafichoni, hakuna kuvaa kanzu ukaficha grenade mfukoni ukategeshea troops wa Israel wakitazama nyuma wakidhani wewe ni raia mwema ndio uwalipue. Unavaa gwanda uonekane ni IRGC au regular forces utuambie jinsi Israel ilivyo mbovu.
Mkuu uliza ushahidi usikurupuke.Wewe ni muongo, Urusi hakupeleka majeshi kwani Azeri na Armenia na marafiki wa Urusi , acha story za kahawa
Ndio maana nimesema ijapo suala la maslahi basi mmoja wapo kumgeuka mwenziwe ni rahisi.Uturuki ilinunua mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Urusi japo waliwekewa mikwara sana na Marekani
Akikupa jibu toshelezi niite mkuu.Kumbe?
Nilikuwa sijui hili
Fafanua kidogo mkuu
Nakufuatia kaka.Majenerali wa Iran kuuliwa IRAN ALISHALIPIZA KILA KISASI CHA MAJENERALI WAKE KUULIWA.
Hili mbona nishalisema mkuu!?Hapa unarudia point ile ile,katika kila shambulio la Israel kuua jenerali wa Iran basi huwa linalipwa kwa shambulio la Hizbollah au Syria.
Na mbona ushahidi upo ukitaka unawekewa!?
Hata Iran consulate pale Syria ilivyolipuliwa Iran alilipa kisasi kwa kurusha makombora na drones 300+.
Na sababu za kutokwenda front nilishazitaja ngojea nizirudie tena;
-Iran ina struggle economically kwasababu ya kuwa na economic sanctions,hivyo uchumi huo sio mzuri kwa vita hata kiduchu.
-Iran ina maadui wengi ambao wanasubiri chanzo tu ili wamshambulie.Na kama akithubutu kuivamia Israel basi huwenda ndio mwisho wake maana kila taifa la Ulaya na USA wataweka full force ili kumuangusha,kwasababu tokea 1980 mpaka leo wanajaribu kufanya regime change pale Iran.
-Mwisho nilitaja ni umbali,umbali pia imesababisha moto kutokusambaa.
Usijifiche kichaka cha kuuawa kwa majenerali wa Iran hapo Syria,ilhali Iran Nae analipizaga kisasi kupitia hapo hapo Syria.Kama mtu wa kuingia frontline wa kwanza ni ISRAEL.
Kwasababu zifuatazo;
1)Amani ya Israel ipo mashakani kwa Syria kuwa command center ya vikundi vya kiasi vya Hamas,Hizbollah na Houthi.
2)Iran ndiye mfadhili wa mashambulizi ya Hizbollah dhidi ya Israel.Na hayo mashambulizi yameleta maafa makubwa Israel kwa kuleta vifo na ulemavu wa kudumu wa askari takriban 5000 kaskazini kwa Israel.
Hivyo hizi sababu mbili ni sababu kubwa tosha za Israel kumvamia Iran kuliko Iran kumvamia Israel.
Maana vita zote anazo kumbana nazo Israel mfadhili ni Iran.Je nani ana sababu kubwa ya kumvamia mwenzake!!??
Kuhusu vita ya Iraq na Iran,Iran ilikua ina jeshi dogo ambalo bado halikua stable maana ndio kwanza mwaka uliopita lilitoka kufanya mapinduzi.
Pia hayo mataifa ulotaja yalisaidia silaha tu ilhali Iraq ya Saddam Hussein ilisaidiwa kwa silaha na wanajeshi pia,na kwa kipindi kile inajulikana USA alikua baba wa majeshi na Iraq alikua baba wa majeshi middle east.
-Kuhusu missile power mkuu hivi unadhani nuclear inatumika tu kiwepesi!??
Kama ni hivyo basi Israel angeshapiga bomu pale Syria ambapo panatumika kama command center ya vikundi vyote vya uasi mashariki ya kati ambavyo vinaishambulia Israel kila leo.
Na Iran alishafikia hatua ya urutubishaji silaha na ripoti ilitoka,ndio maana USA na Israel kila leo wanakataa Iran kurutubisha vinu vya Nuke kwasababu wanajua kama akiyapata hakuna cha kumdhibiti tena middle east.
Israel hii unayoisemea wewe ambayo imeshindwa kuhimili vita ya miezi 9 tu.
Na tizama chini madhara iliyopata na hapo imepigana na Hamas tu pekee yake.
Sasa jiulize kama kundi dogo ambalo lina askari elfu 30 limewatia ulemavu je jeshi lenye watu zaidi ya laki 6 kitawafanya je!!??
View attachment 3056628View attachment 3056629
Mkuu unadanganya sana punguza uongo unadanganya sana punguza uongo bana.
Battle is synonymous to war hiyo ni linguistics.
Israel imekua ikilipua majengo hovyo kimakusudi na ushahidi umekua ukitolewa hapa,wakidai eti Hamas wanajificha humo ndani.
Wameua wanawake na watoto wasio na hatia.Ukitaka ushahidi nakuletea hapa we sema niulete.
Street battles vita za uso kwa uso ISRAEL AMESHINDWA GAZA NA WALEMAVU WENGI WA IDF WALIPATIKANA KATIKA VITA ZA MITAA KWA MITAA HAPO GAZA.
Wengi wakiwa wana matatizo ya saikolojia wengine wakiwa wamevunjwa miguu kwa grenade na risasi.
Ukitaka ushahidi nakuletea.
Watu kuhamishwa kutoka Central Gaza kwenda Khani younis ni kwa usalama wao ni sahihi kuhama,japo huko huko Khani younis imeripotiwa kuwa Israel imekua ikishambulia kimakusudi ilhali hakuna Hamas wala sign of Hamas huko.Ukitaka ushahidi nakuletea pia.
Hao askari wa IDF laki tatu waliletwa kwaajili ya kupambana na HAMAS wala usisingizie waarabu eti kama watajaribu kuungana ndio hilo jeshi litatumika.
Mbona wanajeshi waliisha na sasa hivi Israel imekua ikilazimisha raia kuingia jeshini??
Au hauna habari kaka kama Israel inalazimisha raia kuingia jeshini ili kupunguza uhaba wa askari!?
Hapo pia usisahau kaskazini kwa Israel haikaliki kwa mashambulizi madogo tu ya Hizbollah.
-Kuhusu suala la Iran kushindwa kumuokoa na kumpata rais wake hilo linafahamika kuwa Iran haijajipambanua katika teknolojia ya aerospace.Uturuki ni nchi ambayo imejipambanua sana katika teknolojia ya aerospace,kuna ndege yao inaitwa RAAD niliwahi ifuatilia ilivyo na ufanisi.
Ila kutokua na upembuzi katika teknolojia ya anga Iran haimaanishi haijiwezi kisilaha.Iran ilijikita katika uundaji ADS pamoja na ballistic missiles.Na middle east inafahamika Iran ameendelea katika masuala ya makombora.
Ana makombora ambayo yana uwezo wa kukwepa hata ADS ili yafikie lengo.Kwahiyo mtu kutokua vizuri sehemu ya anga haimaanishi hata sehemu zingine yuko vibaya.
Hii analysis hujaifanya vizuri kaka.
ππππππππππMkuu tuache utani na masihara.
Hii iron dome unayoisemea tarehe 7 October Hamas walirusha roketi tena ni homemade roketi zilizoundwa na mabomba ya maji Hamas walirusha roketi 5000 katika hayo 5000 roketi 2300 zimepenya.
Tusiende mbali,kambi ya kaskazini kwa Israel Galilee au Galilaya ilipigwa na cruise missiles za Hizbollah ikiwa na iron dome kama tatu iliteketea kambi nzima.
Na katika makombora yote Hizbollah alorusha kaskazini hakuna hata moja Iron dome iloweza kudungua.Sasa huu ufanisi wa iron dome uko wapi!??
Basi tusiende mbali,juzi tukio la drone ya Yemeni kuingia Tel Aviv pasi na kuonekana na kushambulia Tel Aviv Iron dome ikiwa active.
Ufanisi wa Iron dome uko wapi!!??
Ukiniambia nichague kati ya Iron dome Na Bavaar-373 nitaichagua Bavaar-373.Maana walau Bavaar ilionesha ufanisi hapo Iran.
Hiyo S-300 mwaka 2021 iliangusha ndege za Israel kama tatu zilipoingia Syria baada ya kuwa activated.
Hakuna ADS mbovu kama iron dome.
Tafuta namna nyingine ya kuipamba mkuu ila imeonesha udhaifu mkubwa sana katika vita hivi vya Gaza.
Still hapa bro unatereza tena.
Iran ina jeshi kubwa hapo Syria.
Na kila siku silaha na askari wanasafirishwa toka Iran kuja Syria kuingia Lebanon.Je hiyo Israel haioni na ikauzia hilo!?
Maana hizo silaha na askari ndio hao wanaoingia katika proxies na kuishambulia Israel.
Syria ni command centre ya Iran na vikundi vyake.
Israel 2000 walitangaza kutoka Lebanon ila hawakuiachia ardhi yote.
Pia kilichochochea vita zaidi ni Israel kumkamata kiongozi mmoja wapo wa Hizbollah 2006 ndipo Hizbollah ilivuka mpaka ikaua askari wa mpaka 8 na kuteka wanne japo wawili walifariki kwa majeraha.
IDF ndio iliamua kuvamia bint jubeir ili kuiweka iwe buffer zone ku demand askari wao.
Na waligoma kumrudisha kiongozi wa Hizbollah.
Yaliyotokea nadhani unayajua,kama isingekuwa USA kuingilia kati basi Israel ingepoteza hadi shebaah Farms.Maana walikua wanarudishwa nyuma kwa bunduki sio kwa kutaka wao.Israel ina sababu ya kuivamia Lebanon ila mbona hujiulizi hawajaivamia mpaka sasa!?
Ilhali mashambulizi ya Hizbollah yameleta maafa Israel kiasi cha kuleta internal displacement.Pia askari 5000 kati ya wale 70000 waliopata ulemavu wa kudumu wamepatikanika kaskazini kwa Israel as a result ya mashambulizi ya Hizbollah.Raia laki 2 wa Israel wameyakimbia makazi.Ila sijaona Israel ikiivamia Hizbollah.
Nadhani itakua unajua sababu.
Israel is millitary crippled ndio maana hata Biden na Macron walimwambia Netanyahu is unhealthy to go full out war with Hizbollah.Sasa mpaka hao watu wazima wanazungumza hivyo jiulize mkuu.
Cha mwisho Syria hajanunua S-300 bali Russia alizileta kulinda askari wake hapo Syria.
Ndio maana Israel inajua kuwa Russia iko Syria na haijawahi kugusa kambi za Russia.
Unazungumzia vita za zamani sana kipindi cha utafutaji uhuru.
Mimi ninazungumza mapigano ya kugombea Kashmir.
Yalitokea mapigano matano India ilishinda pigano moja tu la mwisho la 2010.Kafuatilie mapigano ya kugombea Kashmir.
Jeshi sio tu bajeti kubwa na uchumi peke yake.Bali pia ni mbinu na ari ya vita.Pakistan wana mbinu na ari ya vita kuliko India.
Taleban ilikua inatumia silaha za Marekani.Kumbuka Taleban hiyo hiyo ndio iliyovunja USSR kwa Ufadhili wa USA.
Hivyo USA kui attack Taleban kwa mara kwanza ni rahisi kwasababu jeuri na cheo hapo Afghanistan Taleban alipewa na USA.
Ila ile Taliban iliyotoka madarakani na kuamua kujipanga ilileta vifo vingi vya askari wa USA.
Ndio maana kama ulimsikiliza Trump aliongea wazi kwa Jeshi la USA itabidi liache kulipa gharama kubwa isiyokuwa na faida ya askari wake na pesa zake huko Afghanistan.
Hivyo Afghanistan ijilinde yenyewe.
Kuna vijana wengi pale Afghanistan wa jeshi la Marekani wamekufa na kuwa walemavu.Ungefuatilia namna riaa walivyokua wanakosoa jeshi la USA kuwepo Afghanistan halafu kila siku wanaletewa vijana wao katika majeneza.
ππππππππYani kwa shambulio la Iran kulipiza kisasi Israel mataifa manne yaliisaidia Israel kudungua mashambulizi.
USA,UK,JORDAN NA SAUDI ARABIA.
Still makombora 7 yakapenya na kuharibu airbase ya Israel.
Sasa jiulize kama hayo mataifa manne yasingeshiriki kudungua Israel ingefanya je!??
-Bro tuongee vitu kwa ground,hivyo vitu unavyosema kama Israel anavyo kwanini hajazuia makombora kutoka Lebanon ambayo yameua wanajeshi wake na kusababisha wanajeshi 5000 kuwa walemavu!?
Yani sawa utambe una hela halafu unashindia mlo mmoja wa ugali na Kisamvu.
Mkuu Embu kuwa realistic.
Kama Israel ingekua iko vizuri hivyo ulivyosema basi sasa hivi Galilee ingekuwa salama Salmin na ingekuwa raha mustarehe.
Tunaona yanayojiri tuna macho sio vipofu sisi.
Nimalizie kwa maneno machache huku chini.
Unaongea stori nyingi zisizo na uhalisia.
S-300 Syria haijanunua bali imeletwa na Russia kulinda askari wake pale Syria.
Ndio maana huoni Israel ikishambulia kambi ya Russia.
Hamas wana brigade tatu wana AL QASSAM wanavaa gwanda wana Islamic resistance wanavaa gwanda nyeusi na wana Hamas ambao wao wanavaa randomly.
Madai yako ya kusema kuwa Hamas wanajificha nyuma ya raia,wanajificha hospitali yalishafichuliwa kama ni uongo.
Israel aliunda hadi video fake na zikachunguzwa inajulikana ni staged videos.
Hakuna jipya mnaloweza singizia.
ISRAEL IS A WEAK ARMY.
PKK Na Hamas au Hizbollah ni tofauti.
Japo hao PKK wakifanya shambulio Uturuki huwa inawasaka na inawawajibisha kiukweli.
Operation ya mwisho Uturuki ilituma askari hawazidi 100 na ilirudi na rundo la wapuuzi wa PKK na kuwawajibisha.
PKK ni pana sana maana ni kikundi cha kurudi,pia kipo nchi jirani.
Sio kama Hamas ipo ndani ya OCCUPIED territories ambazo Israel anazi monitor na kuingia anavyotaka.
Mbaya zaidi Gaza ukubwa wake wa Kigamboni ila miezi 9 mmeshindwa hata kuokoa mateka.
Na mmepoteza askari na kupata majeruhi wengi.
Israel haina uwezo wa kuhimili vita muda mrefu.Israel sawa yake ni Hizbollah.
Itetee unavyoitetea ila mimi nikija nakuletea madhaifu ya Israel hapa.
Hizbollah wana gwanda na wana kambi zao kusini mwa Lebanon,mbona wameshindwa kutuma ndege vita zao kuchoma kambi za Hizbollah!!??
ππππBaada ya kusikia Iran itatuma ADS pale wakifuata wanaishia na drone strikes tu.
π€£π€£π€£Akikupa jibu toshelezi niite mkuu.
Siku ukileta taarifa ya Uturuki kuingia Israel, naomba uni tag!Rais wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.
Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.
Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.
Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.
Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.
Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.
Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians
Hao wote unaowataja ni ndg zako ktk imani. sasa nani aje awasaidie?. Hizo Yemen, Syria, Iraq na Lebanon ni fallen states hivyo hawana cha kupoteza ndo maana wanabweka ingawa hawana meno na wanajua kabisa hawana nguvu.Edogan mnafik kama wanafik wengine wa Mashariki ya kati, wakiwemo Egypt, Saudi Arabia, Jordan, UAE, Qatar, Kuwait, Bahrain na Oman.
Wote wanafik hao, usiwaamini kwa chochote wakachkisema dhidi ya mazayuni.
Mbona Wayemeni, Syria, Iraq na Lebanon hawasemi, wanafanya kweli.
Hao wote unaowataja ni ndg zako ktk imani. sasa nani aje awasaidie?. Hizo Yemen, Syria, Iraq na Lebanon ni fallen states hivyo hawana cha kupoteza ndo maana wanabweka ingawa hawana meno na wanajua kabisa hawana nguvu.
Siandiki sana vitendo umeviona jana Hamas na Hezbollah wako na maombolezo.Majenerali wa Iran kuuliwa IRAN ALISHALIPIZA KILA KISASI CHA MAJENERALI WAKE KUULIWA.
Hili mbona nishalisema mkuu!?Hapa unarudia point ile ile,katika kila shambulio la Israel kuua jenerali wa Iran basi huwa linalipwa kwa shambulio la Hizbollah au Syria.
Na mbona ushahidi upo ukitaka unawekewa!?
Hata Iran consulate pale Syria ilivyolipuliwa Iran alilipa kisasi kwa kurusha makombora na drones 300+.
Na sababu za kutokwenda front nilishazitaja ngojea nizirudie tena;
-Iran ina struggle economically kwasababu ya kuwa na economic sanctions,hivyo uchumi huo sio mzuri kwa vita hata kiduchu.
-Iran ina maadui wengi ambao wanasubiri chanzo tu ili wamshambulie.Na kama akithubutu kuivamia Israel basi huwenda ndio mwisho wake maana kila taifa la Ulaya na USA wataweka full force ili kumuangusha,kwasababu tokea 1980 mpaka leo wanajaribu kufanya regime change pale Iran.
-Mwisho nilitaja ni umbali,umbali pia imesababisha moto kutokusambaa.
Usijifiche kichaka cha kuuawa kwa majenerali wa Iran hapo Syria,ilhali Iran Nae analipizaga kisasi kupitia hapo hapo Syria.Kama mtu wa kuingia frontline wa kwanza ni ISRAEL.
Kwasababu zifuatazo;
1)Amani ya Israel ipo mashakani kwa Syria kuwa command center ya vikundi vya kiasi vya Hamas,Hizbollah na Houthi.
2)Iran ndiye mfadhili wa mashambulizi ya Hizbollah dhidi ya Israel.Na hayo mashambulizi yameleta maafa makubwa Israel kwa kuleta vifo na ulemavu wa kudumu wa askari takriban 5000 kaskazini kwa Israel.
Hivyo hizi sababu mbili ni sababu kubwa tosha za Israel kumvamia Iran kuliko Iran kumvamia Israel.
Maana vita zote anazo kumbana nazo Israel mfadhili ni Iran.Je nani ana sababu kubwa ya kumvamia mwenzake!!??
Kuhusu vita ya Iraq na Iran,Iran ilikua ina jeshi dogo ambalo bado halikua stable maana ndio kwanza mwaka uliopita lilitoka kufanya mapinduzi.
Pia hayo mataifa ulotaja yalisaidia silaha tu ilhali Iraq ya Saddam Hussein ilisaidiwa kwa silaha na wanajeshi pia,na kwa kipindi kile inajulikana USA alikua baba wa majeshi na Iraq alikua baba wa majeshi middle east.
-Kuhusu missile power mkuu hivi unadhani nuclear inatumika tu kiwepesi!??
Kama ni hivyo basi Israel angeshapiga bomu pale Syria ambapo panatumika kama command center ya vikundi vyote vya uasi mashariki ya kati ambavyo vinaishambulia Israel kila leo.
Na Iran alishafikia hatua ya urutubishaji silaha na ripoti ilitoka,ndio maana USA na Israel kila leo wanakataa Iran kurutubisha vinu vya Nuke kwasababu wanajua kama akiyapata hakuna cha kumdhibiti tena middle east.
Israel hii unayoisemea wewe ambayo imeshindwa kuhimili vita ya miezi 9 tu.
Na tizama chini madhara iliyopata na hapo imepigana na Hamas tu pekee yake.
Sasa jiulize kama kundi dogo ambalo lina askari elfu 30 limewatia ulemavu je jeshi lenye watu zaidi ya laki 6 kitawafanya je!!??
View attachment 3056628View attachment 3056629
Mkuu unadanganya sana punguza uongo unadanganya sana punguza uongo bana.
Battle is synonymous to war hiyo ni linguistics.
Israel imekua ikilipua majengo hovyo kimakusudi na ushahidi umekua ukitolewa hapa,wakidai eti Hamas wanajificha humo ndani.
Wameua wanawake na watoto wasio na hatia.Ukitaka ushahidi nakuletea hapa we sema niulete.
Street battles vita za uso kwa uso ISRAEL AMESHINDWA GAZA NA WALEMAVU WENGI WA IDF WALIPATIKANA KATIKA VITA ZA MITAA KWA MITAA HAPO GAZA.
Wengi wakiwa wana matatizo ya saikolojia wengine wakiwa wamevunjwa miguu kwa grenade na risasi.
Ukitaka ushahidi nakuletea.
Watu kuhamishwa kutoka Central Gaza kwenda Khani younis ni kwa usalama wao ni sahihi kuhama,japo huko huko Khani younis imeripotiwa kuwa Israel imekua ikishambulia kimakusudi ilhali hakuna Hamas wala sign of Hamas huko.Ukitaka ushahidi nakuletea pia.
Hao askari wa IDF laki tatu waliletwa kwaajili ya kupambana na HAMAS wala usisingizie waarabu eti kama watajaribu kuungana ndio hilo jeshi litatumika.
Mbona wanajeshi waliisha na sasa hivi Israel imekua ikilazimisha raia kuingia jeshini??
Au hauna habari kaka kama Israel inalazimisha raia kuingia jeshini ili kupunguza uhaba wa askari!?
Hapo pia usisahau kaskazini kwa Israel haikaliki kwa mashambulizi madogo tu ya Hizbollah.
-Kuhusu suala la Iran kushindwa kumuokoa na kumpata rais wake hilo linafahamika kuwa Iran haijajipambanua katika teknolojia ya aerospace.Uturuki ni nchi ambayo imejipambanua sana katika teknolojia ya aerospace,kuna ndege yao inaitwa RAAD niliwahi ifuatilia ilivyo na ufanisi.
Ila kutokua na upembuzi katika teknolojia ya anga Iran haimaanishi haijiwezi kisilaha.Iran ilijikita katika uundaji ADS pamoja na ballistic missiles.Na middle east inafahamika Iran ameendelea katika masuala ya makombora.
Ana makombora ambayo yana uwezo wa kukwepa hata ADS ili yafikie lengo.Kwahiyo mtu kutokua vizuri sehemu ya anga haimaanishi hata sehemu zingine yuko vibaya.
Hii analysis hujaifanya vizuri kaka.
ππππππππππMkuu tuache utani na masihara.
Hii iron dome unayoisemea tarehe 7 October Hamas walirusha roketi tena ni homemade roketi zilizoundwa na mabomba ya maji Hamas walirusha roketi 5000 katika hayo 5000 roketi 2300 zimepenya.
Tusiende mbali,kambi ya kaskazini kwa Israel Galilee au Galilaya ilipigwa na cruise missiles za Hizbollah ikiwa na iron dome kama tatu iliteketea kambi nzima.
Na katika makombora yote Hizbollah alorusha kaskazini hakuna hata moja Iron dome iloweza kudungua.Sasa huu ufanisi wa iron dome uko wapi!??
Basi tusiende mbali,juzi tukio la drone ya Yemeni kuingia Tel Aviv pasi na kuonekana na kushambulia Tel Aviv Iron dome ikiwa active.
Ufanisi wa Iron dome uko wapi!!??
Ukiniambia nichague kati ya Iron dome Na Bavaar-373 nitaichagua Bavaar-373.Maana walau Bavaar ilionesha ufanisi hapo Iran.
Hiyo S-300 mwaka 2021 iliangusha ndege za Israel kama tatu zilipoingia Syria baada ya kuwa activated.
Hakuna ADS mbovu kama iron dome.
Tafuta namna nyingine ya kuipamba mkuu ila imeonesha udhaifu mkubwa sana katika vita hivi vya Gaza.
Still hapa bro unatereza tena.
Iran ina jeshi kubwa hapo Syria.
Na kila siku silaha na askari wanasafirishwa toka Iran kuja Syria kuingia Lebanon.Je hiyo Israel haioni na ikauzia hilo!?
Maana hizo silaha na askari ndio hao wanaoingia katika proxies na kuishambulia Israel.
Syria ni command centre ya Iran na vikundi vyake.
Israel 2000 walitangaza kutoka Lebanon ila hawakuiachia ardhi yote.
Pia kilichochochea vita zaidi ni Israel kumkamata kiongozi mmoja wapo wa Hizbollah 2006 ndipo Hizbollah ilivuka mpaka ikaua askari wa mpaka 8 na kuteka wanne japo wawili walifariki kwa majeraha.
IDF ndio iliamua kuvamia bint jubeir ili kuiweka iwe buffer zone ku demand askari wao.
Na waligoma kumrudisha kiongozi wa Hizbollah.
Yaliyotokea nadhani unayajua,kama isingekuwa USA kuingilia kati basi Israel ingepoteza hadi shebaah Farms.Maana walikua wanarudishwa nyuma kwa bunduki sio kwa kutaka wao.Israel ina sababu ya kuivamia Lebanon ila mbona hujiulizi hawajaivamia mpaka sasa!?
Ilhali mashambulizi ya Hizbollah yameleta maafa Israel kiasi cha kuleta internal displacement.Pia askari 5000 kati ya wale 70000 waliopata ulemavu wa kudumu wamepatikanika kaskazini kwa Israel as a result ya mashambulizi ya Hizbollah.Raia laki 2 wa Israel wameyakimbia makazi.Ila sijaona Israel ikiivamia Hizbollah.
Nadhani itakua unajua sababu.
Israel is millitary crippled ndio maana hata Biden na Macron walimwambia Netanyahu is unhealthy to go full out war with Hizbollah.Sasa mpaka hao watu wazima wanazungumza hivyo jiulize mkuu.
Cha mwisho Syria hajanunua S-300 bali Russia alizileta kulinda askari wake hapo Syria.
Ndio maana Israel inajua kuwa Russia iko Syria na haijawahi kugusa kambi za Russia.
Unazungumzia vita za zamani sana kipindi cha utafutaji uhuru.
Mimi ninazungumza mapigano ya kugombea Kashmir.
Yalitokea mapigano matano India ilishinda pigano moja tu la mwisho la 2010.Kafuatilie mapigano ya kugombea Kashmir.
Jeshi sio tu bajeti kubwa na uchumi peke yake.Bali pia ni mbinu na ari ya vita.Pakistan wana mbinu na ari ya vita kuliko India.
Taleban ilikua inatumia silaha za Marekani.Kumbuka Taleban hiyo hiyo ndio iliyovunja USSR kwa Ufadhili wa USA.
Hivyo USA kui attack Taleban kwa mara kwanza ni rahisi kwasababu jeuri na cheo hapo Afghanistan Taleban alipewa na USA.
Ila ile Taliban iliyotoka madarakani na kuamua kujipanga ilileta vifo vingi vya askari wa USA.
Ndio maana kama ulimsikiliza Trump aliongea wazi kwa Jeshi la USA itabidi liache kulipa gharama kubwa isiyokuwa na faida ya askari wake na pesa zake huko Afghanistan.
Hivyo Afghanistan ijilinde yenyewe.
Kuna vijana wengi pale Afghanistan wa jeshi la Marekani wamekufa na kuwa walemavu.Ungefuatilia namna riaa walivyokua wanakosoa jeshi la USA kuwepo Afghanistan halafu kila siku wanaletewa vijana wao katika majeneza.
ππππππππYani kwa shambulio la Iran kulipiza kisasi Israel mataifa manne yaliisaidia Israel kudungua mashambulizi.
USA,UK,JORDAN NA SAUDI ARABIA.
Still makombora 7 yakapenya na kuharibu airbase ya Israel.
Sasa jiulize kama hayo mataifa manne yasingeshiriki kudungua Israel ingefanya je!??
-Bro tuongee vitu kwa ground,hivyo vitu unavyosema kama Israel anavyo kwanini hajazuia makombora kutoka Lebanon ambayo yameua wanajeshi wake na kusababisha wanajeshi 5000 kuwa walemavu!?
Yani sawa utambe una hela halafu unashindia mlo mmoja wa ugali na Kisamvu.
Mkuu Embu kuwa realistic.
Kama Israel ingekua iko vizuri hivyo ulivyosema basi sasa hivi Galilee ingekuwa salama Salmin na ingekuwa raha mustarehe.
Tunaona yanayojiri tuna macho sio vipofu sisi.
Nimalizie kwa maneno machache huku chini.
Unaongea stori nyingi zisizo na uhalisia.
S-300 Syria haijanunua bali imeletwa na Russia kulinda askari wake pale Syria.
Ndio maana huoni Israel ikishambulia kambi ya Russia.
Hamas wana brigade tatu wana AL QASSAM wanavaa gwanda wana Islamic resistance wanavaa gwanda nyeusi na wana Hamas ambao wao wanavaa randomly.
Madai yako ya kusema kuwa Hamas wanajificha nyuma ya raia,wanajificha hospitali yalishafichuliwa kama ni uongo.
Israel aliunda hadi video fake na zikachunguzwa inajulikana ni staged videos.
Hakuna jipya mnaloweza singizia.
ISRAEL IS A WEAK ARMY.
PKK Na Hamas au Hizbollah ni tofauti.
Japo hao PKK wakifanya shambulio Uturuki huwa inawasaka na inawawajibisha kiukweli.
Operation ya mwisho Uturuki ilituma askari hawazidi 100 na ilirudi na rundo la wapuuzi wa PKK na kuwawajibisha.
PKK ni pana sana maana ni kikundi cha kurudi,pia kipo nchi jirani.
Sio kama Hamas ipo ndani ya OCCUPIED territories ambazo Israel anazi monitor na kuingia anavyotaka.
Mbaya zaidi Gaza ukubwa wake wa Kigamboni ila miezi 9 mmeshindwa hata kuokoa mateka.
Na mmepoteza askari na kupata majeruhi wengi.
Israel haina uwezo wa kuhimili vita muda mrefu.Israel sawa yake ni Hizbollah.
Itetee unavyoitetea ila mimi nikija nakuletea madhaifu ya Israel hapa.
Hizbollah wana gwanda na wana kambi zao kusini mwa Lebanon,mbona wameshindwa kutuma ndege vita zao kuchoma kambi za Hizbollah!!??
ππππBaada ya kusikia Iran itatuma ADS pale wakifuata wanaishia na drone strikes tu.
Mkuu hizi ni normal confrontations tu ambazo zitalipwa kisasi na maisha kuendelea.Siandiki sana vitendo umeviona jana Hamas na Hezbollah wako na maombolezo.
Israel imemuua mkuu wa Hamas akiwa Iran, dharau kubwa sana. Tunaomba Iran waende frontline kama wao wanaume.
Upande mwinginez Israel imeshambulia Beirut na kumuua Chief of Staff wa Hezbollah. Tunaomba washirikiane na wajomba zao kuishambulia Israel. Tutarudi hapa kutajiana nani miji yake imegeuzwa magofu, anayetaka kurudi zama za mawe za kale karibuni sababu zote za vita wanazo.
Makombora 300+ yalimuua nani, yaliharibu nini, kitu gani hakifanyi kazi baada ya makombora 300+. Mimi nimekuvunja taya kwa ngumi moja, wewe umerusha mawe 300 juu ya bati langu na halijadhurika. Nani mshindi?Mkuu hizi ni normal confrontations tu ambazo zitalipwa kisasi na maisha kuendelea.
Tegemea majibu makali sana kuliko yale ya makombora 300+.
Hivyo Iran hana sababu ya kuanzisha vita ya moja kwa moja,muacheni jamaa wa watu ajenge uchumi wake uliodumaa.
Hizbollah watalipa kisasi na Hamas.
Maana aliyeuawa ni kiongozi wa Hamas na Hizbollah.
Ila kama wa kuanzisha vita ni Israel kwasababu matatizo ya kushambuliwa na makundi ya wanamgambo chanzo ni Iran.
Ila wacha tusubiri majibu kaka,japo vita sio kitu chepesi cha kukiamua mkuu maana kina gharama zake.
Hayo makombora ukumbuke mkuu nchi takriban 4 zilihusika kuyadungua,na 7 yakapenya na kuharibu Airbase ya Israel.Makombora 300+ yalimuua nani, yaliharibu nini, kitu gani hakifanyi kazi baada ya makombora 300+. Mimi nimekuvunja taya kwa ngumi moja, wewe umerusha mawe 300 juu ya bati langu na halijadhurika. Nani mshindi?
Jana kombora moja la Israel limemuua Haniyeh akiwa Tehran, nyumba za serikali, eneo la jeshi, walinzi kibao, radar zipo, majasusi wapo. Na hawajaona hata vumbi. Baadae Iran itafyatua makombora 300 kisha uje udai yamepenya, nikiuliza yamemuua nani utasema si yamepenyaπ.
Aya sasa mara hii unasema Iran hana sababu ya kuanzisha vita, sasa kwani nilisemaje. Ni kwamba Iran hana uwezo kwenda frontline. Kule front hawavai kanzu na jezi za mpira.
Uturuki ni strong ally wa marekani na yeye ndio kazuia nato membership ya israelKesha jibiwa na kupuuzwa.. kuwa aulizie mtu aliitwa Sadam Hussein aliitishia Israel and aulize ilikuwaje and aliishia wapi huyo Sadam..
And Uholanzi wamesema Uturuki wafukuzwe NOTO ni fanatic Muslim.. Wannable Dictator.
Hill Zee limeanza kuwa na Akili za kizee likae Pembeni kama Biden..
And Ajue hapo alipo ni mali ya Italia.. mji wa Kwanza wa Wakristo.. anapaita Instabul
Na ndio plan ya mazayuni kutengeneza kitu hapo mashariki ya kati kinaitwa "Great Israel "Hao wote unaowataja ni ndg zako ktk imani. sasa nani aje awasaidie?. Hizo Yemen, Syria, Iraq na Lebanon ni fallen states hivyo hawana cha kupoteza ndo maana wanabweka ingawa hawana meno na wanajua kabisa hawana nguvu.