Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
GettyImages-2933674.jpg
images (37).jpeg


Unakumbuka nini ukisikia jina Djemba Djemba.

M Cameroon aliye lamba deal la kusajiliwa Manchester united na Alex Ferguson at his age of 21
Alisajiliwa akitokea Nandes ya ufaransa.

Alipo sign deal na Manchester united akaenda kununua magari matano Kwa mkupuo.

Inasemekana Sir Alex Ferguson alikasirishwa na kitendo cha mwafrika Huyu kwenda kununua magari ma tano Kwa mkupuo at age of 21 kitendo ambacho kili mkera sanaa na Alex Ferguson alimtafutia mtu wa counselling amsaidie phycologically.

Sio Siri hili ni Tatizo kubwa sana Kwa Waafrika walio wengi tunapo pata pesa nyingi sana Kwa mkupuo mmoja.

Vile vile hata alipo ondoka Manchester united na kusajiliwa Aston villa hakuacha vituko Alitumia pesa nyingi sana kujipendezesha kwenye nywele.

Alikua rafiki mkubwa wa christian Ronaldo wakiwa Man U na walisajiliwa pamoja na mechi ya kwanza Djemba Djemba kucheza ilikua dhidi ya Arsenal Fc.. man walishinda mechi Kwa penalt. Sol campel alimwambia djemba_djemba it's your first match in primer Ligue & you hit me like this.

Kwa Sasa ana miaka 41 Huyu kiungo namba 6 Djemba Djemba.

Je, unakumbuka nini juu ya Manchester united

images (39).jpeg
images (38).jpeg

images (40).jpeg

images (41).jpeg
 
Hata kama huna kitu jitahidi vitu muhimu watoto wako wavipate,jichange hata kuwapeleka sehemu ambazo wataendelea kuona za kawaida tu.....ili asije kuwa kama Djemba Djemba Eric
Yaan umenikumbusha Ile miaka kunywa soda mpk sikukuu au uwe unaumwa🤓

Kula wali maharage au nyama mtoto hanawi mikono kuwa dolishia wenzake....

All in all Exposure ni muhimu sana Kwa WATOTO wetu...
 
Walio ishi na Roy Keane wanasema alikua Tough guy (Hard)
Hakua mtu wa kucheka Cheka....Alikua ana heshimika kama Alex Ferguson akiwa uwanjani....
Kuna interview moja aliwahi kuulizwa, kwanini hakuhudhuria harusi ya David Beckham mwaka 1999 wakati wakati walikuwa wote Man Utd?

Akajibu kirahisi tu, ilikuwa ni aidha niende kwenye harusi ya Beckham au nitoke na mbwa wangu out, mbwa wangu akashinda, nikatoka zangu out!!😂😂
 
Kuna interview moja aliwahi kuulizwa, kwanini hakuhudhuria harusi ya David Beckham mwaka 1999 wakati wakati walikuwa wote Man Utd?

Akajibu kirahisi tu, ilikuwa ni aidha niende kwenye harusi ya Beckham au nitoke na mbwa wangu out, mbwa wangu akashinda, nikatoka zangu out!!😂😂
Haahaa,
Mbwa wangu akashinda simple tuu Duu
 
Back
Top Bottom