100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Turkey aiondoe Israel pale kwa interests zipi?Angalau wewe unaelewa ukweli ulivyo kwamba hakuna mbabe wa kuweza kuiondoa Israel pale alipo, hakuna.
Hata Hamas na Hezbollah wana interests tofauti lakini sema wana adui mmoja, inabidi uelewe hilo.
Interests za Iran, China na Russia ni tofauti japo wana ungana dhidi ya Magharibi, lakini kila mmoja anajua anachohitaji kwa sababu wana adui common.
Hivyo usifikiri watu wanaingia vitani kama walevi wa pombe vilabuni hata walevi wana interests zao utakuta wanapigania mwanamke n.k.
Endapo ikitokea Israel inaingilia maslahi ya Turkey kiuchumi hapo lazima watashikana mashati na Turkey kijeshi ni mkubwa kuliko Israel.
Ndio maana licha ya nchi za magharibi kui support Israel kwenye vita yake huko Palestine, hujaona Israel ikilalia upande wa Ukraine kwenye vita dhidi ya Russia, umesikia hata Israel anapeleka au amepeleka iron dome? Zelensky kuna kipindi alihitaji lakini kufanya hivyo ni kuingilia maslahi ya Russia kitu ambacho Israel inaifahamu vizuri Russia.. Israel wenyewe wanaogopa.