mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Oct. 7 ndio iliyozaa haya mauwaji ya sasa ya Gaza.Kwa nini unaanzia na Oct 7 kama vile mgogoro wote umeanzia Oct 7 wakati mgogoro ni wa muda mrefu?
Bila hiyo Oct 7 mazungumzo ya kudai inayoitwa haki kwa amani yangeendelea vyema.