Huna hoja.Ndio utabaki hivyo hivyo ila ipo wazi
Intellectual talks with facts not empty words with no proof.
Netanyahu kakataa kuhusika unless ulete ushahidi hapa unaosema wamehusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja.Ndio utabaki hivyo hivyo ila ipo wazi
Swali la awali lilikuwa ni hili.Hapana, umeanzia habari katikati.
Yani ni kama unasema wewe ni mtu mweusi kwa sababu baba na mama yako ni weusi.
Wakati kuna babu na bibi zako waliowazaa wazazi wako hujawataja.
Hili ni swali jipya, halifanani kabisa na la kwanza.Hujajibu swali nililokuuliza na swali ulilojibu sijaukiza.
Nimeuklza hivi.
Kama babu na bibi yako wasingekuwa weusi, baba na mama yako wangekuwa weusi?
Hapo ndo umejibu swali langu? Huko madrasa wawe wanawawekea na 'ilim dunya' kidogoMi nimekuuliza nikuwekee Aya ya QUR'AN inayoonesha mtume alikua na sijida?..halafu ukishaona utaacha kuichukia sijida au utazidisha?
Oct 7 did not happen in a vacuum.Swali la awali lilikuwa ni hili.
Hili ni swali jipya, halifanani kabisa na la kwanza.
Nimekujibu kufuatana na muundo wa swali la msingi.
Jihadists mbona hamueleweki.? Si ni nyie haohao mnaosema kwamba Marekani hana lolote, sasa tuelewe lipi..😛😛Israeli hana uwezo wa kupambana na yoyote, bila msaada wa basha wake amerika tayari angekalishwa na Hamas.
Uturuki ni mzuri na pia Yuko vizuri kijeshi hata uwezo wake uko vizuri ila sijui huna ana shida gani yaani huwa ninamwona kama Hana msimamo kabisaUnaota wewe.
Saudi Arabia wanapenda sana wanachokifanya Hamas.
Ila hawawezi kuweka wazi kwasababu ya uhusiano waliouweka na USA.
Kama wangekua hawapendi basi wangeruhusu USA atumie kambi zao dhidi ya Houthi,ila Oman,Saudi arabia,Bahrain na Egypt walikataa katwa katwa.
Labda utakua haufuatilii hili suala.
Pia Iran ambaye yuko mbele kufadhili hayo makundi waarabu wameshamuona kuwa ndio mtetezi wao mkuu na wameshaanza kumkaribisha katika mataifa yao ikiwemo Qatar.
We kaa jidanganye hapo.
Uturuki sio taifa dogo ni kubwa ila NATO ndio linalipooza hilo taifa,hakuna vita Uturuki aliingilia akashindwa.
Huijui Uturuki wewe,ni hatari kuliko Iran.
Shida ni NATO.Uturuki ni mzuri na pia Yuko vizuri kijeshi hata uwezo wake uko vizuri ila sijui huna ana shida gani yaani huwa ninamwona kama Hana msimamo kabisa
WeweNani, mimi au Erdogan!?
Katika Biblia waturuki ni wagalathia( Ni taifa lililokuwa halina msimamo tokea kipindi icho ).Uturuki ni mzuri na pia Yuko vizuri kijeshi hata uwezo wake uko vizuri ila sijui huna ana shida gani yaani huwa ninamwona kama Hana msimamo kabisa
Hizi dini ni usenge mtupu....which Allah?
The invisible who is waiting for the living people to fight for him?
Huu uongo umeutoa wapi!?Katika Biblia waturuki ni wagalathia( Ni taifa lililokuwa halina msimamo tokea kipindi icho ).
Kwa iyo wanatimiza maandiko ya kwenye Biblia