Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Waafrika tuna mambo yetu....
Kwenye kuzingatia muda wengi tuna fail,
Wengi wetu Hatuna plans za kimaishaa...
Tuna ishi bila budget....
Kweli mkuu...Ila kama una njaa huwezi kuwaza mambo ya plan na budget.

Tukiweza kujitosheleza kwenye chakula, mavazi na malazi hayo mengine tutayamudu vizuri tu.
 
Kweli mkuu...Ila kama una njaa huwezi kuwaza mambo ya plan na budget.

Tukiweza kujitosheleza kwenye chakula, mavazi na malazi hayo mengine tutayamudu vizuri tu.
Ni sahihi sana mkuu umesema kwel...🤓
 
225083-1598302373.jpg
 
Haahaa,
Mbwa wangu akashinda simple tuu Duu
Keane alikuwa na vituko vingi sana enzi anacheza hasa Man Utd.

Aliwahi kumstaafisha soka Alf-Inge Haaland (baba mzazi wa Erling Haaland)

Mkasa ulikuwa hivi;
Mwaka 1997 wakati Alf-Inge Haaland anacheza Leeds Utd alimchezea rafu Roy Keane na kumuumiza na kumfanya akose mechi kadhaa.

Alf-inge Haaland akasema kuwa Keane alijirusha na kujivunja mwenyewe. Roy Keane hakufurahi basi akaendelea kuuguza majeraha yake mpaka akapona akarudi uwanjani.

Roy Keane aliumizwa sana na maneno yale, akaapa kimya kimya lazma nimrudishie. Kikawa kisasi cha kimya kimya.

Kisasi kikachukua miaka minne kukamilika. Ndio kutoka mwaka 1997 mpaka mwaka 2001 Haaland akanaswa kwenye mtego wa Keane.

Alf-Inge Haaland alikuwa amehamia Man City, katika mechi ya Manchester Derby iliyopigwa Old Trafford, Roy Keane akiwa amepasiwa mpira akaanza kudribo ili ataufute mwenzake ampasie, wakati anataka kuucheza akaucha baada ya kugundua Haaland anakuja kuugombea mpira ule.

Haaland bila kujua, akaufikia mpira ile anataka kuucheza tu, Roy Keane alimrukia kwenye goti almanusura jamaa avunjike.
06264035-29AF-4C79-ACA7-42731AEEBE93.jpeg
82F2B119-0B26-428B-8A12-C9A0BBAE17B8.jpeg


Haaland akaanguka chini, Keane akamfuata palepale akamkoromea sana. Akapewa red card na baadae F.A baada ya kuchunguza, wakamtoza faini na kumfungia mechi 3.

Roy Keane alivyokuwa mpuuzi, mwisho wa msimu akatoa kitabu chake, akaelezea tukio hilo, kuwa na kisasi alichokuww anakisubiria kwa muda mrefu sana na kusema kweli kutoka moyoni mwake alikuwa amefurahi sana.

F.A ikimuongezea faini Roy Keane na kumfungia mechi 5 zaidi, Haaland akakaa nje muda mrefu na hatimaye baada ya kushauriana na madaktari wake akastaafu mpira kutokana na tatizo kubwa alilolipata kwenye goti.

Huyo ndio Captain Roy Keane, nahodha mwenye mafanikio zaidi katika EPL
14E355EF-A799-4487-8BBF-764DAA6C285F.jpeg
 
😀😀Kila mtu ana malengo na hela zake hivyo tusipangiane matumizi
Haahaa,
Kuna jamaa aliwai kua na pesa sana tena alizipatia south Africa jamaa alikua associated na drugs dealer....

Ali become bankruptcy....So ALIKIBA alipo IMBA MAC MUGA
ukitaka mgombane mpigie hio wimbo...
Tulipenda kumwita Msauz....

Wimbo wa Mac MUGA uli sadifu maisha yake halisi ni kama vile ALIKIBA alimwimbia yeye.....
 
Keane alikuwa na vituko vingi sana enzi anacheza hasa Man Utd.

Aliwahi kumstaafisha soka Alf-Inge Haaland (baba mzazi wa Erling Haaland)

Mkasa ulikuwa hivi;
Mwaka 1997 wakati Alf-Inge Haaland anacheza Leeds Utd alimchezea rafu Roy Keane na kumuumiza na kumfanya akose mechi kadhaa.

Alf-inge Haaland akasema kuwa Keane alijirusha na kujivunja mwenyewe. Roy Keane hakufurahi basi akaendelea kuuguza majeraha yake mpaka akapona akarudi uwanjani.

Roy Keane aliumizwa sana na maneno yale, akaapa kimya kimya lazma nimrudishie. Kikawa kisasi cha kimya kimya.

Kisasi kikachukua miaka minne kukamilika. Ndio kutoka mwaka 1997 mpaka mwaka 2001 Haaland akanaswa kwenye mtego wa Keane.

Alf-Inge Haaland alikuwa amehamia Man City, katika mechi ya Manchester Derby iliyopigwa Old Trafford, Roy Keane akiwa amepasiwa mpira uliokuwa juu aliuacha udunde kwanza, wakati anataka kuucheza akaucha baada ya kugundua Haaland anakuja kuugombania.

Haaland bila kujua, akaufikia mpira ile anataka kuucheza tu, Roy Keane alimrukia kwenye goti almanusura jamaa avunjike.
View attachment 2587420View attachment 2587421

Haaland akaanguka chini, Keane akamfuata palepale akamkoromea sana. Akapewa red card na baadae F.A baada ya kuchunguza, wakamtoza faini na kumfungia mechi 3.

Roy Keane alivyokuwa mpuuzi, mwisho wa msimu akatoa kitabu chake, akaelezea tukio hilo, kuwa na kisasi alichokuww anakisubiria kwa muda mrefu sana na kusema kweli kutoka moyoni mwake alikuwa amefurahi sana.

F.A ikimuongezea faini Roy Keane na kumfungia mechi 5 zaidi, Haaland akakaa nje muda mrefu na hatimaye baada ya kushauriana na madaktari wake akastaafu mpira kutokana na tatizo kubwa alilolipata kwenye goti.

Huyo ndio Captain Roy Keane, nahodha mwenye mafanikio zaidi katika EPL
View attachment 2587426
Roy Keane alikuwa ni mtu na nusu. Sitasahau jinsi career yake ya Man Utd ilivyoisha baada ya kuwabwatukia madogo wa Utd kuwa wanazingua na hawajitumi.
 
Keane alikuwa na vituko vingi sana enzi anacheza hasa Man Utd.

Aliwahi kumstaafisha soka Alf-Inge Haaland (baba mzazi wa Erling Haaland)

Mkasa ulikuwa hivi;
Mwaka 1997 wakati Alf-Inge Haaland anacheza Leeds Utd alimchezea rafu Roy Keane na kumuumiza na kumfanya akose mechi kadhaa.

Alf-inge Haaland akasema kuwa Keane alijirusha na kujivunja mwenyewe. Roy Keane hakufurahi basi akaendelea kuuguza majeraha yake mpaka akapona akarudi uwanjani.

Roy Keane aliumizwa sana na maneno yale, akaapa kimya kimya lazma nimrudishie. Kikawa kisasi cha kimya kimya.

Kisasi kikachukua miaka minne kukamilika. Ndio kutoka mwaka 1997 mpaka mwaka 2001 Haaland akanaswa kwenye mtego wa Keane.

Alf-Inge Haaland alikuwa amehamia Man City, katika mechi ya Manchester Derby iliyopigwa Old Trafford, Roy Keane akiwa amepasiwa mpira uliokuwa juu aliuacha udunde kwanza, wakati anataka kuucheza akaucha baada ya kugundua Haaland anakuja kuugombania.

Haaland bila kujua, akaufikia mpira ile anataka kuucheza tu, Roy Keane alimrukia kwenye goti almanusura jamaa avunjike.
View attachment 2587420View attachment 2587421

Haaland akaanguka chini, Keane akamfuata palepale akamkoromea sana. Akapewa red card na baadae F.A baada ya kuchunguza, wakamtoza faini na kumfungia mechi 3.

Roy Keane alivyokuwa mpuuzi, mwisho wa msimu akatoa kitabu chake, akaelezea tukio hilo, kuwa na kisasi alichokuww anakisubiria kwa muda mrefu sana na kusema kweli kutoka moyoni mwake alikuwa amefurahi sana.

F.A ikimuongezea faini Roy Keane na kumfungia mechi 5 zaidi, Haaland akakaa nje muda mrefu na hatimaye baada ya kushauriana na madaktari wake akastaafu mpira kutokana na tatizo kubwa alilolipata kwenye goti.

Huyo ndio Captain Roy Keane, nahodha mwenye mafanikio zaidi katika EPL
View attachment 2587426
Asante sana Kwa kutukumbusha simulizi hii nzuri ya Roy Keane....
 
Roy Keane alikuwa ni mtu na nusu. Sitasahau jinsi career yake ya Man Utd ilivyoisha baada ya kuwabwatukia madogo wa Utd kuwa wanazingua na hawajitumi.
Aliwashtumu madogo wa kipindi hiko akina Dareen Fletcher, John O'Shea na wengineo ambao walikuwa vipenzi vya Sir Alex, mbaya zaidi alishatumu mbele ya televisheni ya klabu, MuTV
 
Roy Keane alikuwa ni mtu na nusu. Sitasahau jinsi career yake ya Man Utd ilivyoisha baada ya kuwabwatukia madogo wa Utd kuwa wanazingua na hawajitumi.
Roy Keane alikua ni Ironic mtu wa chuma...hakupenda lelemama....
Akiwa uwanjani alicheza kama MAN U
Ni mradi wake binafsi na alitaman KUONA wanashinda Kila TOURNAMENT....
 
Aliwashtumu madogo wa kipindi hiko akina Dareen Fletcher, John O'Shea na wengineo ambao walikuwa vipenzi vya Sir Alex, mbaya zaidi alishatumu mbele ya televisheni ya klabu, MuTV
Kuna watu Huwa wana spirit za juu sana...
Roy Keane atakulaumu kama haujitumi hakua mtu wa ku torelate uzembe na uvivu...
Ki bongo bongo
Kuna Huyu kipa wa mtibwa somebody Ie. Muhammad Makaka pia Kwenye ndondi Hassan Mwakinyo.....
Hawa watu ni Self motivated 🤓
 
Back
Top Bottom